Baada ya Wife kuniweka Lockup naona kama natengenezewa mazingira ya ku react nichukue hatua kali

Baada ya Wife kuniweka Lockup naona kama natengenezewa mazingira ya ku react nichukue hatua kali

Wakuu heshima kwenu. Poleni na majukumu.
Ndugu yenu numerudi tena kuwajuza yale yanayoendelea kunisibu, maana najua hapa wamejaa watu wenye upeo wa kushauri, kutia moyo ,kuonya, kukufungua jicho upate alert na wengine weeengi sana.

Wiki kadhaa zimepita toka nilete mikasa yangu na mazonge ya wife.

Soma: Mshkaji wangu anataka kumroga mama watoto wangu

Pia nikaleta huu: Nini madhara ya Kutoonekana mahakamani katika kesi ya Ndoa?

Sasa ni hivi, kwakifupi ni kwamba, baada ya wife kuamua kuondoka nyumbani, nikamtafuta mara kadhaa simu zikawa hazipokelewi, basi na mimi nikaamua kupiga kimyaa tu.
Si kupiga simu wala kutuma message.

Katika mazingira hayo, ya kutowasiliana, yeye akiwa kwao huko mitaa ya Boko, mimi nikaanza kupokea "samansi" kupitia ngazi za serikali.

Nikapelekwa dawati la jinsia polisi
Nikapelekwa baraza la kata
Nikaitwa kikao cha familia

(Koote huko, ni yeye, na msimamo wangu ulikua, kutafuta suluhu maisha yaendelee ila mwenzangu akagoma na kusisitiza dai la Talaka)

Nikaitwa tena polisi na kutiwa lockup
NIkatolewa kwa dhamana.
Niliporudi home nikakuta kahamisha karibia 50% ya kila kitu mle ndani, ikiwemo vitu vyake na vya watoto wetu wanne vyooote.

Nikafuatilia na kugundua kule baraza la kata ameshachukua form no.3 kwaajili ya kufungua shauri la talaka mahakamaani

Kipindi hiki chooote ni yeye anacheza offensive game ya kuniburuza namna hiyo anavyotaka, mimi nimetulia kwenye mode ya Deffensive game. Sitaki kushindana na mama watoto, hasa ukizingatia aliondoka na watoto.

Nikaona isiwe kesi, huyu mama kweli kadhamiria kuni destroy.

Ikumbukwe kuwa muda wote huo , niko busy na shughuli zangu za kibiashara na kusafiri mikoani, hivyo nalazimika kusitisha kazi na kuja kuitika wito mpaka nawekwa ndani, na kipindi hiki chote niliamua kuacha nyumba na kuhamishia makazi mwanza. Home pakawa pamebaki hapana mtu.

Baada ya muda nikapata wito wa mahakama, wife kafungua kesi ya kutadai talaka.

MImi nimetulia zangu tu wala sishindani naye.
Kila anachofanya, mimi napambana nacho, nachomoka, simtumii text, wala kumpigia kusema labda kumlaumu,au kumtishia au kumuomba msamaha aachane na hizi ishu, au kusalimia watoto, nimekaa kimyaa tuuu.

Mawazo nikaona yananizidia, nisije changanyikiwa, nikarudi nyumbani nyanda za juu kusini kwa baba na mama. Hii kwa kiasi kikubwa ikanisaidia.

ONA SASA,

Sasa week hii karibia na kesi, nikasafiri kurud Dar, kwakua nilikua na majukumu ya kikazi, nikaona isiwe tabu, nikatafuta taarifa za pale nyumbani panaendeleaje ? Nikamtafuta mtu wa jirani, akafika home akakuta pamevunjwa geti na nilimpomsihi anisaidie kuingia ndani na kukagua, akakuta 95% katika vitu vilivyobakishwa na wife alipotoroka nikiwa lockup, pia vimeibiwa.

Basi nilipomalizA majukumu yangu, nikaona nipite pale home, kisha nikaenda ku report polisi juu ya tukio, maana nikawaza, wife kafungua kesi ya talaka na moja ya madai yake ni mgawanyo wa mali kwa maana ya nyumba, sasa japo sikua na hamu tena na chochote juu ya mali, nikataka nipotezee tu hata nisifike home ila nikaona hii isije niletea shida kwenye kesi ya mgawanyo wa mali ikaonekana mimi kwa namna moja au nyingine nime temper na mali ambazo kesi ya wife inataka zigawanywe baada ya talaka.

