Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Kabisa ni watu wa hovyo unakuta council moja ina walimu 23 haijulikani wanafanya nini?Na wanalipwa kwa kufanya kazi isiyojulikana na hawajui wawajibike wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa ni watu wa hovyo unakuta council moja ina walimu 23 haijulikani wanafanya nini?Na wanalipwa kwa kufanya kazi isiyojulikana na hawajui wawajibike wapi
Halmashauri za Majiji, Manispaa, Wilaya na miji zipo187+ unapata wapi PhD holders wa kiasi hicho na wawe wa elimu. Mambo mengine watu hawawazi kabisaHicho kiwango cha phd ni kikubwa sana, acha uongo
Wangefanyiwa recategorization ipi wakati wamesomea ualimu na wamekimbia darasani kufundisha wakaenda kujichimbia Ofisi Za Elimu msingi au sekondari?Ni ujinga wao wangefanyiwa recategorization wala haya yasingekuwepo maana wangelipwa mshahara binafsi, tamaa ya fisi imewaponza.
Kuongoza walimu kama afisaelimu Sio lazima uwe na PhD ya ualimu.Halmashauri za Majiji, Manispaa, Wilaya na miji zipo187+ unapata wapi PhD holders wa kiasi hicho na wawe wa elimu. Mambo mengine watu hawawazi kabisa
Kuna wengine unakuta ana diploma ya education lakini ana degeree ya accountancy hivyo anakuwepo uhasibu huku cheo chake ni mwalimu, kwenye ualimu alishafika mbali mshahara hivyo lazima aanze kama Accountant II ambayo ni 710,000 lakini kumbe mshahara wake kwenye ualimu ni 1M+Wangefanyiwa recategorization ipi wakati wamesomea ualimu na wamekimbia darasani kufundisha wakaenda kujichimbia Ofisi Za Elimu msingi au sekondari?
Kumbe rahisi hivyo eeeh [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] basi sawaKuongoza walimu kama afisaelimu Sio lazima uwe na PhD ya ualimu.
Wenye phd UDOM na UDSM wako kibali ni suala la kuwapangia vituo vya kazi , kuwapa magari ya kufanya kazi, Ofisi na hiyo mishahara minono wanalipwa was io na PhD
Yaani ni kama hii kada imelaaniwa walah!!!Walimu ni binadamu tofuti na wengne
Wanapigana sana majungu
So kama ndiyo hivyo tena yaani ni wengi lakini wapo kama nyumbu kwenye kundi ndogo la simbaYaani ni kama hii kada imelaaniwa walah!!!
PhD zenyewe za akina Kabudi, Mkumbo, Jafo zina faida gani kwa nchi?Halmashauri za Majiji, Manispaa, Wilaya na miji zipo187+ unapata wapi PhD holders wa kiasi hicho na wawe wa elimu. Mambo mengine watu hawawazi kabisa
La kwanza na la muhimu ni kufikiria na kushughulikia swali hili "kwanini wanahama huko vijijini?"Eti serikali itaajiri walimu wachache. Kwamba walimu sasa wamepatikana. Ni kichekesho. Inaonekana mleta mada hujui kwa kina tatizo la upungufu wa walimu lilivyo.
Pili, Waziri Kama ana uthubutu na anataka shule ziwe na uwiano mzuri wa walimu maeneo ya vijijini basi AHAMISHE WALIMU WALIOLUNDIKANA MAENEO YA MIJINI awapeleke vijijini. Kwa hili utaona jinsi ambavyo nchi hii haina upungufu mkubwa wa walimu, Namaanisha tatizo siyo kubwa km tunavyodhani.
Mara nyingi upungufu unaoimbwa references inayotumika Ni shule za vijijini wakati mijini unakuta mwalimu ana vipindi 6 KWA wiki Kati ya vipindi 40. Baadhi ya maeneo Vijijini walimu wana vipindi hadi 60.
Waziri aangalie suala la walimu kupangwa vijijini na baada ya muda mfupi wanahama kinyemela kwenda mijini, kwa barua zinazotoka moja kwa moja TAMISEMI. TAMISEMI imekuwa sehemu ya tatizo.
Serikali iangalie kwa kina na kuboresha mazingira ya kufundisha na kujifunza bila kusahau stahiki za walimu zilizoko kisheria.
