Baada ya Wife kuniweka Lockup naona kama natengenezewa mazingira ya ku react nichukue hatua kali

Baada ya Wife kuniweka Lockup naona kama natengenezewa mazingira ya ku react nichukue hatua kali

Mkuu kwani husingeenda uko ofisi zote alizokupeleka kungetokea nini hasa uko sijui Baraza la kata na kikao cha famili wewe husinge enda, we ungepiga kimya na ulivyoona kachukua vitu vya ndani ungefanya kama ulivyofanya baada kukuta kumeibiwa na pale kama ulikodi unaama ata kija huyo mke wako akute kuna mtu mwingine.
Nilikua na attend kote aliko niita kwanza kwasababu nilikua naletewa wito wa kiserikali kwa nyaraka, sasa nikawa naona yaweza kuwa kosa kukaidi.
Pili nilikua naenda kwakua nilikua nataman tusifikie hatua ya kuvunja ndoa maana nilikua najiaminisha yamkini ni hasira tu ,tunaweza tukamaliza kwa kuongea wakiwepo na third parties. Kumbe waapi!!.
 
Pole sana kaka, na hili jua lilivyo Kali na huo moto unapelekewa unaweza kuwa chizi. Nadhan ushauri mzuri utaupata kwa mtu ambae amewahi kupitia changamoto kama hizo.
Kwa akili zangu za kisoda naweza kukuambia unique silaha zote tupambane na adui yako kumbe adui mwenyewe umeza nae watoto.
Hujakosea mzee. Kuna time nilikua nahis kupagawa..na niwe mkwel kuna time nimelia kiume kwa jinsi huyu mama alivyokua determined kuvunja hii ndoa, sasa nawawaza wanangu naona kama hatuwatendei haki, na yeye hanitendei haki mimi.
Ndio sababu nikaona acha nikapumzike kwa wazee kwanza
 
Hizi story za mahusiano ya ndoa ukizichukulia juu juu unaweza toa ushauri ukisukumwa na hisia kutokana na ulivyohadithiwa upande mmoja.Ingekuwa rahisi kukupa ushauri kama tungesikia side ya mkeo.Watoto 4 na anataka kuondoka sio jambo rahisi lazima kuna sababu nzito inayomfanya afanye hayo maamuzi.So ushauri wangu nenda kwa wazee wawakalishe chini kila mtu asikilizwe aseme nini kinamsibu.Kama unachosema ni kweli,huna tabia ya kumdundadunda,huna tabia za umalaya ulioshindikana na majukum yako yote unatilimiliza kama mwanaume mwache aende tu.
 
Hizi story za mahusiano ya ndoa ukizichukulia juu juu unaweza toa ushauri ukisukumwa na hisia kutokana na ulivyohadithiwa upande mmoja.Ingekuwa rahisi kukupa ushauri kama tungesikia side ya mkeo.Watoto 4 na anataka kuondoka sio jambo rahisi lazima kuna sababu nzito inayomfanya afanye hayo maamuzi.So ushauri wangu nenda kwa wazee wawakalishe chini kila mtu asikilizwe aseme nini kinamsibu.Kama unachosema ni kweli,huna tabia ya kumdundadunda,huna tabia za umalaya ulioshindikana na majukum yako yote unatilimiliza kama mwanaume mwache aende tu.
Tumeshakaa mpaka na wazee wake na wazee wangu kikao cha familia. Ndugu zake wakamtukana mzee wangu live live 😂
 
Pole sana Mkuu
Nadhani mahusiano yenu yapo hatua mbaya
Nakupongeza zaidi unavo handle situation
Nashauri kama talaka mpe tu
Tuendelee na maisha mengine, japo kama ametembea na watoto kwenye mgao wa nyumba unaweza pata 10%
Kwangu mimi hata nikipata 5% wala sio shida. Hamna tabu kabisaa
 
Kikubwa uki enda mahakamani, kubali tu mgawanyo wa mali ili uokoe hata kidogo kwa ajili ya wanao.

ila kuhusu kutaka makubaliano mrudiane, nakupinga hata kwa kukuchapa makofi arifu.

