mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Ukila na kipofu usimshike mkono
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kwamba huna hoja?Una uwezo mdogo sanaa wa kufikiri.
Siwezi kuendelea kukujibu naishia hapa.
Nimeotesha yangu yanarefuk hayatoi mbelewele....kweli nimeamini kaka..😃😃😃Kweli mahindi hayaoti mjini
Sio habari ya kutekwa au kuuliwa au msiba, ni habari ya amani ya Tanzania,Ndugu yako ajatekwa wala kuuliwa.....kwako unaona poa tu.......msiba usikilize kwa jirani 😡
Amani gani wakati mtu kashushwa kwenye Basi mchana kweupe na watu wenye silaha za moto.......kavalishwa pingu.....kaenda kuuwawa na kumwagiwa tindikali............narudia msiba usikie kwa jirani.Sio habari ya kutekwa au kuuliwa au msiba, ni habati ya amani ya Tanzania,
Tanzania kwanza
Inasikitisha na kwa leo CDM wamefanikiwa.Kama watu wanaweza kutekwa na kuuliwa bila wahusika kukamatwa ,wewe unafikiri adui ni nani ?
Adui yetu mkubwa ni serikali ya ccm.Sasa nimeamini kweli maadui zetu si watanzania, bali mabeberu wakishirikiana na chadema,
Watanzania kuweni makini na amani iliyopo, tukiiharibu ndio furaha kwa maadui zetu
Kuweni makini sana
Kwa serikali hakukuwa na haja ya kumchukua vile, wangemtaka wangemchukua kimya kimya na wala hakuna mtu angejua, serikali sio wajinga hivyoooo,Amani gani wakati mtu kashushwa kwenye Basi mchana kweupe na watu wenye silaha za moto.......kavalishwa pingu.....kaenda kuuwawa na kumwagiwa tindikali............narudia msiba usikie kwa jirani.
Zimwi likujualo halikuli likakwisha, wasiotujua watatumaliza tuwe kama SomaliaAdui yetu mkubwa ni serikali ya ccm.
Ingekuwa wenyewe kwa wenyewe....serikali sio wajinga ungekuta imefanya jambo.....wasingekubali wachafuliwe wakati wanajua ukweli...........hii issue ungekuta imeisha kitabo sanaKwa serikali hakukuwa na haja ya kumchukua vile, wangemtaka wangemchukua kimya kimya na wala hakuna mtu angejua, serikali sio wajinga hivyoooo,
Hii ni wazi ni wenyewe kwa wenyewe,
Silaha watu wanazo, pingu wanazo na watu wanao
Fikira kwa kina utaona uhalisia ulivyo
Serikali ina nguvu na mbinu bwashee
Mimi sio bwashe wako , asee pambana na uchawa wako huko.Uchunguzi unaendelea bwashee
Kweli wewe sio bwashee? Ok basi sawa hakuna shida mkuuMimi sio bwashe wako , asee pambana na uchawa wako huko.
Sio wasiliport, ni kuriport,Shida nchi hii vilaza wengi sana, ulitaka wasiliport kwani wao hawaoni yanayotendeke
Mtani humu kuna watu na viatu!Kama watu wanaweza kutekwa na kuuliwa bila wahusika kukamatwa ,wewe unafikiri adui ni nani ?
Mmeanza kuitana vitoweoSawa sawa kabisa nguruwe
Haina uwezo wa kuwakazia mabeberu, mbona mnadanganywa hivyo na mnaamini.Ndio sasa wameamua, sema ccm ipo makini sana, inafanya kazi usiku na mchana kuwalinda wa Tanzania na kila baya
Kabisa ,sijui huwa wanawaza nini na kwa sababu gani🤔🤔Mtani humu kuna watu na viatu!
Mabeberu halafu mnaenda kupiga magoti kuomba msaada......chama cha majambazi(CCM)Ni kama hakuna maandamano wala vurugu za hivyooooo, sasa nimeshangaa mabe eru kuyaoa kipaumbele,
Huu sio uchochezi?
Au sio kuhamasisha vijana?
Amani yetu ni tunu
Ila binafsi ningependa nilipongeze Jeshi la Polisi kwa weledi wa hali ya juu waliotumia katika kuzima hayo maandamano.Sasa nimeamini kweli maadui zetu si watanzania, bali mabeberu wakishirikiana na chadema,
Watanzania kuweni makini na amani iliyopo, tukiiharibu ndio furaha kwa maadui zetu
Kuweni makini sana