Nikaona acha nipeleke taarifa niwe katika safe side.

Baada ya kumaliza ku report nikarudi tena nyumbani, na kushuhudia hali halisi, baada ya hapo, nikamuita kijana mmoja jirani yangu, nikamwambia achukue kila kitu kilichobaki mle ndani ambavyo wezi waliviacha.
Vitu vile vikubwa kubwa kama makabat na furniture ,na baadhi ya vyombo. Nikamwambia avichukue tu, nimempa, maana hawa wezi wanaweza wakarud tena wakaiba, hivyo bora jirani unufaike wewe ninayekujua. By the way sina mpango tena wa kurud kufanya maisha hapa.

Tukaachana nikaondoka kurudi hotel niilipofikia kusubiri siku ya kesi mahakamani maana imekaribia.

Sasa kitu cha kushangaza ni kwamba, yale niliyokua najiuliza na ku assume kichwani, ndiyo hayo hayo alikua akiyafikiri yule askari aliyenichukua maelezo. Maana yeye siku natiwa lockup na wife, yeye alikuwepo mpaka siku natoka, so mgogoro wetu anaujua.

Akaniuliza katika maelezo "je, katika tukio hili, unamtuhumu nani?".

Nikajibu "simtuhumu mtu wala sijui ni nani aliyetenda"

Akafunga maelezo na kufungua jalada kisha kunipa RB yangu.
Ila "off record" akaniambia " laiti kama mimi ningekua mpelelezi wa kesi hii, ningemtia hatiani mke wako kama mtuhumiwa namba 1"

Nikasema "hapana mimi sifahamu".
Japo kiukweli, ninasukumwa kuamini hili.

Ninaamini kabisa, wife amefikia hatua mbaya sana ya chuki juu yqngu na anajaribu kuni provoke indirectly na kuni push nichukue hatua ngumu, baada ya kuona kila chokochoko zake, mimi naamua kuzipuuzia, na kuingia gharama ya kukubali maumivu anayonisababishia.

Ikumbukwe chanzo cha mgogoro mzima ni mimi kufumania picha zake za uchi akiwa katika safari ya kikazi nikamhoji, akani temea shit, nikamchapa. Ila ndio hivyo anakomaa kuvunja ndoa.

Wakuu, na hayo tu.
NIwatakie mchana mwema
Mkuu picha za uchi ulizokuta ni picha gani, alikua anajichezea kyuma au alikua uchi tuu akajirekodi au alikua anatombwa??
 
Wakuu heshima kwenu. Poleni na majukumu.
Ndugu yenu numerudi tena kuwajuza yale yanayoendelea kunisibu, maana najua hapa wamejaa watu wenye upeo wa kushauri, kutia moyo ,kuonya, kukufungua jicho upate alert na wengine weeengi sana.

Wiki kadhaa zimepita toka nilete mikasa yangu na mazonge ya wife.

Soma: Mshkaji wangu anataka kumroga mama watoto wangu

Pia nikaleta huu: Nini madhara ya Kutoonekana mahakamani katika kesi ya Ndoa?

Sasa ni hivi, kwakifupi ni kwamba, baada ya wife kuamua kuondoka nyumbani, nikamtafuta mara kadhaa simu zikawa hazipokelewi, basi na mimi nikaamua kupiga kimyaa tu.
Si kupiga simu wala kutuma message.

Katika mazingira hayo, ya kutowasiliana, yeye akiwa kwao huko mitaa ya Boko, mimi nikaanza kupokea "samansi" kupitia ngazi za serikali.

Nikapelekwa dawati la jinsia polisi
Nikapelekwa baraza la kata
Nikaitwa kikao cha familia

(Koote huko, ni yeye, na msimamo wangu ulikua, kutafuta suluhu maisha yaendelee ila mwenzangu akagoma na kusisitiza dai la Talaka)

Nikaitwa tena polisi na kutiwa lockup
NIkatolewa kwa dhamana.
Niliporudi home nikakuta kahamisha karibia 50% ya kila kitu mle ndani, ikiwemo vitu vyake na vya watoto wetu wanne vyooote.

