Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Unatia huruma.Mimi nakula bata zangu tu mtajuana nyie na donor countries wenu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unatia huruma.Mimi nakula bata zangu tu mtajuana nyie na donor countries wenu.
You must be very stupid to believe haya mambo ya uchonganishi. Kwanini wasichonganishe miaka yote? Hivi haya yanayoendelea nchi hii unaitaji kua shushushu kuelewa ni upumbavu??View attachment 934597
Huyu ndio Zitto msaliti namba moja wa nchi yetu, ndiye anaeichonganisha nchi yetu na jumuiya za kimataifa, je unajua wananongea nn hapo? unajua kuwa asilimia kubwa ya mabalozi na wafanyakazi wa balozi ni majasusi wa nchi yaoo? wanapowapata wasaliti kama hawa ambao wakiwahonga fedha za misaada kwenye majimbo yao basi wanakuwa tayari kuongea kila kitu,
mnafikiri nini zito atakacho mwambia huyo zaidi ya kuomba wasitishe misaada kwa nchi? na ndio maana leo hii ikitokea taarifa ya kunyimqwa misaada basi mtu wa kwanza kuposti taarifa hiyo basi atakuwa ni Zito nakisha shangwe kufuatiwa na wasaliti wenzie.
Umeona la ushoga tu mengine ya demokrasia utawala bora huyaoni.Kama misaada yao ni muhimu kuliko hofu ya Mungu tuendelee kupiga kelele kuishawishi serikali yetu ikubali masharti. Kwa suala la uchafu wa jinsi moja (ushoga), kubadili maumbile na kuruhusu wasichana waliozaa kuendelea na uanafunzi wa shule ninamuunga mkono Rais John Pombe Magufuli na wasaidizi wake wanaoyapiga vita. Nawashauri Watanzania wenzangu tupinge laana hizi kwa nguvu zote.Hapa hakuna uchama wala udini. Ni hapana bila kupepesa macho. Hapa hakuna cha haki za binadamu bali ni haki za ushetani. Iwapo Mungu aliteketeza Sodoma na Gomora kwa sababu hiyo sisi ni nani wa kuhalalisha?
Zito ndo alimtuma Bashite aropokeView attachment 934597
Huyu ndio Zitto msaliti namba moja wa nchi yetu, ndiye anaeichonganisha nchi yetu na jumuiya za kimataifa, je unajua wananongea nn hapo? unajua kuwa asilimia kubwa ya mabalozi na wafanyakazi wa balozi ni majasusi wa nchi yaoo? wanapowapata wasaliti kama hawa ambao wakiwahonga fedha za misaada kwenye majimbo yao basi wanakuwa tayari kuongea kila kitu,
mnafikiri nini zito atakacho mwambia huyo zaidi ya kuomba wasitishe misaada kwa nchi? na ndio maana leo hii ikitokea taarifa ya kunyimqwa misaada basi mtu wa kwanza kuposti taarifa hiyo basi atakuwa ni Zito nakisha shangwe kufuatiwa na wasaliti wenzie.
Hawa watu wana ushirikiano wa hali ya juu, hawana msaliamtume hasa linapokuja suala la haki za binadamu na utawala bora, ndio maana utakuta nchi nyingi zinazoongoza kwa utawala bora huwa ni kutoka nchi za EU na Scandinavia.
Kwa wasiojua nchi hizo huchangia 40% ya bajeti yetu, pia wana mpango wa pamoja wa kuisaidia Tanzania kimaendeleo unaojulikana kama Development Partners Group (DPG) unaohusisha nchi zaidi ya 17 nyingi zikiwa za EU na Scandinavia, UK na US, pamoja na mashirika makubwa matano ya kimataifa, WB, UN, European Commission, ADB na IMF.
Kutokana na mpango huo Tanzania hupokea wastani wa $2.5 billion zaidi ya trillion 6 kila mwaka.
Kutokana na ubabe na kiburi chetu WB wamezuia msaada wao leo Denmark wametunyima msaada na kumzuia balozi wao kututembelea kitendo kinachotafsiriwa kama mwanzo wa kuvunja uhusiano, wanaofuata ni nchi za Scandinavia ambazo ni Sweden, Finland, Norway, Iceland. Canada, Marekani na Uingereza watamalizia. Tutabaki na mchina.
