Baada ya WB na Denmark kusitisha misaada na uhusiano wanaofuata ni Scandinavia, EU, UK, Canada na Marekani

Baada ya WB na Denmark kusitisha misaada na uhusiano wanaofuata ni Scandinavia, EU, UK, Canada na Marekani

View attachment 934597
Huyu ndio Zitto msaliti namba moja wa nchi yetu, ndiye anaeichonganisha nchi yetu na jumuiya za kimataifa, je unajua wananongea nn hapo? unajua kuwa asilimia kubwa ya mabalozi na wafanyakazi wa balozi ni majasusi wa nchi yaoo? wanapowapata wasaliti kama hawa ambao wakiwahonga fedha za misaada kwenye majimbo yao basi wanakuwa tayari kuongea kila kitu,
mnafikiri nini zito atakacho mwambia huyo zaidi ya kuomba wasitishe misaada kwa nchi? na ndio maana leo hii ikitokea taarifa ya kunyimqwa misaada basi mtu wa kwanza kuposti taarifa hiyo basi atakuwa ni Zito nakisha shangwe kufuatiwa na wasaliti wenzie.
Malichi mawazo yako yanaheshimiwa..lakini samahani tuwe wakweli..umesikia wanachozungumza hao mabwana wawili hapo..tafadhali tujuze basi. Hawa wazungu kama hawataki kutupa mikopo ama misaada waache tu tunarasilimali nyingi tutatoboa tu..ila hatuna anayetuchonganisha kabisa..sisi wenyewe tuu hofu zetu. Understood school boy?
 
Hawa watu wana ushirikiano wa hali ya juu, hawana msaliamtume hasa linapokuja suala la haki za binadamu na utawala bora, ndio maana utakuta nchi nyingi zinazoongoza kwa utawala bora huwa ni kutoka nchi za EU na Scandinavia.

Kwa wasiojua nchi hizo huchangia 40% ya bajeti yetu, pia wana mpango wa pamoja wa kuisaidia Tanzania kimaendeleo unaojulikana kama Development Partners Group (DPG) unaohusisha nchi zaidi ya 17 nyingi zikiwa za EU na Scandinavia, UK na US, pamoja na mashirika makubwa matano ya kimataifa, WB, UN, European Commission, ADB na IMF.

Kutokana na mpango huo Tanzania hupokea wastani wa $2.5 billion zaidi ya trillion 6 kila mwaka.

Kutokana na ubabe na kiburi chetu WB wamezuia msaada wao leo Denmark wametunyima msaada na kumzuia balozi wao kututembelea kitendo kinachotafsiriwa kama mwanzo wa kuvunja uhusiano, wanaofuata ni nchi za Scandinavia ambazo ni Sweden, Finland, Norway, Iceland. Canada, Marekani na Uingereza watamalizia. Tutabaki na mchina.

Nchi hizi ni wadau wakubwa wa maendeleo yetu, ni wadau wakubwa kwenye sekta ya madini, utalii, gas nk. Tunapobeza umuhimu wao tutegemee kuzorota kwa uchumi pengine hali inaweza kuwa mbaya zaidi ya Zimbabwe.
Haki za binadamu ni zipi zinazokiukwa?? Wajitoe tu mbona wachina wapo.
 
God is our refuge and strengh , a very present help in trouble.
Therefore we will not fear,though the earth be removed,and though the mountains be carried into the midst of the see.........

God is in the midst of her,she shall not be moved:God shall help her,and that right early.