Mimi bado naona uhitaji wa afisa elimu kuwa wawili kwasababu mtu mmoja kudili kwa mfano na shule 160 za msingi na pengine 40 za sekondari ktk halmashauri moja Ni kazi nzito tofauti na mtazamo wa watu nje ya ufahamu wa jinsi elimu inavyoendeshwa.
(Nimewahi kufundisha sekondari kwa miaka 15 saba kati ya Hiyo nikiwa Mkuu wa shule)
Ni huzuni kwakweli.So kama ndiyo hivyo tena yaani ni wengi lakini wapo kama nyumbu kwenye kundi ndogo la simba
Hawana umoja wapo wapo tuNi huzuni kwakweli.
Ndio hivyo moja ya kada ambayo wafanyakazi wengi hawapendani ni walimu ,chuki ,ubinafsi, kutopenda wengine wafanikiwe ,muda wote wnapenda waone wote WAKO duniDuu, nimeamini adui wa walimu ni mwalimu mwenyewe.
PhD hapo umekosea kabisa! Mbona kuliko na hizo PhD kumefeli pia?Nianze kwa kumpongeza Prof Adolf Mkenda kwa kazi nzuri aliyoifanya Baada ya walimu walio kuwa wamejificha kwenye Ofisi za Elimu msingi, sekondari na TSD ndani ya Halmashauri kutimuliwa sasa Idadi ya walimu wa kufundisha madarasa ni Waongezeka .
Hii ni baada ya malalamiko mengi kuandika Jf sasa Hali imetulia na walimu wa kufundisha darasani msingi na sekondari wameongezeka na Hata serikali ikiajiri itaajiri walimu wachache .
Kazi iliyobakia ni kupunguza Idadi ya maafisaelimu waliopo imara ya Elimu msingi na sekondari ikiwa ni pamoja na kufunganisha hizo idara na kuunda idara moja ya Elimu ndani ya Halmashauri moja.
Prof Mkenda kasi unayokwenda nayo inaridhisha na Uko vizuri.
Pili muundo mpya wa Elimu mkuu wa idara aside na kiwango cha chini ya PhD Ili aweze kusimamia Elimu ipasavyo.
Kuna walimu walikuwa wamefichwa kwa afisaelimu Mkoa ambao walikuwa hawana barua Za uteuzi nao warudishwe madarasani haraka iwezekanavyo.
Asante mkuuuTaifa lolote ambalo watu wake hawajui historia ya Nchi yao na nchi nyingine basi ni Taifa mfu.
Taifa kama la marekani somo la historia ni lazima kama ilivyo kwa mathematics na Biology kwa hapa kwetu (O-LEVEL).
UZALENDO amabao Mh. Rais anasisitiza bila watu kujua historia ya Nchi yao ni bure.
Kiufupi historia ni maisha ya kila siku it's inevitable to escape.
Km nilivyoeleza, mazingira ya kufundisha na kujifunzia kuboreshwa. Serikali inafikiria tu madarasa lkn wamemsahau mwalimu na maslahi yake.La kwanza na la muhimu ni kufikiria na kushughulikia swali hili "kwanini wanahama huko vijijini?"
shule iko kijijini ina wanafunzi 600 au 700 ina walimu 12, ya mjini yenye idadi hiyo hiyo ya wanafunzi Ina walimu 25 hadi 30 na zaidi. Kuna shule mjini mwalimu anaingia drasani Mara mbili kwa wiki tu.Kumbe hiki kinachoonekana kama upungufu wa walimu ni kwa sababu walimu wengi wamelundikana shule za mijini........serikali sasa iweke uwiano sawa wa walimu kwenye shule za mijini na vijijini ili iweze kuajiri pia watu wa kada nyingine..........maana kelele zimekuwa nyingi kwamba kuna uhaba wa walimu na kupelekea serikali kutoa ajira za walimu wakati kimsingi uhaba huo haupo, bali walimu wamelundikana kwenye shule za mijini.
Kimsingi hizi PhD za hawa viongozi ni za magumashi. Jaribu kutafuta machapisho yao km utayaona.PhD za akina Mwigulu, Jafo, Doto, Lipumba n.k zimejaa lakini hakuna cha maana wamefanya hapa nchini