Baada ya WB na Denmark kusitisha misaada na uhusiano wanaofuata ni Scandinavia, EU, UK, Canada na Marekani

Baada ya WB na Denmark kusitisha misaada na uhusiano wanaofuata ni Scandinavia, EU, UK, Canada na Marekani

Bora wasitize misaada tu sie mashetani hatuna shida zangu Msanga nakula Mihogo naishi shida ni kwa wachumia tumbo na waishio kwa mashemeji kurudi kijijini kuna wahusu.No kupiga dili no dfp wote tuisome no kuanzia juu hadi chini,misaada yenyewe ilikuwa haina tija zaidi ya manunuzi ya kuwahi deadline ya kuunga mkono udhalimu na uhairibifu wa demokrasia
 
Wia ini ze raiti traki.


Watumishi fanyeni hujuma indirect dhidi ya serikali hii onevu
 
View attachment 934597
Huyu ndio Zitto msaliti namba moja wa nchi yetu, ndiye anaeichonganisha nchi yetu na jumuiya za kimataifa, je unajua wananongea nn hapo? unajua kuwa asilimia kubwa ya mabalozi na wafanyakazi wa balozi ni majasusi wa nchi yaoo? wanapowapata wasaliti kama hawa ambao wakiwahonga fedha za misaada kwenye majimbo yao basi wanakuwa tayari kuongea kila kitu,
mnafikiri nini zito atakacho mwambia huyo zaidi ya kuomba wasitishe misaada kwa nchi? na ndio maana leo hii ikitokea taarifa ya kunyimqwa misaada basi mtu wa kwanza kuposti taarifa hiyo basi atakuwa ni Zito nakisha shangwe kufuatiwa na wasaliti wenzie.
You must be very stupid to believe haya mambo ya uchonganishi. Kwanini wasichonganishe miaka yote? Hivi haya yanayoendelea nchi hii unaitaji kua shushushu kuelewa ni upumbavu??
Kama mwananchi wa kawaida tu anaweza elewa namna mambo yanaenda hovyo, imagine huyo shushushu atakua anaelewa yapi.
 
Kama misaada yao ni muhimu kuliko hofu ya Mungu tuendelee kupiga kelele kuishawishi serikali yetu ikubali masharti. Kwa suala la uchafu wa jinsi moja (ushoga), kubadili maumbile na kuruhusu wasichana waliozaa kuendelea na uanafunzi wa shule ninamuunga mkono Rais John Pombe Magufuli na wasaidizi wake wanaoyapiga vita. Nawashauri Watanzania wenzangu tupinge laana hizi kwa nguvu zote.Hapa hakuna uchama wala udini. Ni hapana bila kupepesa macho. Hapa hakuna cha haki za binadamu bali ni haki za ushetani. Iwapo Mungu aliteketeza Sodoma na Gomora kwa sababu hiyo sisi ni nani wa kuhalalisha?
 
Kama misaada yao ni muhimu kuliko hofu ya Mungu tuendelee kupiga kelele kuishawishi serikali yetu ikubali masharti. Kwa suala la uchafu wa jinsi moja (ushoga), kubadili maumbile na kuruhusu wasichana waliozaa kuendelea na uanafunzi wa shule ninamuunga mkono Rais John Pombe Magufuli na wasaidizi wake wanaoyapiga vita. Nawashauri Watanzania wenzangu tupinge laana hizi kwa nguvu zote.Hapa hakuna uchama wala udini. Ni hapana bila kupepesa macho. Hapa hakuna cha haki za binadamu bali ni haki za ushetani. Iwapo Mungu aliteketeza Sodoma na Gomora kwa sababu hiyo sisi ni nani wa kuhalalisha?
Umeona la ushoga tu mengine ya demokrasia utawala bora huyaoni.
 
View attachment 934597
Huyu ndio Zitto msaliti namba moja wa nchi yetu, ndiye anaeichonganisha nchi yetu na jumuiya za kimataifa, je unajua wananongea nn hapo? unajua kuwa asilimia kubwa ya mabalozi na wafanyakazi wa balozi ni majasusi wa nchi yaoo? wanapowapata wasaliti kama hawa ambao wakiwahonga fedha za misaada kwenye majimbo yao basi wanakuwa tayari kuongea kila kitu,
mnafikiri nini zito atakacho mwambia huyo zaidi ya kuomba wasitishe misaada kwa nchi? na ndio maana leo hii ikitokea taarifa ya kunyimqwa misaada basi mtu wa kwanza kuposti taarifa hiyo basi atakuwa ni Zito nakisha shangwe kufuatiwa na wasaliti wenzie.
Zito ndo alimtuma Bashite aropoke
 
Hawa watu wana ushirikiano wa hali ya juu, hawana msaliamtume hasa linapokuja suala la haki za binadamu na utawala bora, ndio maana utakuta nchi nyingi zinazoongoza kwa utawala bora huwa ni kutoka nchi za EU na Scandinavia.

Kwa wasiojua nchi hizo huchangia 40% ya bajeti yetu, pia wana mpango wa pamoja wa kuisaidia Tanzania kimaendeleo unaojulikana kama Development Partners Group (DPG) unaohusisha nchi zaidi ya 17 nyingi zikiwa za EU na Scandinavia, UK na US, pamoja na mashirika makubwa matano ya kimataifa, WB, UN, European Commission, ADB na IMF.

Kutokana na mpango huo Tanzania hupokea wastani wa $2.5 billion zaidi ya trillion 6 kila mwaka.