Nikafuatilia na kugundua kule baraza la kata ameshachukua form no.3 kwaajili ya kufungua shauri la talaka mahakamaani

Kipindi hiki chooote ni yeye anacheza offensive game ya kuniburuza namna hiyo anavyotaka, mimi nimetulia kwenye mode ya Deffensive game. Sitaki kushindana na mama watoto, hasa ukizingatia aliondoka na watoto.

Nikaona isiwe kesi, huyu mama kweli kadhamiria kuni destroy.

Ikumbukwe kuwa muda wote huo , niko busy na shughuli zangu za kibiashara na kusafiri mikoani, hivyo nalazimika kusitisha kazi na kuja kuitika wito mpaka nawekwa ndani, na kipindi hiki chote niliamua kuacha nyumba na kuhamishia makazi mwanza. Home pakawa pamebaki hapana mtu.

Baada ya muda nikapata wito wa mahakama, wife kafungua kesi ya kutadai talaka.

MImi nimetulia zangu tu wala sishindani naye.
Kila anachofanya, mimi napambana nacho, nachomoka, simtumii text, wala kumpigia kusema labda kumlaumu,au kumtishia au kumuomba msamaha aachane na hizi ishu, au kusalimia watoto, nimekaa kimyaa tuuu.

Mawazo nikaona yananizidia, nisije changanyikiwa, nikarudi nyumbani nyanda za juu kusini kwa baba na mama. Hii kwa kiasi kikubwa ikanisaidia.

ONA SASA,

Sasa week hii karibia na kesi, nikasafiri kurud Dar, kwakua nilikua na majukumu ya kikazi, nikaona isiwe tabu, nikatafuta taarifa za pale nyumbani panaendeleaje ? Nikamtafuta mtu wa jirani, akafika home akakuta pamevunjwa geti na nilimpomsihi anisaidie kuingia ndani na kukagua, akakuta 95% katika vitu vilivyobakishwa na wife alipotoroka nikiwa lockup, pia vimeibiwa.

Basi nilipomalizA majukumu yangu, nikaona nipite pale home, kisha nikaenda ku report polisi juu ya tukio, maana nikawaza, wife kafungua kesi ya talaka na moja ya madai yake ni mgawanyo wa mali kwa maana ya nyumba, sasa japo sikua na hamu tena na chochote juu ya mali, nikataka nipotezee tu hata nisifike home ila nikaona hii isije niletea shida kwenye kesi ya mgawanyo wa mali ikaonekana mimi kwa namna moja au nyingine nime temper na mali ambazo kesi ya wife inataka zigawanywe baada ya talaka.

Nikaona acha nipeleke taarifa niwe katika safe side.

Baada ya kumaliza ku report nikarudi tena nyumbani, na kushuhudia hali halisi, baada ya hapo, nikamuita kijana mmoja jirani yangu, nikamwambia achukue kila kitu kilichobaki mle ndani ambavyo wezi waliviacha.
Vitu vile vikubwa kubwa kama makabat na furniture ,na baadhi ya vyombo. Nikamwambia avichukue tu, nimempa, maana hawa wezi wanaweza wakarud tena wakaiba, hivyo bora jirani unufaike wewe ninayekujua. By the way sina mpango tena wa kurud kufanya maisha hapa.

Tukaachana nikaondoka kurudi hotel niilipofikia kusubiri siku ya kesi mahakamani maana imekaribia.

Sasa kitu cha kushangaza ni kwamba, yale niliyokua najiuliza na ku assume kichwani, ndiyo hayo hayo alikua akiyafikiri yule askari aliyenichukua maelezo. Maana yeye siku natiwa lockup na wife, yeye alikuwepo mpaka siku natoka, so mgogoro wetu anaujua.

Akaniuliza katika maelezo "je, katika tukio hili, unamtuhumu nani?".

Nikajibu "simtuhumu mtu wala sijui ni nani aliyetenda"

Akafunga maelezo na kufungua jalada kisha kunipa RB yangu.
Ila "off record" akaniambia " laiti kama mimi ningekua mpelelezi wa kesi hii, ningemtia hatiani mke wako kama mtuhumiwa namba 1"

Nikasema "hapana mimi sifahamu".
Japo kiukweli, ninasukumwa kuamini hili.

