gemmanuel265
JF-Expert Member
- Feb 16, 2016
- 8,485
- 18,048
Naona hapa unamzungumzia magufuli mwenye sifa hizoUnajua kila senti inayoingia kwenye mfuko wa Hazina? Twambie ziko ngapi sasa hivi.
Wacha kurukia mambo usiyoyajua, unaonesha kiwango chako cha kutokujitambua. Watu kama wewe kamwe hamtapata nafasi ya kuongoza nchi hii. Na inawezekana hata familia zenu zinawashinda kutunza. ROHO MBAYA ZENU TU MNAWAONESHA WATANZANIA.
Kama hamumpendi Magufuli msubiri kumwondoa kwa kura lakini kila juhudi, kwa pamoja, tuijenga nchi hii. Kuombea mabaya Serikali ya inayongozwa na Magufuli ni kujiombea mabaya.Naona hapa unamzungumzia magufuli mwenye sifa hizo
Huwezi kuombea mazuri kwa serikali isiyojali maslahi mapana ya nchiKama hamumpendi Magufuli msubiri kumwondoa kwa kura lakini kila juhudi, kwa pamoja, tuijenga nchi hii. Kuombea mabaya Serikali ya inayongozwa na Magufuli ni kujiombea mabaya.
UPUMBAVU NA ULOFA wa mawazo unatusumbua sana, kiasi cha kutokujiamini.
Uzalendo sio kudanganya uonekane unaipenda nchi uzalendo ni kusema ukweli na kumwambia kiongozi hapa umekosea.Nikunukuu, Wametoa au wameahidi ni lugha yako mpya hiyo, du! Nia yako ni Serikali ya CCM isifanikiwe na siyo kwamba nchi iweze kupata maendeleo! Uzalendo gani huo?
Nyie ndiye hao mko tayari kuhamasisha maandamano ili tu fulani aingie madarakani kwa gharama ya kumwaga damu za wasio na hatia wakati ninyi na familia zenu mmejificha mkila bata! USALITI HUO.
MNATIA AIBU NA NAAMINI ROHO ZENU ZINAWASUTA.
Nani kakwambia nataka kuongoza nchi, naona kama unapanic, kama umeishiwa hoja kaa kimya.Unajua kila senti inayoingia kwenye mfuko wa Hazina? Twambie ziko ngapi sasa hivi.
Wacha kurukia mambo usiyoyajua, unaonesha kiwango chako cha kutokujitambua. Watu kama wewe kamwe hamtapata nafasi ya kuongoza nchi hii. Na inawezekana hata familia zenu zinawashinda kutunza. ROHO MBAYA ZENU TU MNAWAONESHA WATANZANIA.
Sina hoja zaidi ya kuwakumbusha uzalendo nyie vibaraka msioitakia nchi yenu mema kwa kila mara kuleta mada zinazotoa picha mbaya tu kuhusu nchi au Serikali yake, na nyingi zake zikiwa uongo na uzushi.Nani kakwambia nataka kuongoza nchi, naona kama unapanic, kama umeishiwa hoja kaa kimya.
Mambo wanayofanya akina Zitto na Lissu kupeleka taarifa kwa World Bank na mataifa ya Euro au ule mchezo waliofanya kwenye sakata la kuzuiliwa bombardier ni u-snitch tu.Unajua maana ya snitch au unalitumia tu kuji please.
Kila upande una definition yake ya snitch.Mambo wanayofanya akina Zitto na Lissu kupeleka taarifa kwa World Bank na mataifa ya Euro au ule mchezo waliofanya kwenye sakata la kuzuiliwa bombardier ni u-snitch tu.
Punguza UPOPOMA....hangaisha ubongo wako uujue ukweli ukikaa kusubiri taarifa kutoka kwa Humphrey utabaki kuwa kitukoKama haki za binaadamu zenyewe ni kukubali ushoga hatuwezi hilo waende tu.
