Baada ya WB na Denmark kusitisha misaada na uhusiano wanaofuata ni Scandinavia, EU, UK, Canada na Marekani

Baada ya WB na Denmark kusitisha misaada na uhusiano wanaofuata ni Scandinavia, EU, UK, Canada na Marekani

Baada ya vita vya Kagera nchi iliyumba mno kiuchumi na hakukuwa na fedha za kigeni kwa ajili ya kununulia bidhaa muhimu kama mafuta nk ndipo IMF wakaitaka Tanzania kushusha kabisa thamani ya shilingi dhidi ya dola ndio serikali iweze kukopeshwa.

Baada ya Nyerere kukataa hili sharti na kupelekea waziri wa fedha wa wakati huo Mr. Edwin Mtei kujiuzulu ndipo hali ikawa mbaya zaidi na kupelekea Nyerere kulazimika kuachia ngazi na wakati huo pia ndio akawa amenusurika kupinduliwa.

Hakuna nchi duniani inayokosana na hawa wazungu eti ikabaki salama kiuchumi, hakuna kwa sababu wao ni kama umeme na wengine ni kama Electric Appliances ambazo bila umeme hazifanyi kazi.

Ni lazima tuwe macho kwani hatuna njia mbadala japo tunaweza tukajifanya kujaribu kutunisha msuli ambayo ndio itakuwa kitanzi chetu. Uchumi ukiharibika, Tanzania ikawa "Basket Case" hata watawala wajue usalama wao utakuwa kwenye mashaka makubwa.
 
Sijakuelewa ndiyo maana nimeuliza serikali ya upinzani ndiyo ipi.
Rejea majadiliano yetu.

Kifupi upinzani unadai Serikali iliyoko madarakani inafeli. Kama ni kweli, ni kete ya kisiasa upinzani kuunda Serikali ili kuirudisha nchi kwenye mstari. Ndivyo mada kuu ilivyotaka tuelewe.

Hivyo basi nilishauri kuwa Uchaguzi Mkuu 2020 hauko mbali ili upinzani ushinde na kuunda Serikali yabidi ujipange vizuri na siyo tunavyoona kwa sasa viongozi wake wanavyoendesha siasa za matukio, kejeli na kuzodoa, pasipo hoja za kipi kifanyike nchi isiende mrama. Hata mleta mada mlengo wake ulikuwa huo huo kuhabarisha kuwa Serikali imeshindwa!!!
 
Huyo dereva alipokataa uliripoti panapohusika nao wakakataa kukuhudumia.
Mkuu unapokwenda kwenye kituo cha taxi kama ilivyo pale posta, dareva akakataa kukuhudumia kwa sababu zake, unaenda kumshitaki wapi kwanza, pili una muda huo wa kuanzisha mashtaka?. Kwa upande wangu, madereva wengine walijitokeza kunihudumia na njia nzima nilisikiliza taralila za kuomba radhi kwa yule mwenzake, fani yake na nchi yake.
 
View attachment 934597
Huyu ndio Zitto msaliti namba moja wa nchi yetu, ndiye anaeichonganisha nchi yetu na jumuiya za kimataifa, je unajua wananongea nn hapo? unajua kuwa asilimia kubwa ya mabalozi na wafanyakazi wa balozi ni majasusi wa nchi yaoo? wanapowapata wasaliti kama hawa ambao wakiwahonga fedha za misaada kwenye majimbo yao basi wanakuwa tayari kuongea kila kitu,
mnafikiri nini zito atakacho mwambia huyo zaidi ya kuomba wasitishe misaada kwa nchi? na ndio maana leo hii ikitokea taarifa ya kunyimqwa misaada basi mtu wa kwanza kuposti taarifa hiyo basi atakuwa ni Zito nakisha shangwe kufuatiwa na wasaliti wenzie.
Unaforce sana habari hii ila umepuuzwa!!!!!!
 
Sijakuelewa ndiyo maana nimeuliza serikali ya upinzani ndiyo ipi.
Kumbuka mada yako umehitimisha kwamba Tunapobeza umuhimu wao tutegemee kuzorota kwa uchumi pengine hali inaweza kuwa mbaya zaidi ya Zimbabwe, maana yake Serikali imefeli ila ingekuwa Serikali ya Chama kileeee, hali ingekuwa tofauti. Lakini najiuliza Serikali ya Chama kileeee ambacho RUZUKU viongozi wake hawaelezi inafanya nini, na wakati uleule Wabunge wakichangishwa kila mwezi!!

Angalau ya Serikali iliyoko madarakani tunashuhudia ujenzi na uboreshaji wa miundo mbinu na huduma za jamii. Najua una macho unaona hadi viongozi wa upinzani wanakejeli ati demokrasia na uhuru kwanza siyo vitu.

