Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Na kunyang'anywa tv na dhahabu ukiuliza risiti yajaPunde kidogo tutanza kuvaa nailo na viatu vya araiyoo, majunia kama 1970s and 80s!!!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kunyang'anywa tv na dhahabu ukiuliza risiti yajaPunde kidogo tutanza kuvaa nailo na viatu vya araiyoo, majunia kama 1970s and 80s!!!!!!
Mimi nimetaja ngapi.Denmark, Norway, Sweden, Finland and Iceland
HIZ NDO SCANDINAVIAN COUNTRIES
Sijui unajaribu kuzuis ukweli usiongelewe? Pole sana. Budget ya Tz, yategemea zaidi ya 50% misaada/mikopo toka kwa wadau wa maendeleo toka nje.Yaani unalilia msaada kama mtoto mdogo. Kwa hiyo uko tayari kutatuliwa marinda alimradi tu upewe msaada? Aisee.
Kipindi cha Kikwete mlikua hamtaki tuwe ombaomba au mmesahau na je upo tayari mkuu kupewa msaada kwa masharti ya kuwa shoga tuje tukutolee barua?Kuna mtu kasema hatutaki misaada?
Hatuna namna aliyetangulia katangulia, 40% wanayotoa wazungu ndiyo pesa yenye uhakika, 60% ya pesa za ndani hata 30% yake tunashindwa kutimiza.Mkuu, Hivi EU na kina Scandinavia kuchangia 40% ya bajeti ya serikali yetu ni jambo linalokufanya upate hamasa ya kuandika hapa kama kwamba ndio mwisho wa taifa Tanzania?. Mimi nadhani ungekemea viongozi wetu walioukubali huo mpango wao wa DPC na zaidi sana ni kwa nini wanataka kusaidia nchi hizo 17 wakati kwao wana masikini wanaoshindwa kupata hata mlo wa mchana?.
Nchi hii haihitaji misaada ya namna hiyo na ni aibu kuendelea kupokea misaada kama hiyo maana masharti yake yanakufanya kuwa mtumwa kwao, Nafahamu jinsi hao hao unaowasifia wanavyowasimanga viongozi wetu wanapokwenda kutembea mabakuli.
Lugha iso staha haikusaidii. Hoja tu.Unabanjuliwa.
Muulize Dr. Mpango kama serikali iko tayari kupewa msaada wa masharti, kama haiko tayari tusisikie kwenye bajeti anasema nusu yake tunategemea wahisani vinginevyo muache usanii.Kipindi cha Kikwete mlikua hamtaki tuwe ombaomba au mmesahau na je upo tayari mkuu kupewa msaada kwa masharti ya kuwa shoga tuje tukutolee barua?
Mpango akikubali vipi naruhusiwa kuja kutoa posa kwa mzee wako?Muulize Dr. Mpango kama serikali iko tayari kupewa msaada wa masharti, kama hayuko tayari tusisikie kwenye bajeti anasema nusu yake tunategemea wahisani.
Ukiongeza Finnland na Iceland inakuwa Nordic countries. Scandinavian countries ni Denmark, Norway na Sweden. Kuna tofauti hapo ingawa watu wengi wanachanganya hizo nchi.Mimi nimetaja ngapi.
Mpango akilalamika,atakosa ajira wizarani.sasa wew unaunga mkono, mataifa ya magharibi kusitisha misaada nchi sio??Sijakuonea hata kidogo. Dr. Mpango hajalalamika hapa JF. Ni wewe ndio unayepiga mayowe hapa jamvini.
Hawa watu wana ushirikiano wa hali ya juu, hawana msaliamtume hasa linapokuja suala la haki za binadamu na utawala bora, ndio maana utakuta nchi nyingi zinazoongoza kwa utawala bora huwa ni kutoka nchi za EU na Scandinavia.
Kwa wasiojua nchi hizo huchangia 40% ya bajeti yetu, pia wana mpango wa pamoja wa kuisaidia Tanzania kimaendeleo unaojulikana kama Development Partners Group (DPG) unaohusisha nchi zaidi ya 17 nyingi zikiwa za EU na Scandinavia, UK na US, pamoja na mashirika makubwa matano ya kimataifa, WB, UN, European Commission, ADB na IMF.
Kutokana na mpango huo Tanzania hupokea wastani wa $2.5 billion zaidi ya trillion 6 kila mwaka.
Kutokana na ubabe na kiburi chetu WB wamezuia msaada wao leo Denmark wametunyima msaada na kumzuia balozi wao kututembelea kitendo kinachotafsiriwa kama mwanzo wa kuvunja uhusiano, wanaofuata ni nchi za Scandinavia ambazo ni Sweden, Finland, Norway, Iceland. Canada, Marekani na Uingereza watamalizia. Tutabaki na mchina.
Nchi hizi ni wadau wakubwa wa maendeleo yetu, ni wadau wakubwa kwenye sekta ya madini, utalii, gas nk. Tunapobeza umuhimu wao tutegemee kuzorota kwa uchumi pengine hali inaweza kuwa mbaya zaidi ya Zimbabwe.
Tunashindwa kutimiza kwa sababu hatujajipanga kujiletea maendeleo wenyewe bila kuwategemea wahisani. Hata wao wanalijua hilo, tatizo letu kubwa ni ile kasumba waliyoturithisha wenyewe kwamba wao ni watu bora wenye akili baada ya mungu. Jiamini mtu wangu... kwa kasi hii ya JPM utasikia mengi, Kelele kama hizi zilikuwepo sana tu hata enzi za Nyerere.Hatuna namna aliyetangulia katangulia, 40% wanayotoa wazungu ndiyo pesa yenye uhakika, 60% ya pesa za ndani hata 30% yake tunashindwa kutimiza.
R.I.P my soul!!!
Binafsi nna hali mbaya mpaka nimeanza kujuta kwanini sisi tu omba omba.
Time will tell... Hali ikizidi kuwa mbaya labda Watz tutaamka kutoka usingizini
Dr mihogo hajambo?God is our refuge and strengh , a very present help in trouble.
Therefore we will not fear,though the earth be removed,and though the mountains be carried into the midst of the see.........
God is in the midst of her,she shall not be moved:God shall help her,and that right early.
The Lord of hosts is with us,the God of Jacob is our refuge.
A.K.A MatonyaMuulize Dr. Mpango anakotembeza bakuli mimi unanionea.
Sijakuonea hata kidogo. Dr. Mpango hajalalamika hapa JF. Ni wewe ndio unayepiga mayowe hapa jamvini.
Afadhali huyu analalamika JF Mpango yeye alifanya hivyo bungeni, kwa wananchi.Sijakuonea hata kidogo. Dr. Mpango hajalalamika hapa JF. Ni wewe ndio unayepiga mayowe hapa jamvini.