ulichelewa kulifahamu hili mkuuSasa nimeamini kweli maadui zetu si watanzania, bali mabeberu wakishirikiana na chadema,
Watanzania kuweni makini na amani iliyopo, tukiiharibu ndio furaha kwa maadui zetu
Kuweni makini sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ulichelewa kulifahamu hili mkuuSasa nimeamini kweli maadui zetu si watanzania, bali mabeberu wakishirikiana na chadema,
Watanzania kuweni makini na amani iliyopo, tukiiharibu ndio furaha kwa maadui zetu
Kuweni makini sana
Sawa sawa kabisa nguruweMbuzi kweli wewe
Nilichelewa kidogoulichelewa kulifahamu hili mkuu
Serikali ya ccm inateka watu na kuwaua.Sasa nimeamini kweli maadui zetu si watanzania, bali mabeberu wakishirikiana na chadema,
Watanzania kuweni makini na amani iliyopo, tukiiharibu ndio furaha kwa maadui zetu
Kuweni makini sana
Akikujibu nitagKama watu wanaweza kutekwa na kuuliwa bila wahusika kukamatwa ,wewe unafikiri adui ni nani ?
Nimemjibu mapema tuAkikujibu nitag
Labda haufahamu amani ni nini bwasheeWatu wanatekwa kuteswa na kufa halafu wewe unasema tulinde amani.
Amani ipi sasa?
Mna kipi kipya ambacho nchi zingine hawana? Ambacho kitamdanya mSasa nimeamini kweli maadui zetu si watanzania, bali mabeberu wakishirikiana na chadema,
Watanzania kuweni makini na amani iliyopo, tukiiharibu ndio furaha kwa maadui zetu
Kuweni makini sana
wapi umemjibu?Nimemjibu mapema tu
Humu humu kwenye uzi, tafuta tu utaonaMna kipi kipya ambacho nchi zingine hawana? Ambacho kitamdanya m
wapi umemjibu?
Chadema ndio wanajua vizuri kuliko ccm, wanatekana bwasheeIkiwa si serikali ya ccm inahusika na haya watuambie Ben Saanane yuko wapi, Alfons Mawazo aliuliwa na nani, Soka katekwa na nani na wengine wengi.
Kwani vyombo vya nje ndio vinateka watu.Sasa nimeamini kweli maadui zetu si watanzania, bali mabeberu wakishirikiana na chadema,
Watanzania kuweni makini na amani iliyopo, tukiiharibu ndio furaha kwa maadui zetu
Kuweni makini sana
Embu niambie wewe unaejua AMANI NI NINI?Labda haufahamu amani ni nini bwashee
Linda amani iliyopo
Ndio sasa wameamua, sema ccm ipo makini sana, inafanya kazi usiku na mchana kuwalinda wa Tanzania na kila bayaAcheni kuwasingizia mabeberu, yakiamua kiwake mbona kinawaka vizuri tu.
Wamewaaacha na siasa zenu za majitaka bado mnawaletea chokochoko.
Jeshi la Polisi kazi yake nini?.Chadema ndio wanajua vizuri kuliko ccm, wanatekana bwashee