Mkono mtupu haulambwi
 
View attachment 934597
Huyu ndio Zitto msaliti namba moja wa nchi yetu, ndiye anaeichonganisha nchi yetu na jumuiya za kimataifa, je unajua wananongea nn hapo? unajua kuwa asilimia kubwa ya mabalozi na wafanyakazi wa balozi ni majasusi wa nchi yaoo? wanapowapata wasaliti kama hawa ambao wakiwahonga fedha za misaada kwenye majimbo yao basi wanakuwa tayari kuongea kila kitu,
mnafikiri nini zito atakacho mwambia huyo zaidi ya kuomba wasitishe misaada kwa nchi? na ndio maana leo hii ikitokea taarifa ya kunyimqwa misaada basi mtu wa kwanza kuposti taarifa hiyo basi atakuwa ni Zito nakisha shangwe kufuatiwa na wasaliti wenzie.
Unataka kuniaminisha kuwa Zitto ana akili kubwa na ushawishi kuliko uongozi wote wa serikali yangu pendwa?
 
ziro brain ni ZIRO tu kwaiyo alishindwa kusoma upepo likalopoka tu ujinga wake cheki majanga aliyoyasababisha kibaya zaidi bado hataki kuona upuuzi alioufanya aachie wadhifa dah ameshindwa kuwajibika kama liberman
 
Hawa watu wana ushirikiano wa hali ya juu, hawana msaliamtume hasa linapokuja suala la haki za binadamu na utawala bora, ndio maana utakuta nchi nyingi zinazoongoza kwa utawala bora huwa ni kutoka nchi za EU na Scandinavia.

Kwa wasiojua nchi hizo huchangia 40% ya bajeti yetu, pia wana mpango wa pamoja wa kuisaidia Tanzania kimaendeleo unaojulikana kama Development Partners Group (DPG) unaohusisha nchi zaidi ya 17 nyingi zikiwa za EU na Scandinavia, UK na US, pamoja na mashirika makubwa matano ya kimataifa, WB, UN, European Commission, ADB na IMF.

Kutokana na mpango huo Tanzania hupokea wastani wa $2.5 billion zaidi ya trillion 6 kila mwaka.

Kutokana na ubabe na kiburi chetu WB wamezuia msaada wao leo Denmark wametunyima msaada na kumzuia balozi wao kututembelea kitendo kinachotafsiriwa kama mwanzo wa kuvunja uhusiano, wanaofuata ni nchi za Scandinavia ambazo ni Sweden, Finland, Norway, Iceland. Canada, Marekani na Uingereza watamalizia. Tutabaki na mchina.

Nchi hizi ni wadau wakubwa wa maendeleo yetu, ni wadau wakubwa kwenye sekta ya madini, utalii, gas nk. Tunapobeza umuhimu wao tutegemee kuzorota kwa uchumi pengine hali inaweza kuwa mbaya zaidi ya Zimbabwe.
Maendeleo ya kweli sasa ndo yanakuja...manyang'au bye bye
 
[emoji41][emoji41][emoji41]
Hebu%20jaribu%20kueleza%20ujumbe%20una%C3%B2jitokeza%20kwenye%20mchoro%20huu%20wa%20katuni%20...jpeg
 
Mm naunga mkono kujitegemea. Lakin je tumejiandaaje kujitegemea ? Tuko vizuri kiuchumi kiasi kwamba hao jamaa tunaweza wafukuza.. ? Tusihitaj msaada wowote kutoka nje?
Yani kuna watanzania washenzi sana Hani yeye anapenda kupewa siku zote huu ni ulofa zaidi ya ule wa Sumaye.. Now lazima tu jitegemee kwa vyovyote vile
 
Mm naunga mkono kujitegemea. Lakin je tumejiandaaje kujitegemea ? Tuko vizuri kiuchumi kiasi kwamba hao jamaa tunaweza wafukuza.. ? Tusihitaj msaada wowote kutoka nje?
Nowdays lazima tuamue sio tumejipangaje ndo tuanze sasa ili tusitengeneze kizazi cha kutegemea wakoloni
 
Government of Canada.

Exercise a high risk of caution in Tanzania due to rising crime levels and the threat of terrorism.

Tuendeleeni kujidanganya.

IMG_20181115_154152.jpg
 
Kuamua bila mipango ni kukurupuka . Mwangalie kagame ana sera zimefanana na za kwetu. Laki anahudhuria mikutano ya kitaifa isitoshe kwa uchumi wa nchi yake hajavurugana na serikal za nje. Hakuanza kwa kuvurugana na nchi zingine badala yake anajijenga kimya kimya.. akishapata anapunguza misaada.

Ninachosema ni kwamba ..is not about maamuzi, is about wakati. Hii ishu ingefanyika kimya kimya.. tuhakikishe tumevuka lengo mpaka uchumi wa kati then baada ya hapo sasa tunaweza tukapunguza misaada au kuacha kabisa.
Nowdays lazima tuamue sio tumejipangaje ndo tuanze sasa ili tusitengeneze kizazi cha kutegemea wakoloni
 
Ukipinga ushoga basi hupati misaada kuendeleza nchi yako, ila unaweza ukaua raia pemba, kudhulumu uchaguzi Zanzibar na misaada ukapata..... Mashoga ni muhimu kuliko demokrasia na haki za wengine....

Mtanzania Akili kichwani mwako, naona wengi wenu humu mumeanza kutetemeka kukosa misaada, mnataka kunambia kuwa mpo tayari kuchumishwa mboga upate pesa ya kununua IST?





yote hayo uloandika wameyaandika..labda kam hukubahatika kufika shule
 
Back
Top Bottom