Bado una cha kusema kumhusu huyo gaidi..??Mzee yuko fiti huyo c wakukaaa ofisini kama nyetinyau
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado una cha kusema kumhusu huyo gaidi..??Mzee yuko fiti huyo c wakukaaa ofisini kama nyetinyau
Ha ha haNgapi ngapi matokeo uko
Huu uzi wa kijinga ulinipitaje huu! Jeuri za kipumbavu tu mepesi kama pamba.Waswahili wanasema uongozi ni karama. Huyu bwana sinwari anaonekana si wa mchezo mchezo.
Kwanza kaongoza Hamas tawi la kijeshi kuanzia Oktober 7 mpaka Leo. Israel anauwa Lebanon , Syria , Iraq, Iran na Yemen lakini wamemshindwa mwanaume yupo Gaza Km 30 kutoka boda ya Israel na Palestine.
Sinwar ameingia katika uongozi na kukataa zaidi ya mara tati sasa mapendekezo ya US, Egypt na Qatar katika usuluhisho ambao inaonekana ku favor Israel.
Alipoiingia Sinwar Hezbollah ni kama wametiwa mafuta kwenye moto hawapoi ni kumwaga moto tu
Hakika Hamas mmepata kiongozi atakae wavusha. Kamanda Yahya Sinwar.
View attachment 3080047
Aisee Sina wali mbishi kinoma pale pale kwenye kijisofa chake na mavumbi vumbi mpaka kwenye masikio ila akaamua kuirushia drone gongo ailipue ,ukisikia siku ya kufa nyani miti yote huteleza yani Sina wali kataka kuiangusha drone na mtwangio wa kinu
Vipi mbona unaropokwa. Unashangaa kifo?Nyoko
Vipi mbona unaropokwa. Unashangaa kifo?
Mwanaume huyo siyo wale wengine wanakufa na pampas matakoni
Mwanaume huyo siyo wale wengine wanakufa na pampas matakoni
Mwanaume huyo siyo wale wengine wanakufa na pampas matakoni
Mwanaume huyo siyo wale wengine wanakufa na pampas matakoni
Unazo pampas pia auMwanaume huyo siyo wale wengine wanakufa na pampas matakoni
Pole naona umekasirika sana😂Unazo pampas pia au
☹️Hakika Hamas mmepata kiongozi atakae wavusha. Kamanda Yahya Sinwar.
Sijui hii post unaionaje sasahiviKikaragosi mbona mpaka Leo hawajakikamata. Halafu mabikira wameongezeka sasahivi ni 13 pamoja na bikira maria.