The Lord of hosts is with us,the God of Jacob is our refuge.
For sure I support this
 
Msiogope hawawezi kufanya hivyo yaani kujitoa kimya kimya. Watatoa taarifa serikalini kwanini wameamua kusitisha misaada waliyoahidi kuitoa tulipopitisha budget yetu ya makadirio ya mapato na matumizi. Kama kuna jambo hawalifurahii wataiambia serikali katika vikao vyao maalum, na wataishauri serikali nini kifanye ili kujinasua na ukwasi huo. Naamini Serikali yetu watakuwa na majibu sahihi ya kwanini wanafanya wanvyofanya kama kawaida na wataulizana maswali watajibu na kila upande utaenda kutafakari na watakuja na majibu, amam wamekubaliana ama hawawakukubaliana na hatua hizi tunazoziona zitafuata.

huwa unakawaida ya kuota ndoto za mchana??jibu kwanza hapa nahisi unahitaj msaada mkubwa
 
View attachment 934597
Huyu ndio Zitto msaliti namba moja wa nchi yetu, ndiye anaeichonganisha nchi yetu na jumuiya za kimataifa, je unajua wananongea nn hapo? unajua kuwa asilimia kubwa ya mabalozi na wafanyakazi wa balozi ni majasusi wa nchi yaoo? wanapowapata wasaliti kama hawa ambao wakiwahonga fedha za misaada kwenye majimbo yao basi wanakuwa tayari kuongea kila kitu,
mnafikiri nini zito atakacho mwambia huyo zaidi ya kuomba wasitishe misaada kwa nchi? na ndio maana leo hii ikitokea taarifa ya kunyimqwa misaada basi mtu wa kwanza kuposti taarifa hiyo basi atakuwa ni Zito nakisha shangwe kufuatiwa na wasaliti wenzie.
Hivi mnalilia misaada na mikopo ya wazungu kwani Magu si ameshaifanya nchi hii kuwa "dona kantre"? Sasa ni zamu yetu kuwanyima misaada na mikopo wazungu!
 
Hawa watu wana ushirikiano wa hali ya juu, hawana msaliamtume hasa linapokuja suala la haki za binadamu na utawala bora, ndio maana utakuta nchi nyingi zinazoongoza kwa utawala bora huwa ni kutoka nchi za EU na Scandinavia.

Kwa wasiojua nchi hizo huchangia 40% ya bajeti yetu, pia wana mpango wa pamoja wa kuisaidia Tanzania kimaendeleo unaojulikana kama Development Partners Group (DPG) unaohusisha nchi zaidi ya 17 nyingi zikiwa za EU na Scandinavia, UK na US, pamoja na mashirika makubwa matano ya kimataifa, WB, UN, European Commission, ADB na IMF.

Kutokana na mpango huo Tanzania hupokea wastani wa $2.5 billion zaidi ya trillion 6 kila mwaka.

Kutokana na ubabe na kiburi chetu WB wamezuia msaada wao leo Denmark wametunyima msaada na kumzuia balozi wao kututembelea kitendo kinachotafsiriwa kama mwanzo wa kuvunja uhusiano, wanaofuata ni nchi za Scandinavia ambazo ni Sweden, Finland, Norway, Iceland. Canada, Marekani na Uingereza watamalizia. Tutabaki na mchina.

Nchi hizi ni wadau wakubwa wa maendeleo yetu, ni wadau wakubwa kwenye sekta ya madini, utalii, gas nk. Tunapobeza umuhimu wao tutegemee kuzorota kwa uchumi pengine hali inaweza kuwa mbaya zaidi ya Zimbabwe.
sawa kwa hiyo??
 
Hawa watu wana ushirikiano wa hali ya juu, hawana msaliamtume hasa linapokuja suala la haki za binadamu na utawala bora, ndio maana utakuta nchi nyingi zinazoongoza kwa utawala bora huwa ni kutoka nchi za EU na Scandinavia.

Kwa wasiojua nchi hizo huchangia 40% ya bajeti yetu, pia wana mpango wa pamoja wa kuisaidia Tanzania kimaendeleo unaojulikana kama Development Partners Group (DPG) unaohusisha nchi zaidi ya 17 nyingi zikiwa za EU na Scandinavia, UK na US, pamoja na mashirika makubwa matano ya kimataifa, WB, UN, European Commission, ADB na IMF.

