Baada ya vita vya Kagera nchi iliyumba mno kiuchumi na hakukuwa na fedha za kigeni kwa ajili ya kununulia bidhaa muhimu kama mafuta nk ndipo IMF wakaitaka Tanzania kushusha kabisa thamani ya shilingi dhidi ya dola ndio serikali iweze kukopeshwa.
Baada ya Nyerere kukataa hili sharti na kupelekea waziri wa fedha wa wakati huo Mr. Edwin Mtei kujiuzulu ndipo hali ikawa mbaya zaidi na kupelekea Nyerere kulazimika kuachia ngazi na wakati huo pia ndio akawa amenusurika kupinduliwa.
Hakuna nchi duniani inayokosana na hawa wazungu eti ikabaki salama kiuchumi, hakuna kwa sababu wao ni kama umeme na wengine ni kama Electric Appliances ambazo bila umeme hazifanyi kazi.
Ni lazima tuwe macho kwani hatuna njia mbadala japo tunaweza tukajifanya kujaribu kutunisha msuli ambayo ndio itakuwa kitanzi chetu. Uchumi ukiharibika, Tanzania ikawa "Basket Case" hata watawala wajue usalama wao utakuwa kwenye mashaka makubwa.
Baada ya Nyerere kukataa hili sharti na kupelekea waziri wa fedha wa wakati huo Mr. Edwin Mtei kujiuzulu ndipo hali ikawa mbaya zaidi na kupelekea Nyerere kulazimika kuachia ngazi na wakati huo pia ndio akawa amenusurika kupinduliwa.
Hakuna nchi duniani inayokosana na hawa wazungu eti ikabaki salama kiuchumi, hakuna kwa sababu wao ni kama umeme na wengine ni kama Electric Appliances ambazo bila umeme hazifanyi kazi.
Ni lazima tuwe macho kwani hatuna njia mbadala japo tunaweza tukajifanya kujaribu kutunisha msuli ambayo ndio itakuwa kitanzi chetu. Uchumi ukiharibika, Tanzania ikawa "Basket Case" hata watawala wajue usalama wao utakuwa kwenye mashaka makubwa.