Baada ya Yahya Sinwar kuteuliwa kuiongoza Hamas, Israel inapata tabu sana

Ngapi ngapi matokeo uko
 
Hahaha kwema mkuu?
 
Yahya Sinwar was a resister, not a terrorist Yahya Sinwar was defending his land against the most despicable people in the history.
God save Gaza and Palestine.
 
Tabu ipo pale pale alipokua hai na hata sasa hayupo
Viongozi wengi sana wa Hamas kabla ya Sinwar wameuawa na Israel ila bado Hamas haikusambaratika sana sana alipatikana mrithi mpya.

Ndivyo itakavyokuwa pia hata sasa, suluhisho la huu mzozo ni taifa huru la Palestine kuanzishwa na ukaliaji wa ardhi yao kimabavu ukome.
 
Yahya Sinwar was a resister, not a terrorist Yahya Sinwar was defending his land against the most despicable people in the history.
God save Gaza and Palestine.
 
Anayeleta kero na anyoshwe kidogo...
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜!

Kabiiiiiiiiiiiiisa lo

Kuna vitu vinakera sana inafika hatua mtu anaona liwalo na liwe
 
Soma tena post yako, hongera kwa Hamas kuwa na mwamba huyu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…