Huyo mwanamke amesha rubuniwa na dume + ndugu zake ili akusumbue aki tegemea uta acha mali zako kirahisi.

Narudia chukua hata kijiko, let that fool go, I am sure she will learn in the hardest way.
Nimekupata vyema
 
Hongera kwa hatua uliyopiga, kwenye maisha epuka kupambana na mwanamke kwa namna yoyote ile, sheria zimewapendelea sana wao. Nikushauri rudi dawatini ukakabidhi hiyo nyumba kimaandishi kwamba ni mke na watoto. Baada ya hapo kaendelee na maisha mengine, Mungu hata kuacha na utafanikiwa zaidi ya hivyo ulivyoacha leo. Muhimu tengeneza amani ya moyo wako,mtumaini na kumuomba Mungu siku zote za maisha yako,fanya kazi bidii na maarifa, inshalaah utafanikiwa. All the best chief.
Amen.
Kesi ni week hii hivyo, nitawsikia wao wanasemaje na kutoa mwingozo gani ila nataman tuyamalize haya haraka sana
 
Wakuu heshima kwenu. Poleni na majukumu.
Ndugu yenu numerudi tena kuwajuza yale yanayoendelea kunisibu, maana najua hapa wamejaa watu wenye upeo wa kushauri, kutia moyo ,kuonya, kukufungua jicho upate alert na wengine weeengi sana.

Wiki kadhaa zimepita toka nilete mikasa yangu na mazonge ya wife.

Soma: Mshkaji wangu anataka kumroga mama watoto wangu

Pia nikaleta huu: Nini madhara ya Kutoonekana mahakamani katika kesi ya Ndoa?

Sasa ni hivi, kwakifupi ni kwamba, baada ya wife kuamua kuondoka nyumbani, nikamtafuta mara kadhaa simu zikawa hazipokelewi, basi na mimi nikaamua kupiga kimyaa tu.
Si kupiga simu wala kutuma message.

Katika mazingira hayo, ya kutowasiliana, yeye akiwa kwao huko mitaa ya Boko, mimi nikaanza kupokea "samansi" kupitia ngazi za serikali.

Nikapelekwa dawati la jinsia polisi
Nikapelekwa baraza la kata
Nikaitwa kikao cha familia

(Koote huko, ni yeye, na msimamo wangu ulikua, kutafuta suluhu maisha yaendelee ila mwenzangu akagoma na kusisitiza dai la Talaka)

Nikaitwa tena polisi na kutiwa lockup
NIkatolewa kwa dhamana.
Niliporudi home nikakuta kahamisha karibia 50% ya kila kitu mle ndani, ikiwemo vitu vyake na vya watoto wetu wanne vyooote.

Nikafuatilia na kugundua kule baraza la kata ameshachukua form no.3 kwaajili ya kufungua shauri la talaka mahakamaani

Kipindi hiki chooote ni yeye anacheza offensive game ya kuniburuza namna hiyo anavyotaka, mimi nimetulia kwenye mode ya Deffensive game. Sitaki kushindana na mama watoto, hasa ukizingatia aliondoka na watoto.

Nikaona isiwe kesi, huyu mama kweli kadhamiria kuni destroy.

Ikumbukwe kuwa muda wote huo , niko busy na shughuli zangu za kibiashara na kusafiri mikoani, hivyo nalazimika kusitisha kazi na kuja kuitika wito mpaka nawekwa ndani, na kipindi hiki chote niliamua kuacha nyumba na kuhamishia makazi mwanza. Home pakawa pamebaki hapana mtu.

Baada ya muda nikapata wito wa mahakama, wife kafungua kesi ya kutadai talaka.

MImi nimetulia zangu tu wala sishindani naye.
Kila anachofanya, mimi napambana nacho, nachomoka, simtumii text, wala kumpigia kusema labda kumlaumu,au kumtishia au kumuomba msamaha aachane na hizi ishu, au kusalimia watoto, nimekaa kimyaa tuuu.

Mawazo nikaona yananizidia, nisije changanyikiwa, nikarudi nyumbani nyanda za juu kusini kwa baba na mama. Hii kwa kiasi kikubwa ikanisaidia.

