Baada ya WB na Denmark kusitisha misaada na uhusiano wanaofuata ni Scandinavia, EU, UK, Canada na Marekani

Hujui unachoandika na hawajui wazungu, kesho msije kulialia hamkujifunza kwa pesa ya kishika uchumba cha makinikia.
Mmekosa sera nyinyi sasa mnandandia tu kila taarifa hata kama ni fake news. Naona sasa dawa imeshawaingia tunategemea hadi 2020 mtakuwa mmepona ugonjwa wenu!
 
Mmekosa sera nyinyi sasa mnandandia tu kila taarifa hata kama ni fake news. Naona sasa dawa imeshawaingia tunategemea hadi 2020 mtakuwa mmepona ugonjwa wenu!
Wewe unadhani pesa zinatoka kiholela kuna makubaliano ambayo yamefikiwa ikiwa ni lazima elimu itolewe kwa wote boys and girls bila kubagua kazaa au hajazaa, think bigger.
 
WB wamekuja leo mbona hujaandika walichoongea na Mkulu, shuain zenu nyie mnaosherehekea kuckia nchi hii inapata tabu
Kumbe unajua tukinyimwa misaada na wazungu tutapata shida, sasa mlivyokuwa mnasema hamtaki misaada ya mashoga mlikuwa mnabeep.
 
Uzuri,Mungu Huwa atazami,definition za Ulimwengu huu....
Sasa ninyi mnapopambana kupanda mabaya,wakati huohuo Mungu uhinua watu kupanda mema.
Hasa pale sababu zinapomgusa moja kwa moja.
Watu wanajadili fact we unaleta hekaya. Unadhani wao EU na Marekani hawana Mungu? Je hiyo imani yako imesaidia VP nchi yako kutoka katika kundi la LDC? Au ndo akili mlotunzisha kwa akina Gwajima na Mzee wa upako!!!!
 
Ufafanuzi mzuri sana.
Umemziba mdomo mleta mada anae ropoka vitu kabla ya utafiti kupata taarifa sahihi.
 
Acha uongo ulikuwepo kwenye kikao au?
Hata kwenye kikao cha Mkiti wa barrick Thornton na Magufuli sikuwepo, ila rais alipotoka na kusema Acacia wamekubali kutulipa na kwa kuanzia eti watalipa kwanza kishika uchumba cha $300m nilijua hapa tunalishwa matango pori.

The same applies to yesterday's statement, tutajua tu makubaliano yaliyofikiwa ikiwa ni pamoja na mpango wa kuwasaidia watakaopata mimba wakiwa shuleni, WB sio wajinga watoe pesa yao bila mpango wowote, keep on following me.
 
Mkuu asante kwa mchango wako, uchambuzi wa bajeti una utaalamu wake sisi huwa tunachukua summary tu. Mchango wa bajeti huwa siyo lazima uwe cash unaweza kutolewa kwa grants, projects, misaada nk.

Ukisoma bandiko langu nimesema wahisani wanachangia almost 40% NA wana program nyingine nje ya bajeti ambayo huchangia $2.5m kwa mwaka. Hii ni quote ya speech ya Mpango ya bajeti 2017/18, angalia pia jedwari.


 
Kama haki za binadamu ni kukubalisha laana ya ushoga ,nitakuwa wa mwisho ku-LIKE
 
Wametoa au wameahidi, halafu huwezi kujua walichokubaliana, hata za makinikia waliahidi hivyo hivyo je wameshatoa ngapi?

Nikunukuu, Wametoa au wameahidi ni lugha yako mpya hiyo, du! Nia yako ni Serikali ya CCM isifanikiwe na siyo kwamba nchi iweze kupata maendeleo! Uzalendo gani huo?

Nyie ndiye hao mko tayari kuhamasisha maandamano ili tu fulani aingie madarakani kwa gharama ya kumwaga damu za wasio na hatia wakati ninyi na familia zenu mmejificha mkila bata! USALITI HUO.

MNATIA AIBU NA NAAMINI ROHO ZENU ZINAWASUTA.
 
Hujui unachoandika na hawajui wazungu, kesho msije kulialia hamkujifunza kwa pesa ya kishika uchumba cha makinikia.
Unajua kila senti inayoingia kwenye mfuko wa Hazina? Twambie ziko ngapi sasa hivi.

Wacha kurukia mambo usiyoyajua, unaonesha kiwango chako cha kutokujitambua. Watu kama wewe kamwe hamtapata nafasi ya kuongoza nchi hii. Na inawezekana hata familia zenu zinawashinda kutunza. ROHO MBAYA ZENU TU MNAWAONESHA WATANZANIA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…