Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Sasa nimeamini kweli maadui zetu si watanzania, bali mabeberu wakishirikiana na chadema,
Watanzania kuweni makini na amani iliyopo, tukiiharibu ndio furaha kwa maadui zetu
Kuweni makini sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa nimeamini kweli maadui zetu si watanzania, bali mabeberu wakishirikiana na chadema,
Watanzania kuweni makini na amani iliyopo, tukiiharibu ndio furaha kwa maadui zetu
Kuweni makini sana
View attachment 3104657Sasa nimeamini kweli maadui zetu si watanzania, bali mabeberu wakishirikiana na chadema,
Watanzania kuweni makini na amani iliyopo, tukiiharibu ndio furaha kwa maadui zetu
Kuweni makini sana
Vyovyote iwavyo lakini amani imetawala, na hilo ndio muhimu
Sahihi kabisaIla binafsi ningependa nilipongeze Jeshi la Polisi kwa weledi wa hali ya juu waliotumia katika kuzima hayo maandamano.
Kiukweli wamewaaibisha pakubwa sana hao waandamanaji ambao walijiandaa kutengeneza mazingira ya kutumika nguvu kubwa katika kuzima maandamano na ukamataji wa watuhumiwa wote bila hata kuwapiga kofi na kuwachukulia wote kwa kuzingatia haki za binadamu na utendaji wenye kutukuka pasipo kuleta athari kwa waandamanaji na wanachi wengine kuendelea na shughuli zao bila bughudha ya aina yoyote ile.
Sasa nimeamini kweli maadui zetu si watanzania, bali mabeberu wakishirikiana na chadema,
Watanzania kuweni makini na amani iliyopo, tukiiharibu ndio furaha Kuna Amani gan wakati watu wanapotea/Wanatekwa sana. Na Sirikal ipo kmyaaa.
Kuna Amani gan wakati watu wanapotea/Wanatekwa sana. Na Sirikal ipo kmyaaa.Sasa nimeamini kweli maadui zetu si watanzania, bali mabeberu wakishirikiana na chadema,
Watanzania kuweni makini na amani iliyopo, tukiiharibu ndio furaha kwa maadui zetu
Kuweni makini sana
Huo ndio ukweliSasa nimeamini kweli maadui zetu si watanzania, bali mabeberu wakishirikiana na chadema,
Watanzania kuweni makini na amani iliyopo, tukiiharibu ndio furaha kwa maadui zetu
Kuweni makini sana
Si uchunguzi unaendelea? Kwanini mna haraka sana? Majibu yatakuja tu, serikali hijalala inafanya kazi usiku na mchanaKuna Amani gan wakati watu wanapotea/Wanatekwa sana. Na Sirikal ipo kmyaaa.
Uchunguzi kwa case ipi ya nan.....?Si uchunguzi unaendelea? Kwanini mna haraka sana? Majibu yatakuja tu, serikali hijalala inafanya kazi usiku na mchana
Sio msaada ni mikopo na riba juu, zaidi zaidi wao ndio wanafaidika na rasilimali zetu tangu enzi na enziMabeberu halafu mnaenda kupiga magoti kuomba msaada......chama cha majambazi(CCM)
Matukio ni mengi na yote yanafuatiliwa kwa ukaribu na serikaliUchunguzi kwa case ipi ya nan.....?
N nan kafikishwa kwa Pilato kwa kosa la kupoteza/ kuteka na kuuwa watu...?Matukio ni mengi na yote yanafuatiliwa kwa ukaribu na serikali
Tunawaweza bwashee, mbona anko aliwapeleka puta?Haina uwezo wa kuwakazia mabeberu, mbona mnadanganywa hivyo na mnaamini.
Mbona mzito kuelewa? Si nimekwambia uvhunguzi unaendelea? Sasa utamfikishaje mtuhumiwa mahakamani ukiwa hujakamilisha uchunguzi? Subirini tu majibu yatakuja tuN nan kafikishwa ka Pilato kwa kosa la kupoteza/ kuteka na kuuwa watu...?
Ya saanane bila shaka inaendelea, ila ya lissu aliambiwa alete shahidi muhimu dereva wake lakini ajabu hajamleta badoCase ya Ben Saa 8. Ina miaka mingap.....?
Case ya Tundu lissu ina miaka mingap...?
Au bado uchunguzi unafanyika.....?
NAKAZIAChama cha maliberali hakina sera. Sera yao ni uvunjifu wa amamani wapate huruma ya maliberali wenzao wa Ulaya.
Hawa ni watu wa hovyo kabisa, mashetani, hawafai kabisa kuwepo mitaani.
Nan apeleke Shahidi........?Ya saanane bila shaka inaendelea, ila ya lissu aliambiwa alete shahidi muhimu dereva wake lakini ajabu hajamleta bado
Droo mechi sasa mbuzi vs nguruweMmeanza kuitana vitoweo