ONA SASA,

Sasa week hii karibia na kesi, nikasafiri kurud Dar, kwakua nilikua na majukumu ya kikazi, nikaona isiwe tabu, nikatafuta taarifa za pale nyumbani panaendeleaje ? Nikamtafuta mtu wa jirani, akafika home akakuta pamevunjwa geti na nilimpomsihi anisaidie kuingia ndani na kukagua, akakuta 95% katika vitu vilivyobakishwa na wife alipotoroka nikiwa lockup, pia vimeibiwa.

Basi nilipomalizA majukumu yangu, nikaona nipite pale home, kisha nikaenda ku report polisi juu ya tukio, maana nikawaza, wife kafungua kesi ya talaka na moja ya madai yake ni mgawanyo wa mali kwa maana ya nyumba, sasa japo sikua na hamu tena na chochote juu ya mali, nikataka nipotezee tu hata nisifike home ila nikaona hii isije niletea shida kwenye kesi ya mgawanyo wa mali ikaonekana mimi kwa namna moja au nyingine nime temper na mali ambazo kesi ya wife inataka zigawanywe baada ya talaka.

Nikaona acha nipeleke taarifa niwe katika safe side.

Baada ya kumaliza ku report nikarudi tena nyumbani, na kushuhudia hali halisi, baada ya hapo, nikamuita kijana mmoja jirani yangu, nikamwambia achukue kila kitu kilichobaki mle ndani ambavyo wezi waliviacha.
Vitu vile vikubwa kubwa kama makabat na furniture ,na baadhi ya vyombo. Nikamwambia avichukue tu, nimempa, maana hawa wezi wanaweza wakarud tena wakaiba, hivyo bora jirani unufaike wewe ninayekujua. By the way sina mpango tena wa kurud kufanya maisha hapa.

Tukaachana nikaondoka kurudi hotel niilipofikia kusubiri siku ya kesi mahakamani maana imekaribia.

Sasa kitu cha kushangaza ni kwamba, yale niliyokua najiuliza na ku assume kichwani, ndiyo hayo hayo alikua akiyafikiri yule askari aliyenichukua maelezo. Maana yeye siku natiwa lockup na wife, yeye alikuwepo mpaka siku natoka, so mgogoro wetu anaujua.

Akaniuliza katika maelezo "je, katika tukio hili, unamtuhumu nani?".

Nikajibu "simtuhumu mtu wala sijui ni nani aliyetenda"

Akafunga maelezo na kufungua jalada kisha kunipa RB yangu.
Ila "off record" akaniambia " laiti kama mimi ningekua mpelelezi wa kesi hii, ningemtia hatiani mke wako kama mtuhumiwa namba 1"

Nikasema "hapana mimi sifahamu".
Japo kiukweli, ninasukumwa kuamini hili.

Ninaamini kabisa, wife amefikia hatua mbaya sana ya chuki juu yqngu na anajaribu kuni provoke indirectly na kuni push nichukue hatua ngumu, baada ya kuona kila chokochoko zake, mimi naamua kuzipuuzia, na kuingia gharama ya kukubali maumivu anayonisababishia.

Ikumbukwe chanzo cha mgogoro mzima ni mimi kufumania picha zake za uchi akiwa katika safari ya kikazi nikamhoji, akani temea shit, nikamchapa. Ila ndio hivyo anakomaa kuvunja ndoa.

Wakuu, na hayo tu.
NIwatakie mchana mwema
Mental illness is so real…. Wahi katibiwe!!
 
Acha kulia lia usha amua kusahau basi pita ivi ,fika mahakamani kwenye stage ya maridhiano (Mediation) funguka wachukue watakacho ili mambo yaishe kuhusu watoto hao ni wako na wao wakilishwa sumu zaa wengine
uyo mwanamke asha vuka mstari wa mwisho ..
Uko sahihi kamanda. Mi wala silii lii 😂. Nime chill zangu na observe mchezo tu
 
