Baada ya wapinzani kususia uchaguzi wa serikali za mitaa 2019, aibu waliyoipata CCM hawataisahau

Baada ya wapinzani kususia uchaguzi wa serikali za mitaa 2019, aibu waliyoipata CCM hawataisahau

Uh
IMG_20191124_101009.jpeg
 
IMG_20191124_101432.jpg

Muendelezo wa ccm kuaibika, wasimamizi wengi wa uchaguzi nchi nzima wako honeymoon.
 
Binafsi sijapiga kura, mwenyekiti wangu hana mpinzani yaani ameshapita
 
Chama cha kijani ccm hoi raia hawana mpango kabisa na uchaguzi feki, mwendelezo wa ccm kuaibika angalia picha za waliojitokeza uchaguzi wa leo mpaka aibu.
IMG_20191124_135119.jpg
 
Uchafuzi hadi sasa umekwenda kwa amani kabisa walla hakuna damu yeyote iliyomwagika polish hawana kazi ya kupiga watu hakika hongera awamu ya kishindo kwa jitihada ya kufanikisha ushindi wa kishindo
 
You are mentaly sick. Mtu yoyote yule anayefurahia kifo cha mwenzake ni mtu mwenye akili pungufu. Ninauhakika una ndugu wa jamii yako ambao hawana msimamo wa kisiasa kama wakwako, wakiwemo kwenye hilo lori,likaanguka ,akafa pia utafurahia na kueheherekea
FB_IMG_1574592338431.jpg
 
Mwendelezo wa raia kususia uchaguzi wakuu wa mikoa na wilaya hawana hamu hawaamini macho yao.
IMG_20191124_133816.jpg
 
kwahiyo kosa ni CCM au upinzani wenyewe kama wameamua kujitoa acha wenzao watambe

Kweli wacha watambe ,Polisi ni wa kwao /Tume ya Ucahguzi ni yao /Wakurugenzi ni wao/Mahakama ni zao pia Nchi ni yao wacha watambe tu sababu ndio Muda wao ila utapita tu ipo Siku .
 
Back
Top Bottom