Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Na aliyempiga makonde Musonda hadi alianguka chini naye alipewa adhabu gani kwenye mechi hiyo?Aucho alitakiwa kupewa red card pale pale baada ya tukio refa alikosea kutoa yellow card lakini kama refa tayari alishatoa adhabu uwanjani basi TFF wamekosea pia kutoa adhabu husika.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app