Kutokana na ubabe na kiburi chetu WB wamezuia msaada wao leo Denmark wametunyima msaada na kumzuia balozi wao kututembelea kitendo kinachotafsiriwa kama mwanzo wa kuvunja uhusiano, wanaofuata ni nchi za Scandinavia ambazo ni Sweden, Finland, Norway, Iceland. Canada, Marekani na Uingereza watamalizia. Tutabaki na mchina.

Nchi hizi ni wadau wakubwa wa maendeleo yetu, ni wadau wakubwa kwenye sekta ya madini, utalii, gas nk. Tunapobeza umuhimu wao tutegemee kuzorota kwa uchumi pengine hali inaweza kuwa mbaya zaidi ya Zimbabwe.



Mkuu hongera sana kwakuleta hii mada kwenye jamvi ila nafikiri haupo sahihi unaposema kwamba misaada na mikopo toka nchi za nje ni 40% ya bajeti. Bajeti ya 2017/2018 mikopo na misaada toka nje ilikuwa ni Tshs 3,971.10 billion (13%) ya bajeti nzima Tshs 31,712 billion. Ndani ya hii 13% kuna wastani wa 11% kutoka mataifa ya ulaya na 2% kutoka nchi nyingine za bara la Asia.

Pia kuna sehemu umesema kwamba "Kutokana na mpango huo Tanzania hupokea wastani wa $2.5 billion kwa mwaka", nadhani hii ni asilimia ndogo sana kama 0.01% ya bajeti nzima ambayo haikupaswa kuzungumziwa kwenye mada maana kukosekana kwake hakutaleta mtikisiko wowote mkubwa.

Asanteni sana.

Bajeti 2017/2018 http://www.mof.go.tz/mofdocs/msemaji/BUDGET SPEECH 2017_2018.pdf
 
Mkuu hongera sana kwakuleta hii mada kwenye jamvi ila nafikiri haupo sahihi unaposema kwamba misaada na mikopo toka nchi za nje ni 40% ya bajeti. Bajeti ya 2017/2018 mikopo na misaada toka nje ilikuwa ni Tshs 3,971.10 billion (13%) ya bajeti nzima Tshs 31,712 billion. Ndani ya hii 13% kuna wastani wa 11% kutoka mataifa ya ulaya na 2% kutoka nchi nyingine za bara la Asia.

Pia kuna sehemu umesema kwamba "Kutokana na mpango huo Tanzania hupokea wastani wa $2.5 billion zaidi ya trillion 6 kila mwaka", nadhani hii ni asilimia ndogo sana kama 0.02% ya bajeti nzima ambayo haikupaswa kuzungumziwa kwenye mada maana kukosekana kwake hakutaleta mtikisiko wowote mkubwa.

Asanteni sana.
nimenyaka kosa moja kwenye post yako.

6tr ni 19% ya bajeti ya mwaka huu (32tr).
rekebisha hii.

hizo data zako nyingine sijazi check inawezekana nazo pia ni matango pori.
 
Maendeleo ya kweli sasa ndo yanakuja...manyang'au bye bye
Huwezi kuendelea in isolation. Na pia CCM wangeweka sera ya exit kutoka kwenye ombaomba mapema tungewaelewa, lakini wao mpaka kwenye budget wanaweka kiasi cha kuomba kwa donors
 
Kwa hiyo wewe uko tayari kuwa shoga ili mradi mkono kinywani?? Are you serious? Je kuwa shoga ndiyo haki za binadamu Mtanzania? Hopeless.
Kwani wameongelea ushoga kama ushoga au haki ya binadamu ambae ameamua kuishi maisha ya ushoga
Ni either unapotosha au hujui.
 
nimenyaka kosa moja kwenye post yako.

6tr ni 19% ya bajeti ya mwaka huu (32tr).
rekebisha hii.

hizo data zako nyingine sijazi check inawezekana nazo pia ni matango pori.

Nashukuru sana kaka kwa mchango wako na mapendekezo.Nilisahau kwa bahati mbaya kukaguwa kazi kabla ya ku post.
 
Kwa hili acha watunyime tu hiyo misaada,makonda yupo sahihi,tutafunga mikanda hivyo hivyo tu kuliko kutetea upunga
 
Kwa hili acha watunyime tu hiyo misaada,makonda yupo sahihi,tutafunga mikanda hivyo hivyo tu kuliko kutetea upunga
Tuendelee tu kutekana, kupingana risasi peupe, kuzuia freedom of speech au kwako ushoga ndilo la muhimu sana kuliko utawala wa sheria.
 
Umeona la ushoga tu mengine ya demokrasia utawala bora huyaoni.
Hilo unalipenda, sio. Jambo baya nitalitolea maoni kwa ubaya wake. Jema nitaliunga mkono kwa wema wake. Usiumie kwa maoni niliyayatoa. Labda kama ni mabaya kwa vionjo vyako.
 
Kwani wameongelea ushoga kama ushoga au haki ya binadamu ambae ameamua kuishi maisha ya ushoga
Ni either unapotosha au hujui.
Unakwepa suala la msingi kwani wameongelea tamko la 'kamishna fulani' kuwa hoja yao. Acha kuungaunga mambo.
 
Kama hizi habari ni za kweli,it's gonna be horrible. Nakumbuka enzi za mchonga tuliambiwa kila mtu afunge mkanda, naanza kuvuta picha ya empty shelves kwenye maduka yetu(I mean kama hizi habari ni za kweli), naomba Mungu zisiwe za kweli.
Acha uoga wewe acha ziwe za ukweli Mungu ndiye muweza atatuonyesha njia nyingine lakini kutumia kinyeo HAKUNA
 
Back
Top Bottom