Kwani TBC wamesusa naoLeo mzee wa gwanda za kijeshi anapigia wapi kura? Mbona hajaonyeshwa au naye kasusa. View attachment 1270947
You are mentaly sick. Mtu yoyote yule anayefurahia kifo cha mwenzake ni mtu mwenye akili pungufu. Ninauhakika una ndugu wa jamii yako ambao hawana msimamo wa kisiasa kama wakwako, wakiwemo kwenye hilo lori,likaanguka ,akafa pia utafurahia na kueheherekea
kwahiyo kosa ni CCM au upinzani wenyewe kama wameamua kujitoa acha wenzao watambe