Ninaamini kabisa, wife amefikia hatua mbaya sana ya chuki juu yqngu na anajaribu kuni provoke indirectly na kuni push nichukue hatua ngumu, baada ya kuona kila chokochoko zake, mimi naamua kuzipuuzia, na kuingia gharama ya kukubali maumivu anayonisababishia.

Ikumbukwe chanzo cha mgogoro mzima ni mimi kufumania picha zake za uchi akiwa katika safari ya kikazi nikamhoji, akani temea shit, nikamchapa. Ila ndio hivyo anakomaa kuvunja ndoa.

Wakuu, na hayo tu.
NIwatakie mchana mwema
Du huyo manzi ni mkorofi kuliko.
Lakini 40 yake iko njiani, ataipata tu.
 
Wakati wa kuwana hakikisha watoto wawili unabaki nao ww acha ubwege Tena pambana kiume watoto wawili wabaki kwako ukishindwa hilo Hauna tofauti na lokole
 
Duuh.. Pole sana... huyo kesha rubuniwa... kwakuwa hajitambui nae kakubali kurubunika na kuharibu ndoa yake.... sasa, kwakuwa nimzoefu wa kuona visa vya namna hiyo... nakuhakikishia yafuatayo..
1. baada ya talaka, haitochukua muda mrefu, atakutafuta na kukuomba msamaha muyamalize. hiyo ni kwa sababu bwana mrubuni au mshauri akishaona ndoa imeharibika anakaa pembeni na ndo hapo atakapo ona dunia chungu maana hadi nduguze watamsimanga;
2. Akiona humduatilii ataenda kwa wazazi wako na kwa kasisi/sheikh wenu aliyewafungisha ndoa, akiamini huko ndo wataweza kulainisha moyo wako usahau ya nyuma na ugange yajayo...
3. Atakuwa kila siku akikupigia simu analia na kuomba msamaha huku akisema shetani alimpitia.. na wakati mwingine atakuja nyumbani kwako akishinda mlango huku akilia hivyo na majiriani wakimuangalia.. lengo la kufanya hivyo, umuonee huruma umsamehe.

sasa basi, akiwa anafanya hayo yote 1.wewe endelea kunyamaza hivyo hivyo... ali ajue kuwa, kuna baadhi ya vitu hapaswi kujaribu wala kunusa...
2. Hakikisha kwamba amejuta katika maisha ndipo hapo umsamehe... na ukimsamehe muweke katika uangalizi kwanza... (wala usiwe na tamaa Sanaa kushiriki nae tendo)

Mwisho lakini sio kwa umuhimu, naomba ulete mrejesho hatua hii ikifika...
Mleta mada fata hiki alichoandika jamaa. Labda na mimi niongezee kidogo.

1. Endelea kukaa kimya hivyo hivyo, kwa kesi yako uliyosimulia, mwanamke amekukosea sana na kwa kuwa ameshahamisha moyo wake kwenda kwa mwanaume mwingine, amekuwa kiburi zaidi.

2. Mali zinatafutwa, yamkini kwa sasa unaona inaweza ikakuchukua muda kupata zingingine ila amini kwamba huyo mwanamke akiondoka kwako, milango yako mingi itafunguka zaidi. Usije ukathubutu kumuachia mali zote, nenda nae mahakamani, gawaneni hizo mali kisha wekeza kwa sehemu kwa ajili ya wanao, anza tena maisha mengine mapya, usiingie haraka haraka kuanzisha mahusiano ya kifamilia na mwanamke mwingine. Umeshaumwa na nyoka tayari, so maumivu unayajua deeply. Womean are all the same japo najua ktk hili utakataa. Sikiliza mzee, popote penye anguko la mwanaume spiritually au physically basi behind yupo mwanamke. Kumbuka anguko la Adamu pale Eden, mfalme Ahabu, Samson akaangushwa na mwanamke. Angalia matajiri wakubwa duniani akina Elon Musk, Bill Gates, Putin n.k wote hawa wametalakiana na wake zao na hawataki kuoa tena, sasa jiulize wewe una akili kuliko hawa wanaozungukwa na jopo la wanasaikolojia, watu wa rohoni n.k? Mtume Petro alisisita kukaa na mwanamke kwa akili sana sababu alijua mlango wa shetani kuingiza maangamizi kwa mwanaume ni mwanamke.

