Baada ya WB na Denmark kusitisha misaada na uhusiano wanaofuata ni Scandinavia, EU, UK, Canada na Marekani

Baada ya WB na Denmark kusitisha misaada na uhusiano wanaofuata ni Scandinavia, EU, UK, Canada na Marekani

Unajua kila senti inayoingia kwenye mfuko wa Hazina? Twambie ziko ngapi sasa hivi.

Wacha kurukia mambo usiyoyajua, unaonesha kiwango chako cha kutokujitambua. Watu kama wewe kamwe hamtapata nafasi ya kuongoza nchi hii. Na inawezekana hata familia zenu zinawashinda kutunza. ROHO MBAYA ZENU TU MNAWAONESHA WATANZANIA.
Naona hapa unamzungumzia magufuli mwenye sifa hizo
 
Naona hapa unamzungumzia magufuli mwenye sifa hizo
Kama hamumpendi Magufuli msubiri kumwondoa kwa kura lakini kila juhudi, kwa pamoja, tuijenga nchi hii. Kuombea mabaya Serikali ya inayongozwa na Magufuli ni kujiombea mabaya.

UPUMBAVU NA ULOFA wa mawazo unatusumbua sana, kiasi cha kutokujiamini.
 
Kama hamumpendi Magufuli msubiri kumwondoa kwa kura lakini kila juhudi, kwa pamoja, tuijenga nchi hii. Kuombea mabaya Serikali ya inayongozwa na Magufuli ni kujiombea mabaya.

UPUMBAVU NA ULOFA wa mawazo unatusumbua sana, kiasi cha kutokujiamini.
Huwezi kuombea mazuri kwa serikali isiyojali maslahi mapana ya nchi
 
Nikunukuu, Wametoa au wameahidi ni lugha yako mpya hiyo, du! Nia yako ni Serikali ya CCM isifanikiwe na siyo kwamba nchi iweze kupata maendeleo! Uzalendo gani huo?

Nyie ndiye hao mko tayari kuhamasisha maandamano ili tu fulani aingie madarakani kwa gharama ya kumwaga damu za wasio na hatia wakati ninyi na familia zenu mmejificha mkila bata! USALITI HUO.

MNATIA AIBU NA NAAMINI ROHO ZENU ZINAWASUTA.
Uzalendo sio kudanganya uonekane unaipenda nchi uzalendo ni kusema ukweli na kumwambia kiongozi hapa umekosea.

Aliyekuwa msemaji wa Saddam wakati wa vita vya Iraki, Saeed Al Sahaff alikuwa anamdanganya Rais wake na wananchi kuwa wameyateka majeshi ya Marekani na kuyazingira alikuwa anonekana mzalendo kama wewe matokeo unayajua.

Kumbuka baada ya rais kuzungumza na mkiti wa Barrick alitoka nje na kutuambia Acacia wamekubali kutulipa mkashangilia ili muonekane wazalendo lkn baada ya siku chache Acacia wakakanusha.

Leo tena imejirudia the same rais anasema WB wamekubali kutoa bila kujiuliza je tumeyakubali masharti mnashangilia, tunaojiuliza mnatuona sio wazalendo.
 
Unajua kila senti inayoingia kwenye mfuko wa Hazina? Twambie ziko ngapi sasa hivi.

Wacha kurukia mambo usiyoyajua, unaonesha kiwango chako cha kutokujitambua. Watu kama wewe kamwe hamtapata nafasi ya kuongoza nchi hii. Na inawezekana hata familia zenu zinawashinda kutunza. ROHO MBAYA ZENU TU MNAWAONESHA WATANZANIA.
Nani kakwambia nataka kuongoza nchi, naona kama unapanic, kama umeishiwa hoja kaa kimya.
 
Nani kakwambia nataka kuongoza nchi, naona kama unapanic, kama umeishiwa hoja kaa kimya.
Sina hoja zaidi ya kuwakumbusha uzalendo nyie vibaraka msioitakia nchi yenu mema kwa kila mara kuleta mada zinazotoa picha mbaya tu kuhusu nchi au Serikali yake, na nyingi zake zikiwa uongo na uzushi.

Hao mnaowashabikia, narudia tena, kamwe hawatapewa ridhaa ya kuongoza nchi hii. Wameshindwa kuwaweka pamoja viongozi wenzao itakuwa jamii kubwa ya Watanzania! Wameshindwa kujenga ofisi za chama, wataweza kuondoa kero za wananchi (huduma za jamii na vichocheo vya kukuza uchumi)?
 
Unajua maana ya snitch au unalitumia tu kuji please.
Mambo wanayofanya akina Zitto na Lissu kupeleka taarifa kwa World Bank na mataifa ya Euro au ule mchezo waliofanya kwenye sakata la kuzuiliwa bombardier ni u-snitch tu.
 
