Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
- Thread starter
- #61
Unaona aibu ya niniKila nikisoma uzi huu naona aibu mimi yaani!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaona aibu ya niniKila nikisoma uzi huu naona aibu mimi yaani!
Akiba ya maneno ya nini au wewe unajua ndio vita imeisha?Kiko wapi muwe mnaweka akiba ya maneno!
Bahati mbaya ni kwamba vita haitasimama.kwa bahati mbaya, wameshauwa.
Naisoma kwa ujasiri sana .kamanda kafia vitani bahati mbaya sana vita haitasimama kwahiyo kama mlikua mnadhani vita imeisha kalagabaho.Soma tena post yako, hongera kwa Hamas kuwa na mwamba huyu.
Mashoga wanachakazwa vibaya. Hezbollah wananipa Raha sana wananipigia mtu mpaka anaivaaSaaana hadi ayatollah aharishie remba lake
Hehe mvaa madera yuko wapi sahiviMashoga wanachakazwa vibaya. Hezbollah wananipa Raha sana wananipigia mtu mpaka anaivaa
Isimame isisimame, Mwarabu hawezi kuiondosha Israel pale.Walitaka kuiondosha tangu 1948 ila sasa Waarabu hawapigani kuiondosha Israel tena bali wanataka watambuliwe nao kama Taifa huru. Kwi kwi kwiiii 🤣.Bahati mbaya ni kwamba vita haitasimama.
Waswahili wanasema uongozi ni karama. Huyu bwana sinwari anaonekana si wa mchezo mchezo.
Kwanza kaongoza Hamas tawi la kijeshi kuanzia Oktober 7 mpaka Leo. Israel anauwa Lebanon , Syria , Iraq, Iran na Yemen lakini wamemshindwa mwanaume yupo Gaza Km 30 kutoka boda ya Israel na Palestine.
Sinwar ameingia katika uongozi na kukataa zaidi ya mara tati sasa mapendekezo ya US, Egypt na Qatar katika usuluhisho ambao inaonekana ku favor Israel.
Alipoiingia Sinwar Hezbollah ni kama wametiwa mafuta kwenye moto hawapoi ni kumwaga moto tu
Hakika Hamas mmepata kiongozi atakae wavusha. Kamanda Yahya Sinwar.
View attachment 3080047
Warabu wapo bega kwa bega na Israel au huoni? Hapo ni wapalestina wanapambania nchi Yao hakuna mwarabu anaemsaidia mpalestina zaidi ya Yemen na Lebanon wengine wote waliobaki malofa tuIsimame isisimame, Mwarabu hawezi kuiondosha Israel pale.Walitaka kuiondosha tangu 1948 ila sasa Waarabu hawapigani kuiondosha Israel tena bali wanataka watambuliwe nao kama Taifa huru. Kwi kwi kwiiii 🤣.
Mwarabu hana uwezo juu ya Israel ndo maana Israel itaendelea kuwepo pale sana tu.
Daadeeki,,,,,vijini havikumpa taarifa mapema
Malofa sababu wanatambua mziki wa israel.....hao wengine waendelee hivyo hivyo Iran atawasaidia tu......hadi wale magaidi wa huku Africa wakomae tu Iran atawasaidiaWarabu wapo bega kwa bega na Israel au huoni? Hapo ni wapalestina wanapambania nchi Yao hakuna mwarabu anaemsaidia mpalestina zaidi ya Yemen na Lebanon wengine wote waliobaki malofa tu
Wapalestina Bado wanapambania nchi Yao hata iwejeMalofa sababu wanatambua mziki wa israel.....hao wengine waendelee hivyo hivyo Iran atawasaidia tu......hadi wale magaidi wa huku Africa wakomae tu Iran atawasaidia
Tayari analawitiwa hukoYaani Israel itishwe na hiko kikaragosi, kikikaa kindezi kitaungana na wale mabikra 72
Amekufa mdomo wazi
Mkuu yametimia leo amuone huyo Maria uliemsema mbuzi weyeKikaragosi mbona mpaka Leo hawajakikamata. Halafu mabikira wameongezeka sasahivi ni 13 pamoja na bikira maria.
He is not the first, will not be the last. It is 76 years of struggling and resistance till victory ✌️Mkuu yametimia leo amuone huyo Maria uliemsema mbuzi weye