Counting.......
tuombe hali ya hewa iwe nzuri vyakula viwepo. ukitokea ukame kila mtu ataomba poo awe mtawala, awe raiaKama hizi habari ni za kweli,it's gonna be horrible. Nakumbuka enzi za mchonga tuliambiwa kila mtu afunge mkanda, naanza kuvuta picha ya empty shelves kwenye maduka yetu(I mean kama hizi habari ni za kweli), naomba Mungu zisiwe za kweli.
kwa hiyo ulitaka amfukuze bashite kwa sasabu amekemea ushoga...au na wewe ni shoga******** must go, haiwezekani atuletee hili balaa kwa kumkumbatia bashite.
Aombe sana hali igeuke kuwa nzuri la sivyo muda utamfundisha kwa uchungu.
Kweli mbumbumbu wengi sana kama weweKwa hili acha watunyime tu hiyo misaada,makonda yupo sahihi,tutafunga mikanda hivyo hivyo tu kuliko kutetea upunga
Kweli mbumbumbu wengi sana kama wewe
Wajinga hawatakuunga mkono ,ulichosema sahihi ushoga kwao, kwani hatuwezi kulazimishwa utamaduni ambao hautufai wasubili tukienda kwao.Kama misaada yao ni muhimu kuliko hofu ya Mungu tuendelee kupiga kelele kuishawishi serikali yetu ikubali masharti. Kwa suala la uchafu wa jinsi moja (ushoga), kubadili maumbile na kuruhusu wasichana waliozaa kuendelea na uanafunzi wa shule ninamuunga mkono Rais John Pombe Magufuli na wasaidizi wake wanaoyapiga vita. Nawashauri Watanzania wenzangu tupinge laana hizi kwa nguvu zote.Hapa hakuna uchama wala udini. Ni hapana bila kupepesa macho. Hapa hakuna cha haki za binadamu bali ni haki za ushetani. Iwapo Mungu aliteketeza Sodoma na Gomora kwa sababu hiyo sisi ni nani wa kuhalalisha?
Kwa kuwa na wewe ni mmojawapo lazima ukasirike,tunyimeni tu hiyo misaada nyie mashoga aisee
Hivi kwanini mnajifanya kuwa na uchungu na 'matako' ya watu kwani huwa wanawashirikisha wakiwa chumbani.Wajinga hawatakuunga mkono ,ulichosema sahihi ushoga kwao, kwani hatuwezi kulazimishwa utamaduni ambao hautufai wasubili tukienda kwao.
Hawa watu wana ushirikiano wa hali ya juu, hawana msaliamtume hasa linapokuja suala la haki za binadamu na utawala bora, ndio maana utakuta nchi nyingi zinazoongoza kwa utawala bora huwa ni kutoka nchi za EU na Scandinavia.
Kwa wasiojua nchi hizo huchangia 40% ya bajeti yetu, pia wana mpango wa pamoja wa kuisaidia Tanzania kimaendeleo unaojulikana kama Development Partners Group (DPG) unaohusisha nchi zaidi ya 17 nyingi zikiwa za EU na Scandinavia, UK na US, pamoja na mashirika makubwa matano ya kimataifa, WB, UN, European Commission, ADB na IMF.
Kutokana na mpango huo Tanzania hupokea wastani wa $2.5 billion zaidi ya trillion 6 kila mwaka.
Kutokana na ubabe na kiburi chetu WB wamezuia msaada wao leo Denmark wametunyima msaada na kumzuia balozi wao kututembelea kitendo kinachotafsiriwa kama mwanzo wa kuvunja uhusiano, wanaofuata ni nchi za Scandinavia ambazo ni Sweden, Finland, Norway, Iceland. Canada, Marekani na Uingereza watamalizia. Tutabaki na mchina.
Nchi hizi ni wadau wakubwa wa maendeleo yetu, ni wadau wakubwa kwenye sekta ya madini, utalii, gas nk. Tunapobeza umuhimu wao tutegemee kuzorota kwa uchumi pengine hali inaweza kuwa mbaya zaidi ya Zimbabwe.