Mambo wanayofanya akina Zitto na Lissu kupeleka taarifa kwa World Bank na mataifa ya Euro au ule mchezo waliofanya kwenye sakata la kuzuiliwa bombardier ni u-snitch tu.
Kila upande una definition yake ya snitch.
 
******** must go, haiwezekani atuletee hili balaa kwa kumkumbatia bashite.

Aombe sana hali igeuke kuwa nzuri la sivyo muda utamfundisha kwa uchungu.
 
Kama haki za binaadamu zenyewe ni kukubali ushoga hatuwezi hilo waende tu.
Punguza UPOPOMA....hangaisha ubongo wako uujue ukweli ukikaa kusubiri taarifa kutoka kwa Humphrey utabaki kuwa kituko
 
Kama hizi habari ni za kweli,it's gonna be horrible. Nakumbuka enzi za mchonga tuliambiwa kila mtu afunge mkanda, naanza kuvuta picha ya empty shelves kwenye maduka yetu(I mean kama hizi habari ni za kweli), naomba Mungu zisiwe za kweli.
tuombe hali ya hewa iwe nzuri vyakula viwepo. ukitokea ukame kila mtu ataomba poo awe mtawala, awe raia
 
******** must go, haiwezekani atuletee hili balaa kwa kumkumbatia bashite.

Aombe sana hali igeuke kuwa nzuri la sivyo muda utamfundisha kwa uchungu.
kwa hiyo ulitaka amfukuze bashite kwa sasabu amekemea ushoga...au na wewe ni shoga
 
Kama misaada yao ni muhimu kuliko hofu ya Mungu tuendelee kupiga kelele kuishawishi serikali yetu ikubali masharti. Kwa suala la uchafu wa jinsi moja (ushoga), kubadili maumbile na kuruhusu wasichana waliozaa kuendelea na uanafunzi wa shule ninamuunga mkono Rais John Pombe Magufuli na wasaidizi wake wanaoyapiga vita. Nawashauri Watanzania wenzangu tupinge laana hizi kwa nguvu zote.Hapa hakuna uchama wala udini. Ni hapana bila kupepesa macho. Hapa hakuna cha haki za binadamu bali ni haki za ushetani. Iwapo Mungu aliteketeza Sodoma na Gomora kwa sababu hiyo sisi ni nani wa kuhalalisha?
Wajinga hawatakuunga mkono ,ulichosema sahihi ushoga kwao, kwani hatuwezi kulazimishwa utamaduni ambao hautufai wasubili tukienda kwao.
 
Kwa kuwa na wewe ni mmojawapo lazima ukasirike,tunyimeni tu hiyo misaada nyie mashoga aisee
Wajinga hawatakuunga mkono ,ulichosema sahihi ushoga kwao, kwani hatuwezi kulazimishwa utamaduni ambao hautufai wasubili tukienda kwao.
Hivi kwanini mnajifanya kuwa na uchungu na 'matako' ya watu kwani huwa wanawashirikisha wakiwa chumbani.
 
Hawa watu wana ushirikiano wa hali ya juu, hawana msaliamtume hasa linapokuja suala la haki za binadamu na utawala bora, ndio maana utakuta nchi nyingi zinazoongoza kwa utawala bora huwa ni kutoka nchi za EU na Scandinavia.

Kwa wasiojua nchi hizo huchangia 40% ya bajeti yetu, pia wana mpango wa pamoja wa kuisaidia Tanzania kimaendeleo unaojulikana kama Development Partners Group (DPG) unaohusisha nchi zaidi ya 17 nyingi zikiwa za EU na Scandinavia, UK na US, pamoja na mashirika makubwa matano ya kimataifa, WB, UN, European Commission, ADB na IMF.

Kutokana na mpango huo Tanzania hupokea wastani wa $2.5 billion zaidi ya trillion 6 kila mwaka.

Kutokana na ubabe na kiburi chetu WB wamezuia msaada wao leo Denmark wametunyima msaada na kumzuia balozi wao kututembelea kitendo kinachotafsiriwa kama mwanzo wa kuvunja uhusiano, wanaofuata ni nchi za Scandinavia ambazo ni Sweden, Finland, Norway, Iceland. Canada, Marekani na Uingereza watamalizia. Tutabaki na mchina.

Nchi hizi ni wadau wakubwa wa maendeleo yetu, ni wadau wakubwa kwenye sekta ya madini, utalii, gas nk. Tunapobeza umuhimu wao tutegemee kuzorota kwa uchumi pengine hali inaweza kuwa mbaya zaidi ya Zimbabwe.

This country is supposed to be a donor country
 
Back
Top Bottom