mbwe
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 1,174
- 2,912
Punguza jazba simba haiwez kuwa ndogo kwa kias hicho et kisa umemfunga Goli 5 au kisa kadraw na Namungo.Yanga imejaa vipaji Gamondi ni fundi atabadili mfumo wa kucheza kwa Aucho kukosekana, namuona Skudu akivaa jezi au Mkude japo hatuwezi kukaa kimya kulisemea hili wazi kuwa yule Mr Karai ni mchawi wetu na ni mjinga kabisa ye anadhani kuishughulikia Yanga ndo kutaipa Simba ubingwa!
Ukweli ni kuwa Simba ni underdog kwasasa uwezo wake ni sawa na timu ndogo za ligi kama JKT na Kmc na mechi ya mwisho Simba amedhihirisha udogo wake Kwa kudroo na Namungo nyumbani. Tunawaasa marefa wachezeshe kihalali mechi za Simba na panapovuja pataonekana!
Ukiwa shabiki wa kolowizard huwezi kuona jinsi Yanga inashughulikiwa na Mr Karai.
Eng Hersi ni tishio kubwa kwasasa kwa TFF na tayari wameshachelewa jamaa keshatoboa kwa Yanga yake kusifika Africa , level za Hersi kwasasa ni kukaa mezani na kina Motsepe na Rais wa Fifa na sio matopeni TFF na hicho ndio kinawauma sana TFF hata kuiumiza Yanga na adhabu za kipumbavu , hivi ligi nzima anaecheza rafu za viwiko ni Aucho tu? Haya majitu ya TFF hata aibu hayana Na Bado tuna point zingine tatu derby ijayo ambapo Yanga tutaikanda Simba wiki (7-0).
Mbona hata yanga anahangaika Sana kumfunga Namungo had msimu fulani mlipewa penalty ya mchongo .
Timu ndogo haiwez ikawa inakimbizana na na anayeongoza msimamo wa ligi kwa idadi ya point chache Sana.
Timu ndogo inawezaje kuingia makundi Mara tano mfululizo na huku wewe timu kubwa ukiingia Mara moja baada ya miaka mingi kupita?
Wewe ulipofungwa na Ihefu Ina maana Ihefu mpo level moja ?
Ihefu aliyekukanda kakandwa na Simba na wakat huo huo Simba kakandwa na nyie ambao mlikandwa na Ihefu.
Punguza jazba na ujuaji wakat hujui hata Mpira upoje.
Moyo wako unakir kabisa kuwa timu mnayoihofia kwenye mbio za ubingwa ni Simba Wala hakuna timu nyingine inayowapa waswas .
Simba ameyumba kidogo Sabab ya viongoz uchwara Ila huwez kusema ni timu ndogo wakat hata kwenye rank za caf kakuacha mbali .
Mkishaanza kuona ugumu mbele ya safar mnakimbilia kumnanga karia Ila Mambo yakiwa mazur kwenu mnakaa kimya kabisa tushawazoea.
Ivi Kama kweli unajua mpira huyo aucho wenu unaona ni sahihi kwa uhuni anaofanya Tena wa wazwaz ,na ashagundua Hilo kuwa mnamwabudu Sana ndio maana anafanya ujinga akiamin Kuna majinga Kama wewe yatakuja kumtetea.Hata inonga akifanya ujinga mbona wadau wanakemea uhuni wake Ila ajabu nyie mnamtetea huyo mhuni ili aendeleee na ujinga wake.tff shikiria hapo hapo Kuna muda huu uhuni utaisha .
Karia karia ,karia ,Ngoja mpoteze mechi nyingine mtaongea kila lugha mbwa nyie .