Kutokana na mpango huo Tanzania hupokea wastani wa $2.5 billion zaidi ya trillion 6 kila mwaka.

Kutokana na ubabe na kiburi chetu WB wamezuia msaada wao leo Denmark wametunyima msaada na kumzuia balozi wao kututembelea kitendo kinachotafsiriwa kama mwanzo wa kuvunja uhusiano, wanaofuata ni nchi za Scandinavia ambazo ni Sweden, Finland, Norway, Iceland. Canada, Marekani na Uingereza watamalizia. Tutabaki na mchina.

Nchi hizi ni wadau wakubwa wa maendeleo yetu, ni wadau wakubwa kwenye sekta ya madini, utalii, gas nk. Tunapobeza umuhimu wao tutegemee kuzorota kwa uchumi pengine hali inaweza kuwa mbaya zaidi ya Zimbabwe.
Tembea kifua mberee!
 
Mimi naona ni Vizuri tu ili tujifunze kujitegemea kama wao walivyoanza walipewa misaada na nani.?
Mimi kama raia ninayeishai hapa sijaona ukiukwaji wowote wa haki za binadamu ambao ni wa kutisha
Tupo Rai 55M lazima wawepo na watukutu tu.!
 
View attachment 934597
Huyu ndio Zitto msaliti namba moja wa nchi yetu, ndiye anaeichonganisha nchi yetu na jumuiya za kimataifa, je unajua wananongea nn hapo? unajua kuwa asilimia kubwa ya mabalozi na wafanyakazi wa balozi ni majasusi wa nchi yaoo? wanapowapata wasaliti kama hawa ambao wakiwahonga fedha za misaada kwenye majimbo yao basi wanakuwa tayari kuongea kila kitu,
mnafikiri nini zito atakacho mwambia huyo zaidi ya kuomba wasitishe misaada kwa nchi? na ndio maana leo hii ikitokea taarifa ya kunyimqwa misaada basi mtu wa kwanza kuposti taarifa hiyo basi atakuwa ni Zito nakisha shangwe kufuatiwa na wasaliti wenzie.
Hahahaaaaa
 
Eti suala hili watu wanamuomba mungu atunusuru mnaakili kweli mungu aache kufanya vitu vingne vya msingi kutibu wagonjwa hospital huko ajisumbue na watz wehu


hahahahahaahaa watu mmeichoka nchi yenu walah mie nacheka tu...tukome..mayb tutaamka!mwaka huu kila rangi tutaona
 
Sijakuonea hata kidogo. Dr. Mpango hajalalamika hapa JF. Ni wewe ndio unayepiga mayowe hapa jamvini.
Sasa anayelalamika jf na asitembeze bakuli na yule aliyekaa kimya na akatembeza bakuli nani aulizwe, mbn unaropoka na kushindwa kutumia akili hata kidogo. Nchi yetu inaendeshwa kwa misaada na hao wanaozuia ndio hao hao wanaofanya tuyaona haya maendeleo ambayo bado ni finyo ktk mambo yote ya elimu, afya na mambo mengine meengi. Ss ukijifanya kuona ni jambo jema kuvimba wakati unaowavimbia ndio wanaokusaidia ni ujinga tena ni bora uwavimbie kwenye maswala yenye tija ila serikali inafanya mambo ya kipuuzi hlf unavimba. Ww endelea kujipamoyo na wakati umtumiaji wa ARV's na wenye kuzitoa wameshabana.
 
Am just thinking of my mother, she's about to retire Na haya majibwa yamepitisha 25 Kwa 75% Na alivyo spender mamangu Na ccm die hard fan, lord have mercy! No wonder Joyce mapunjo alipotumbuliwa Tu ukatibu mkuu akajifia, dahh!
Ngoja mama yako aione rangi halisi ya ccm. Mpe pole sana mama
 
Back
Top Bottom