3. Huyo mwanamke utafika wakati atajirudi tu kwako, kwa sasa una maumivu makali sana. Na unatamani hata aje akuombe msamaha ili mrudiane muendelee kulea familia. Kati ya makosa makubwa ambayo utakuja kuyafanya ni kuja kumsamehe huyo mwanamke kwa sasa wala kwa baadae.

Endelea kujikaza kwa kutomjibu wala kumtafuta.
 
Duuh.. Pole sana... huyo kesha rubuniwa... kwakuwa hajitambui nae kakubali kurubunika na kuharibu ndoa yake.... sasa, kwakuwa nimzoefu wa kuona visa vya namna hiyo... nakuhakikishia yafuatayo..
1. baada ya talaka, haitochukua muda mrefu, atakutafuta na kukuomba msamaha muyamalize. hiyo ni kwa sababu bwana mrubuni au mshauri akishaona ndoa imeharibika anakaa pembeni na ndo hapo atakapo ona dunia chungu maana hadi nduguze watamsimanga;
2. Akiona humduatilii ataenda kwa wazazi wako na kwa kasisi/sheikh wenu aliyewafungisha ndoa, akiamini huko ndo wataweza kulainisha moyo wako usahau ya nyuma na ugange yajayo...
3. Atakuwa kila siku akikupigia simu analia na kuomba msamaha huku akisema shetani alimpitia.. na wakati mwingine atakuja nyumbani kwako akishinda mlango huku akilia hivyo na majiriani wakimuangalia.. lengo la kufanya hivyo, umuonee huruma umsamehe.

sasa basi, akiwa anafanya hayo yote 1.wewe endelea kunyamaza hivyo hivyo... ali ajue kuwa, kuna baadhi ya vitu hapaswi kujaribu wala kunusa...
2. Hakikisha kwamba amejuta katika maisha ndipo hapo umsamehe... na ukimsamehe muweke katika uangalizi kwanza... (wala usiwe na tamaa Sanaa kushiriki nae tendo)

Mwisho lakini sio kwa umuhimu, naomba ulete mrejesho hatua hii ikifika...
Mleta mada fata hiki alichoandika jamaa. Labda na mimi niongezee kidogo.

1. Endelea kukaa kimya hivyo hivyo, kwa kesi yako uliyosimulia, mwanamke amekukosea sana na kwa kuwa ameshahamisha moyo wake kwenda kwa mwanaume mwingine, amekuwa kiburi zaidi.

2. Mali zinatafutwa, yamkini kwa sasa unaona inaweza ikakuchukua muda kupata zingingine ila amini kwamba huyo mwanamke akiondoka kwako, milango yako mingi itafunguka zaidi. Usije ukathubutu kumuachia mali zote, nenda nae mahakamani, gawaneni hizo mali kisha wekeza kwa sehemu kwa ajili ya wanao, anza tena maisha mengine mapya, usiingie haraka haraka kuanzisha mahusiano ya kifamilia na mwanamke mwingine. Umeshaumwa na nyoka tayari, so maumivu unayajua deeply. Womean are all the same japo najua ktk hili utakataa. Sikiliza mzee, popote penye anguko la mwanaume spiritually au physically basi behind yupo mwanamke. Kumbuka anguko la Adamu pale Eden, mfalme Ahabu, Samson akaangushwa na mwanamke. Angalia matajiri wakubwa duniani akina Elon Musk, Bill Gates, Putin n.k wote hawa wametalakiana na wake zao na hawataki kuoa tena, sasa jiulize wewe una akili kuliko hawa wanaozungukwa na jopo la wanasaikolojia, watu wa rohoni n.k? Mtume Petro alisisita kukaa na mwanamke kwa akili sana sababu alijua mlango wa shetani kuingiza maangamizi kwa mwanaume ni mwana

3. Huyo mwanamke utafika wakati atajirudi tu kwako, kwa sasa una maumivu makali sana. Na unatamani hata aje akuombe msamaha ili mrudiane muendelee kulea familia. Kati ya makosa makubwa ambayo utakuja kuyafanya ni kuja kumsamehe huyo mwanamke kwa sasa wala kwa baadae.

Endelea kujikaza kwa kutomjibu wala kumtafuta.
 
Back
Top Bottom