Mzee Kimamingo
JF-Expert Member
- Mar 31, 2024
- 1,861
- 4,462
Hii stori ina page nyingi zimechanwa haijitoshelezi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii stori ina page nyingi zimechanwa haijitoshelezi.
Ningekuwa mimi ndio mmiliki wa mtandao,watu ambao mpo serious kama nyie,nawapa lebo kabisa katika id zenuMimi Intelligent businessman ni raisi wa chama cha ma jobless pro max, makamu ni Bolotoba,
katibu ni min -me, wakili wa ma jobless ni Selikavu, waziri wa mambo ya ndani Thecoder, msajili wa chama Cha ma jobless ni dosho12, mratibu wa mipango ni Edo kissy
Msemaji wa chama Cha ma jobless pro max ni makutupora
Kidumu chama Cha ma jobless pro max View attachment 3231981
Naam shukrani kwa hilo, kidumu chama Cha ma jobless pro maxNingekuwa mimi ndio mmiliki wa mtandao,watu ambao mpo serious kama nyie,nawapa lebo kabisa katika id zenu
Nimeona katiba yenu mpo makini sana
Ni vyema watoto wakalelewa na mmoja tu ili kuepusha mpasuko wa watoto wenyewe kwa wenyewe huko mbeleni. Hii inaweza ikaja kuwa vita mbaya zaidi.Wakati wa kuwana hakikisha watoto wawili unabaki nao ww acha ubwege Tena pambana kiume watoto wawili wabaki kwako ukishindwa hilo Hauna tofauti na lokole
Hao nina mpango nao mbadala, nataka nimalizane na mdogo wao kwanzaNA HUKUWAFANYA CHOCHOTE?
AU UNA MPANGO WA KUWAFANYA KITU HAO NDUGU ZAKE?
Mkuu kuhusu hili ni kwel kabisaInaonekana familia masikini sana hiyo.
SAWASAWA MKUU.Hao nina mpango nao mbadala, nataka nimalizane na mdogo wao kwanza
Umeandika kama huna kichwa. Apate 10% kwa sababu zipi? Kisa watoto. Hao watoto wameshirikiana na wazazi wao kuijenga hio nyumba? Kama hujui kitu ni bora kukaa kimya kuliko kubwabwaja ushuzi kama huu.Pole sana Mkuu
Nadhani mahusiano yenu yapo hatua mbaya
Nakupongeza zaidi unavo handle situation
Nashauri kama talaka mpe tu
Tuendelee na maisha mengine, japo kama ametembea na watoto kwenye mgao wa nyumba unaweza pata 10%
Nimekuelewa sana chiefMleta mada fata hiki alichoandika jamaa. Labda na mimi niongezee kidogo.
1. Endelea kukaa kimya hivyo hivyo, kwa kesi yako uliyosimulia, mwanamke amekukosea sana na kwa kuwa ameshahamisha moyo wake kwenda kwa mwanaume mwingine, amekuwa kiburi zaidi.
2. Mali zinatafutwa, yamkini kwa sasa unaona inaweza ikakuchukua muda kupata zingingine ila amini kwamba huyo mwanamke akiondoka kwako, milango yako mingi itafunguka zaidi. Usije ukathubutu kumuachia mali zote, nenda nae mahakamani, gawaneni hizo mali kisha wekeza kwa sehemu kwa ajili ya wanao, anza tena maisha mengine mapya, usiingie haraka haraka kuanzisha mahusiano ya kifamilia na mwanamke mwingine. Umeshaumwa na nyoka tayari, so maumivu unayajua deeply. Womean are all the same japo najua ktk hili utakataa. Sikiliza mzee, popote penye anguko la mwanaume spiritually au physically basi behind yupo mwanamke. Kumbuka anguko la Adamu pale Eden, mfalme Ahabu, Samson akaangushwa na mwanamke. Angalia matajiri wakubwa duniani akina Elon Musk, Bill Gates, Putin n.k wote hawa wametalakiana na wake zao na hawataki kuoa tena, sasa jiulize wewe una akili kuliko hawa wanaozungukwa na jopo la wanasaikolojia, watu wa rohoni n.k? Mtume Petro alisisita kukaa na mwanamke kwa akili sana sababu alijua mlango wa shetani kuingiza maangamizi kwa mwanaume ni mwanamke.
3. Huyo mwanamke utafika wakati atajirudi tu kwako, kwa sasa una maumivu makali sana. Na unatamani hata aje akuombe msamaha ili mrudiane muendelee kulea familia. Kati ya makosa makubwa ambayo utakuja kuyafanya ni kuja kumsamehe huyo mwanamke kwa sasa wala kwa baadae.
Endelea kujikaza kwa kutomjibu wala kumtafuta.
Sasa hapo unaweza uka imagine uswahili tuliofanyiwa na hii familiaSasa kwenye kikao ndugu walitakiwa wasihusike
Ni kwel kuhusu kumpenda, sio uongo, haikua rahisi kukubali hii hali upesiKwa jinsi nilivyomfuatilia tangu uzi wake wa mwanzo ni kuwa baada ya mvurugano mkewe ametaka taraka moja kwa moja isipokuwa yeye ndio anataka usuluhishi.....mkewe anafanya visa ili apewe taraka Yale.....kwa njia ya khiyari imeshindikana kwa ndio kaamua kwenda mahakamani.......
Jamaa anaonekana bado anampenda mkewe na ndio maana anapata tabu na anapata ugumu wa kutoa talaka
Wengi sanaK
Wani wanawake wameisha mkuu?
Nimekudharau sanaUmeandika kama huna kichwa. Apate 10% kwa sababu zipi? Kisa watoto. Hao watoto wameshirikiana na wazazi wao kuijenga hio nyumba? Kama hujui kitu ni bora kukaa kimya kuliko kubwabwaja ushuzi kama huu.
Kwasasa nimekubali, nitampatia talakaWewe msimamo wako ni upi?
Yani ulifuma picha za uchi za mkeo akiwa safari kikazi afu hizo picha hakutuma kwako afu kakupeleka dawati eti na wewe unataka yaishe 😂 , inaonekana huyo mwanamke alikuwa anakuendesha kama gari bovu lakini nikupongeze tuu kwa kuwa mtulivu kwenye drama zake umetumia akili kutokunasa kwenye mitego yake. lakini ina uhakika baada ya talaka atakujaga kukumbeleza umsamehe mrudiane mlee watoto na wewe utakubali 😂Nilikua na attend kote aliko niita kwanza kwasababu nilikua naletewa wito wa kiserikali kwa nyaraka, sasa nikawa naona yaweza kuwa kosa kukaidi.
Pili nilikua naenda kwakua nilikua nataman tusifikie hatua ya kuvunja ndoa maana nilikua najiaminisha yamkini ni hasira tu ,tunaweza tukamaliza kwa kuongea wakiwepo na third parties. Kumbe waapi!!.
Ni kwel mimi ni mnyakiUpo sahihi kabisa.
Wamsaidie avuke salama.
Kama sikosei amedai ni mwenyeji wa Nyanda za juu kusini, kama ni mnyakyusa wanaume wa kinyakyusa walio wengi huwa hawapendi vurugu na hekaheka.
Msaidieni mdogo wenu.