Right Way In Light
JF-Expert Member
- Jul 27, 2024
- 1,322
- 3,461
Taabu kapata yeye.
Ndio uzuri wa JF. Andika ujinga weeee, watu wanatunza risit tu.
Ndio uzuri wa JF. Andika ujinga weeee, watu wanatunza risit tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unakuja kukenua huku baadae mseme mmeibiwa kura na CCM badala ya kuwahimiza watu wenu wajiandikishe. Chadema Bure kabisa😆😆😆😆
Mbona kama mnashangaa sana mtu kufa au hujawahi kusikia mtu amekufa?Taabu kapata yeye.
Ndio uzuri wa JF. Andika ujinga weeee, watu wanatunza risit tu.
Tumewah.Mbona kama mnashangaa sana mtu kufa au hujawahi kusikia mtu amekufa?
Taabu kapata yeye.
Ndio uzuri wa JF. Andika ujinga weeee, watu wanatunza risit tu.
Kufa ni kupoteza, na hakuna hero Gaidi. Gaidi ni Gaidi.Kufa ni lazima siyo kupoteza kwani Kuna mtu ambaye hatakufa?
Mbona kama mnashangaa sana mtu kufa au hujawahi kusikia mtu amekufa?
Pale alipokuwa anarushia drone fimbo ndio alikuwa anapigana?Huyu mwanaume kafa anapigana.wale wa upande wa pili wanakufa na pampas matakoni
Kama kufa ni kupoteza basi Kila mtu hapa duniani kapoteza maana atakufa. Halafu rekebisha hapo Sinwar ni Freedom fighter a man Died fighting for his motherland. Wale wa upande wa pili wanakufa na pampas Zina mavi matakoni.Kufa ni kupoteza, na hakuna hero Gaidi. Gaidi ni Gaidi.
Muhimu hapo ni kujaza nafasi yake iliyo wazi, ukipenda nenda uichukue.
Tumewah. Si ndio huyu au??Mbona kama mnashangaa sana mtu kufa au hujawahi kusikia mtu amekufa?
Yule mwamba pale ilikua ndo anakata roho dakika chache nyuma alikua na AK 47 kawaua wavaa pampas kama wanne hivi wakiwa na mavi Yao matakoni nao wamemsindikiza huko kwa baba. Unaambiwa vifaru na missiles pamoja na drone zimetumika ndo mpaka roho ya mwamba inatoka.Pale alipokuwa anarushia drone fimbo ndio alikuwa anapigana?
SijakuelewaTumewah. Si ndio huyu au??
Freedom fighter kivipi, huyo ni Gaidi.Kama kufa ni kupoteza basi Kila mtu hapa duniani kapoteza maana atakufa. Halafu rekebisha hapo Sinwar ni Freedom fighter a man Died fighting for his motherland. Wale wa upande wa pili wanakufa na pampas Zina mavi matakoni.
Israel Hana Haki ya kuchukua ardhi ya wapalestina. Jirani gani kaja mwaka 1948 mpaka Leo anazidi kuwasukumia nje wapalestina achukuwe nchi yote peke yake.Freedom fighter kivipi, huyo ni Gaidi.
Huwezi kugombea uhuru kwenye shamba na ardhi ya Jirani Yako.
Land wamepewa wakakataa, wakaamua kuua ili waende kula bikra 72.The man Died fought for his Land . Hayo ya kubakana ni uzushi wenu waswahili
Acha uongo Urusi china na Korea waingie hapo Kuna kitu kitabaki? Hezbollah to na Houth wanawatoa jasho. Ungejiuliza tu marekani na ulaya waisaidia Israel mbona mpaka Leo Gaza wapo wayahudi zaidi 100 wameshindwa kuwakomboa? Hezbollah anaendelea kumwaga motoLand wamepewa wakakataa, wakaamua kuua ili waende kula bikra 72.
Wao ni kuifuta Israel, ndio mpango, hawataweza wameungana na Urusi, Korea, China na bado wanatolewa makushabu.
Ibrahim aliinunua ardhi yote Kwa cash,Israel Hana Haki ya kuchukua ardhi ya wapalestina. Jirani gani kaja mwaka 1948 mpaka Leo anazidi kuwasukumia nje wapalestina achukuwe nchi yote peke yake.
HAMAS naHizbula wanatoa wapi silaha? Wale ni Wanajeshi wanapata wapi bajeti ya Silaha?Acha uongo Urusi china na Korea waingie hapo Kuna kitu kitabaki? Hezbollah to na Houth wanawatoa jasho. Ungejiuliza tu marekani na ulaya waisaidia Israel mbona mpaka Leo Gaza wapo wayahudi zaidi 100 wameshindwa kuwakomboa? Hezbollah anaendelea kumwaga moto
Alinunua sh.ngapi? Mashahidi walikua wakina nani? Alinunua kwa nani?msituletee stori za kufikirika kwenye reality aise kujustify ushenzi wa wavamiziIbrahim aliinunua ardhi yote Kwa cash,
Mrithi ni Israel, Jackob, Si Ishmael mtoto wa mjakazi.
Palestine na Gaza yote itarudishwa kuwa Mali ya Israel.
Tunisia ndipo watahamia hao wapalestina.
Aise unauliza swali la kipuuzi sana. Hivi hata Mimi hapa nikitaka silaha nitakosa? Hii Dunia Kuna wauzaji na wanunuaji siku nyingine usiulize swali la kijinga namna hii nitakuzaba kofiHAMAS naHizbula wanatoa wapi silaha? Wale ni Wanajeshi wanapata wapi bajeti ya Silaha?
Dah, nenda hata elimu ya watu wazima au MEMKWA uweze kuelewa.
Ingekuwa ni Lebanon kama nchi inapigana Israel leo si ingesha futika?
Hujiu hata wananchi wa Lebnon hawawataki Waislamu wa Hizbula?