Baada ya WB na Denmark kusitisha misaada na uhusiano wanaofuata ni Scandinavia, EU, UK, Canada na Marekani

Baada ya WB na Denmark kusitisha misaada na uhusiano wanaofuata ni Scandinavia, EU, UK, Canada na Marekani

Haki za binadamu ni zipi zinazokiukwa?? Wajitoe tu mbona wachina wapo.
Mkuu, hao wanaojiita watetezi wa haki za binadamu, wangezitekeleza kwao mimi ningewaelewa zaidi. Haki za binadamu zinavunjwa wazi wazi huko kwao na wana namna yao ya kuwadhibiti wale wanaowaona kuwa hatari kwenye anga zao... wanawaficha tuu!!. >>Nakumbuka mwaka 1994 nikiwa Copenhagen kuna dereva wa taxi alikataa kata kata kunihudumia mimi kama mwafrika, huo ni ubaguzi unaokiuka haki za binadamu na umekithiri sana huko huko kwao, iweje kwetu wadai haki za binadamu zinakiukwa?.
 
Sasa anayelalamika jf na asitembeze bakuli na yule aliyekaa kimya na akatembeza bakuli nani aulizwe, mbn unaropoka na kushindwa kutumia akili hata kidogo. Nchi yetu inaendeshwa kwa misaada na hao wanaozuia ndio hao hao wanaofanya tuyaona haya maendeleo ambayo bado ni finyo ktk mambo yote ya elimu, afya na mambo mengine meengi. Ss ukijifanya kuona ni jambo jema kuvimba wakati unaowavimbia ndio wanaokusaidia ni ujinga tena ni bora uwavimbie kwenye maswala yenye tija ila serikali inafanya mambo ya kipuuzi hlf unavimba. Ww endelea kujipamoyo na wakati umtumiaji wa ARV's na wenye kuzitoa wameshabana.
Unachekesha.
 
View attachment 934597
Huyu ndio Zitto msaliti namba moja wa nchi yetu, ndiye anaeichonganisha nchi yetu na jumuiya za kimataifa, je unajua wananongea nn hapo? unajua kuwa asilimia kubwa ya mabalozi na wafanyakazi wa balozi ni majasusi wa nchi yaoo? wanapowapata wasaliti kama hawa ambao wakiwahonga fedha za misaada kwenye majimbo yao basi wanakuwa tayari kuongea kila kitu,
mnafikiri nini zito atakacho mwambia huyo zaidi ya kuomba wasitishe misaada kwa nchi? na ndio maana leo hii ikitokea taarifa ya kunyimqwa misaada basi mtu wa kwanza kuposti taarifa hiyo basi atakuwa ni Zito nakisha shangwe kufuatiwa na wasaliti wenzie.
Nonsense, kwani wenyewe hawaoni eti hadi Zitto ndio awaambie. Mabalozi wanao wa nini sasa hapa.
 
Uko nje ya mada, mada ni nchi za magharibi kusitisha misaada sio uchaguzi.
Nje ya mada, au! Mleta mada na baadhi ya wachangiaji wanatupia lawama Serikali kama itanyimwa misaada. Nyuma ya mada hiyo ni siasa tupu, kuwa ingekuwa Serikali ya upinzani, hilo huenda lisingetokea. Hivyo nimerahisisha na kujumuisha hoja hizo kuwa upinzani usubiri 2020, haiko mbali.
 
Mkuu, hao wanaojiita watetezi wa haki za binadamu, wangezitekeleza kwao mimi ningewaelewa zaidi. Haki za binadamu zinavunjwa wazi wazi huko kwao na wana namna yao ya kuwadhibiti wale wanaowaona kuwa hatari kwenye anga zao... wanawaficha tuu!!. >>Nakumbuka mwaka 1994 nikiwa Copenhagen kuna dereva wa taxi alikataa kata kata kunihudumia mimi kama mwafrika, huo ni ubaguzi unaokiuka haki za binadamu na umekithiri sana huko huko kwao, iweje kwetu wadai haki za binadamu zinakiukwa?.
Huyo dereva alipokataa uliripoti panapohusika nao wakakataa kukuhudumia.
 
Nje ya mada, au! Mleta mada na baadhi ya wachangiaji wanatupia lawama Serikali kama itanyimwa misaada. Nyuma ya mada hiyo ni siasa tupu, kuwa ingekuwa Serikali ya upinzani, hilo huenda lisingetokea. Hivyo nimerahisisha na kujumuisha hoja hizo kuwa upinzani usubiri 2020, haiko mbali.
Ingekuwa serikali ya upinzani? what do you mean.
 
Ningekuwa rais ningefukuza kibalozi cha Denmark [emoji1087] Sasa hivi
 
Yani kuna watanzania washenzi sana Hani yeye anapenda kupewa siku zote huu ni ulofa zaidi ya ule wa Sumaye.. Now lazima tu jitegemee kwa vyovyote vile
 
Ukipinga ushoga basi hupati misaada kuendeleza nchi yako, ila unaweza ukaua raia pemba, kudhulumu uchaguzi Zanzibar na misaada ukapata..... Mashoga ni muhimu kuliko demokrasia na haki za wengine....

Mtanzania Akili kichwani mwako, naona wengi wenu humu mumeanza kutetemeka kukosa misaada, mnataka kunambia kuwa mpo tayari kuchumishwa mboga upate pesa ya kununua IST?
 
Sasa anayelalamika jf na asitembeze bakuli na yule aliyekaa kimya na akatembeza bakuli nani aulizwe, mbn unaropoka na kushindwa kutumia akili hata kidogo. Nchi yetu inaendeshwa kwa misaada na hao wanaozuia ndio hao hao wanaofanya tuyaona haya maendeleo ambayo bado ni finyo ktk mambo yote ya elimu, afya na mambo mengine meengi. Ss ukijifanya kuona ni jambo jema kuvimba wakati unaowavimbia ndio wanaokusaidia ni ujinga tena ni bora uwavimbie kwenye maswala yenye tija ila serikali inafanya mambo ya kipuuzi hlf unavimba. Ww endelea kujipamoyo na wakati umtumiaji wa ARV's na wenye kuzitoa wameshabana.
Cc:Magonjwa Mtambuka
 
Am just thinking of my mother, she's about to retire Na haya majibwa yamepitisha 25 Kwa 75% Na alivyo spender mamangu Na ccm die hard fan, lord have mercy! No wonder Joyce mapunjo alipotumbuliwa Tu ukatibu mkuu akajifia, dahh!
Acha kuwa hela ya mama yako.. Fanya kazi upate hela
 
Back
Top Bottom