Duuh.. Pole sana... huyo kesha rubuniwa... kwakuwa hajitambui nae kakubali kurubunika na kuharibu ndoa yake.... sasa, kwakuwa nimzoefu wa kuona visa vya namna hiyo... nakuhakikishia yafuatayo..
1. baada ya talaka, haitochukua muda mrefu, atakutafuta na kukuomba msamaha muyamalize. hiyo ni kwa sababu bwana mrubuni au mshauri akishaona ndoa imeharibika anakaa pembeni na ndo hapo atakapo ona dunia chungu maana hadi nduguze watamsimanga;
2. Akiona humduatilii ataenda kwa wazazi wako na kwa kasisi/sheikh wenu aliyewafungisha ndoa, akiamini huko ndo wataweza kulainisha moyo wako usahau ya nyuma na ugange yajayo...
3. Atakuwa kila siku akikupigia simu analia na kuomba msamaha huku akisema shetani alimpitia.. na wakati mwingine atakuja nyumbani kwako akishinda mlango huku akilia hivyo na majiriani wakimuangalia.. lengo la kufanya hivyo, umuonee huruma umsamehe.

sasa basi, akiwa anafanya hayo yote 1.wewe endelea kunyamaza hivyo hivyo... ali ajue kuwa, kuna baadhi ya vitu hapaswi kujaribu wala kunusa...
2. Hakikisha kwamba amejuta katika maisha ndipo hapo umsamehe... na ukimsamehe muweke katika uangalizi kwanza... (wala usiwe na tamaa Sanaa kushiriki nae tendo)

Mwisho lakini sio kwa umuhimu, naomba ulete mrejesho hatua hii ikifika...
Nitarudisha tu mrejeshi, uzuri hapa JF unaweza fufua uzi hta ipita miaka ..
 
Wakuu heshima kwenu. Poleni na majukumu.
Ndugu yenu numerudi tena kuwajuza yale yanayoendelea kunisibu, maana najua hapa wamejaa watu wenye upeo wa kushauri, kutia moyo ,kuonya, kukufungua jicho upate alert na wengine weeengi sana.

Wiki kadhaa zimepita toka nilete mikasa yangu na mazonge ya wife.

Soma: Mshkaji wangu anataka kumroga mama watoto wangu

Pia nikaleta huu: Nini madhara ya Kutoonekana mahakamani katika kesi ya Ndoa?

Sasa ni hivi, kwakifupi ni kwamba, baada ya wife kuamua kuondoka nyumbani, nikamtafuta mara kadhaa simu zikawa hazipokelewi, basi na mimi nikaamua kupiga kimyaa tu.
Si kupiga simu wala kutuma message.

Katika mazingira hayo, ya kutowasiliana, yeye akiwa kwao huko mitaa ya Boko, mimi nikaanza kupokea "samansi" kupitia ngazi za serikali.

Nikapelekwa dawati la jinsia polisi
Nikapelekwa baraza la kata
Nikaitwa kikao cha familia

(Koote huko, ni yeye, na msimamo wangu ulikua, kutafuta suluhu maisha yaendelee ila mwenzangu akagoma na kusisitiza dai la Talaka)

Nikaitwa tena polisi na kutiwa lockup
NIkatolewa kwa dhamana.
Niliporudi home nikakuta kahamisha karibia 50% ya kila kitu mle ndani, ikiwemo vitu vyake na vya watoto wetu wanne vyooote.

Nikafuatilia na kugundua kule baraza la kata ameshachukua form no.3 kwaajili ya kufungua shauri la talaka mahakamaani

Kipindi hiki chooote ni yeye anacheza offensive game ya kuniburuza namna hiyo anavyotaka, mimi nimetulia kwenye mode ya Deffensive game. Sitaki kushindana na mama watoto, hasa ukizingatia aliondoka na watoto.

Nikaona isiwe kesi, huyu mama kweli kadhamiria kuni destroy.

Ikumbukwe kuwa muda wote huo , niko busy na shughuli zangu za kibiashara na kusafiri mikoani, hivyo nalazimika kusitisha kazi na kuja kuitika wito mpaka nawekwa ndani, na kipindi hiki chote niliamua kuacha nyumba na kuhamishia makazi mwanza. Home pakawa pamebaki hapana mtu.

Baada ya muda nikapata wito wa mahakama, wife kafungua kesi ya kutadai talaka.