Nchi hizi ni wadau wakubwa wa maendeleo yetu, ni wadau wakubwa kwenye sekta ya madini, utalii, gas nk. Tunapobeza umuhimu wao tutegemee kuzorota kwa uchumi pengine hali inaweza kuwa mbaya zaidi ya Zimbabwe.
nimenyaka kosa moja kwenye post yako.Mkuu hongera sana kwakuleta hii mada kwenye jamvi ila nafikiri haupo sahihi unaposema kwamba misaada na mikopo toka nchi za nje ni 40% ya bajeti. Bajeti ya 2017/2018 mikopo na misaada toka nje ilikuwa ni Tshs 3,971.10 billion (13%) ya bajeti nzima Tshs 31,712 billion. Ndani ya hii 13% kuna wastani wa 11% kutoka mataifa ya ulaya na 2% kutoka nchi nyingine za bara la Asia.
Pia kuna sehemu umesema kwamba "Kutokana na mpango huo Tanzania hupokea wastani wa $2.5 billion zaidi ya trillion 6 kila mwaka", nadhani hii ni asilimia ndogo sana kama 0.02% ya bajeti nzima ambayo haikupaswa kuzungumziwa kwenye mada maana kukosekana kwake hakutaleta mtikisiko wowote mkubwa.
Asanteni sana.
Huwezi kuendelea in isolation. Na pia CCM wangeweka sera ya exit kutoka kwenye ombaomba mapema tungewaelewa, lakini wao mpaka kwenye budget wanaweka kiasi cha kuomba kwa donorsMaendeleo ya kweli sasa ndo yanakuja...manyang'au bye bye
Kwani wameongelea ushoga kama ushoga au haki ya binadamu ambae ameamua kuishi maisha ya ushogaKwa hiyo wewe uko tayari kuwa shoga ili mradi mkono kinywani?? Are you serious? Je kuwa shoga ndiyo haki za binadamu Mtanzania? Hopeless.
Trump kashindwa nyie mtawezaTrump hataki hata kusikia mashoga, angekuwa na uwezo angewateketeza kwemye concentration center huko Sobibor.
nimenyaka kosa moja kwenye post yako.
6tr ni 19% ya bajeti ya mwaka huu (32tr).
rekebisha hii.
hizo data zako nyingine sijazi check inawezekana nazo pia ni matango pori.
Tuendelee tu kutekana, kupingana risasi peupe, kuzuia freedom of speech au kwako ushoga ndilo la muhimu sana kuliko utawala wa sheria.Kwa hili acha watunyime tu hiyo misaada,makonda yupo sahihi,tutafunga mikanda hivyo hivyo tu kuliko kutetea upunga
Hilo unalipenda, sio. Jambo baya nitalitolea maoni kwa ubaya wake. Jema nitaliunga mkono kwa wema wake. Usiumie kwa maoni niliyayatoa. Labda kama ni mabaya kwa vionjo vyako.Umeona la ushoga tu mengine ya demokrasia utawala bora huyaoni.
Unakwepa suala la msingi kwani wameongelea tamko la 'kamishna fulani' kuwa hoja yao. Acha kuungaunga mambo.Kwani wameongelea ushoga kama ushoga au haki ya binadamu ambae ameamua kuishi maisha ya ushoga
Ni either unapotosha au hujui.
Inaonekana una matatizoTuendelee tu kutekana, kupingana risasi peupe, kuzuia freedom of speech au kwako ushoga ndilo la muhimu sana kuliko utawala wa sheria.
Acha uoga wewe acha ziwe za ukweli Mungu ndiye muweza atatuonyesha njia nyingine lakini kutumia kinyeo HAKUNAKama hizi habari ni za kweli,it's gonna be horrible. Nakumbuka enzi za mchonga tuliambiwa kila mtu afunge mkanda, naanza kuvuta picha ya empty shelves kwenye maduka yetu(I mean kama hizi habari ni za kweli), naomba Mungu zisiwe za kweli.