MImi nimetulia zangu tu wala sishindani naye.
Kila anachofanya, mimi napambana nacho, nachomoka, simtumii text, wala kumpigia kusema labda kumlaumu,au kumtishia au kumuomba msamaha aachane na hizi ishu, au kusalimia watoto, nimekaa kimyaa tuuu.

Mawazo nikaona yananizidia, nisije changanyikiwa, nikarudi nyumbani nyanda za juu kusini kwa baba na mama. Hii kwa kiasi kikubwa ikanisaidia.

ONA SASA,

Sasa week hii karibia na kesi, nikasafiri kurud Dar, kwakua nilikua na majukumu ya kikazi, nikaona isiwe tabu, nikatafuta taarifa za pale nyumbani panaendeleaje ? Nikamtafuta mtu wa jirani, akafika home akakuta pamevunjwa geti na nilimpomsihi anisaidie kuingia ndani na kukagua, akakuta 95% katika vitu vilivyobakishwa na wife alipotoroka nikiwa lockup, pia vimeibiwa.

Basi nilipomalizA majukumu yangu, nikaona nipite pale home, kisha nikaenda ku report polisi juu ya tukio, maana nikawaza, wife kafungua kesi ya talaka na moja ya madai yake ni mgawanyo wa mali kwa maana ya nyumba, sasa japo sikua na hamu tena na chochote juu ya mali, nikataka nipotezee tu hata nisifike home ila nikaona hii isije niletea shida kwenye kesi ya mgawanyo wa mali ikaonekana mimi kwa namna moja au nyingine nime temper na mali ambazo kesi ya wife inataka zigawanywe baada ya talaka.

Nikaona acha nipeleke taarifa niwe katika safe side.

Baada ya kumaliza ku report nikarudi tena nyumbani, na kushuhudia hali halisi, baada ya hapo, nikamuita kijana mmoja jirani yangu, nikamwambia achukue kila kitu kilichobaki mle ndani ambavyo wezi waliviacha.
Vitu vile vikubwa kubwa kama makabat na furniture ,na baadhi ya vyombo. Nikamwambia avichukue tu, nimempa, maana hawa wezi wanaweza wakarud tena wakaiba, hivyo bora jirani unufaike wewe ninayekujua. By the way sina mpango tena wa kurud kufanya maisha hapa.

Tukaachana nikaondoka kurudi hotel niilipofikia kusubiri siku ya kesi mahakamani maana imekaribia.

Sasa kitu cha kushangaza ni kwamba, yale niliyokua najiuliza na ku assume kichwani, ndiyo hayo hayo alikua akiyafikiri yule askari aliyenichukua maelezo. Maana yeye siku natiwa lockup na wife, yeye alikuwepo mpaka siku natoka, so mgogoro wetu anaujua.

Akaniuliza katika maelezo "je, katika tukio hili, unamtuhumu nani?".

Nikajibu "simtuhumu mtu wala sijui ni nani aliyetenda"

Akafunga maelezo na kufungua jalada kisha kunipa RB yangu.
Ila "off record" akaniambia " laiti kama mimi ningekua mpelelezi wa kesi hii, ningemtia hatiani mke wako kama mtuhumiwa namba 1"

Nikasema "hapana mimi sifahamu".
Japo kiukweli, ninasukumwa kuamini hili.

Ninaamini kabisa, wife amefikia hatua mbaya sana ya chuki juu yqngu na anajaribu kuni provoke indirectly na kuni push nichukue hatua ngumu, baada ya kuona kila chokochoko zake, mimi naamua kuzipuuzia, na kuingia gharama ya kukubali maumivu anayonisababishia.

Ikumbukwe chanzo cha mgogoro mzima ni mimi kufumania picha zake za uchi akiwa katika safari ya kikazi nikamhoji, akani temea shit, nikamchapa. Ila ndio hivyo anakomaa kuvunja ndoa.

Wakuu, na hayo tu.
NIwatakie mchana mwema
MKUU UNAWEZA KUUA?
YAANI UNA ROHO NGUMU KUWEZA KUUA MTU?
 
Back
Top Bottom