Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Na aliyempiga makonde Musonda hadi alianguka chini naye alipewa adhabu gani kwenye mechi hiyo?Aucho alitakiwa kupewa red card pale pale baada ya tukio refa alikosea kutoa yellow card lakini kama refa tayari alishatoa adhabu uwanjani basi TFF wamekosea pia kutoa adhabu husika.
Hapa umepuyanga na umebebwa na ushabiki tu.Ni mwendelezo wa chuki za #Tff dhidi ya timu nzima ya Yanga, viongozi wa Yanga, mashabiki wa Yanga na wachezaji wa Yanga.
Hawa #Tff waliumia sana yanga kubeba pointi 3 pale Mkakwani dhidi ya coastal union wote tunaelewa timu ya coastal niya watoto pendwa wa baba wa Tff ana hisa pale na pia costal is the branch of Simba which deal with football elewa wale ni Simba B.
Simple observation baada ya ile gemu #Tff wamekuja na maamuzi yao ya kijinga kabisa kwanza wameanza kumfungia mwamuzi wa ile gemu miezi 6 hili lipo wazi itakua mwamuzi aligoma kufwata maelekezo yao ya kuhakikisha yanga haishindi.
Pia watakua hawakupenda kitendo cha mwamuzi kutompa kadi nyekundu mchezaji wa Yanga Khalid Aucho Dr wa Mpira walitaka atolewe nje ili Yanga ifungwe au gemu ikwende droo wameshindwa na chuki zao.
Kitendo cha mchezaji Khalid Aucho hizo ni chuki za #Tff dhidi yake ni mwendelezo tu ukiangalia msimu uliopita mchezaji khalid Aucho hakuwa kwenye Tuzo zozote za Tanzania ni ajabu sana mchezaji aliyeperform kwa ubora mkubwa sana akiwa Yanga na pia timu yake ya Taifa Uganda cranes na akivaa tambala ya ukapteni timu yake ya Taifa kukosa kuwepo kwenye kinyanganyiro kile ni chuki tu na roho mbaya za #Tff.
Roma ikisema imesema.
Tunataka haki itendeke na siyo uonevu.Haieleweki wanataka mini
Kamati haijafuta wala kubadili kadi yoyote bali imeongeza adhabu kama ambavyo imetoa hizo adhabu zingine kwa wachezaji na timu.Hoja yako ni sahihi kabisa lakini hili si Kwa Aucho pekee. Tatizo la waamuzi wa Tanzania haliwezi kuisha Kwa kufurahia maamuzi yanayobeba timu tunazopenda.
Hoja yangu katika hili ni double punishment iliyoelekezwa Kwa Aucho. Adhabu aliyopewa inaendana na Kadi nyekundu. Je, Kamati ina mamlaka ya kufuta Kadi ya njano na kutoa nyekundu?
Unaposema Kamati haijafuta adhabu nyingine unawapa nguvu wanaosema Aucho kaadhibiwa mara 2 Kwa kosa lile lile. Ni asiyejua soka kama walivyo wanakamati anayeweza kusema Kadi ya njano eti siyo adhabu. Mchezaji mwenye Kadi ya njano hawezi kucheza Kwa Uhuru kama mchezaji asiye na Kadi kabisa. Ni kama Mtu mwenye kifungo cha nje ambaye ameamriwa na Hakimu asitende kosa Kwa kipindi Fulani.Kamati haijafuta wala kubadili kadi yoyote bali imeongeza adhabu kama ambavyo imetoa hizo adhabu zingine kwa wachezaji na timu.
Na sijafurahia hiyo adhabu, ninachosema imechelewa saaana.
Ni kweli kadi ya njano inatakiwa kumfanya mchezaji ajitafakari si tu katika mchezo aliopewa kadi bali pia katika mechi zinazofuata ila karudie kuangalia mechi za Yanga uone kama kadi zilikuwa zinamzua Aucho asiendelee kucheza rafu zilizostahili kadi zaidi.Unaposema Kamati haijafuta adhabu nyingine unawapa nguvu wanaosema Aucho kaadhibiwa mara 2 Kwa kosa lile lile. Ni asiyejua soka kama walivyo wanakamati anayeweza kusema Kadi ya njano eti siyo adhabu. Mchezaji mwenye Kadi ya njano hawezi kucheza Kwa Uhuru kama mchezaji asiye na Kadi kabisa. Ni kama Mtu mwenye kifungo cha nje ambaye ameamriwa na Hakimu asitende kosa Kwa kipindi Fulani.
Ngao ya hisani ,hiyo mechi hakuna kamati ya kuijadili labda iundwe LeoBonanza gani?
Kadi ya njano ni onyo sio adhabu kadi nyekundu ndio adhabu na mrundikano wa kadi za njano ndio adhabu ,Aucho kapewa adhabu uwanjani alipewa onyo,lakini kamati imeona anastahili kupewa adhabu na sio onyoUnaposema Kamati haijafuta adhabu nyingine unawapa nguvu wanaosema Aucho kaadhibiwa mara 2 Kwa kosa lile lile. Ni asiyejua soka kama walivyo wanakamati anayeweza kusema Kadi ya njano eti siyo adhabu. Mchezaji mwenye Kadi ya njano hawezi kucheza Kwa Uhuru kama mchezaji asiye na Kadi kabisa. Ni kama Mtu mwenye kifungo cha nje ambaye ameamriwa na Hakimu asitende kosa Kwa kipindi Fulani.
Huna akili....Kadi ya njano ni onyo sio adhabu kadi nyekundu ndio adhabu na mrundikano wa kadi za njano ndio adhabu ,Aucho kapewa adhabu uwanjani alipewa onyo,lakini kamati imeona anastahili kupewa adhabu na sio onyo
onyesha zako tuzione
Ni wasi kbsa karia haipendi yanga hata uso una onesha kuwa anachuki binafsi na yangaAisee watu mnaongoza ligi lakini kila siku kulalamika, mashabiki wa Yanga sijui mpoje, hamridhiki na chochote, mara ratiba imebana,mara tumepewa mapunziko marefu,kuna kipindi mlilalamika viporo vya simba walipokuwa club bingwa,ila nye mlipokuwa shirikisho hamlalamiki kuwa na viporo.
Mnataka Malaika ashuke toka mbinguni awe Rais wa TFF?
Alshabaab haaminiki huyo. Hiyo ratiba haijapita bungeni halafu ikapelekwa kwa RAIS kutiwa saini.Skudu? Sidhani.
Nahisi kuna option tatu tu ni sureboy na Mudathir au Mauya na Mudathir au Mkude na Mudathir. Na mechi tatu zinazofuata ni Yanga vs Mashujaa (H) Yanga vs Kagera (A) na Yanga vs Mtibwa (H). Gamond anaweza akachanga karata zake vyema, Yanga ikapata alama zote 9. La muhimu uongozi ufanye usajili mwingine tuwe na Aucho wawili pale kikosini ili Aucho mmoja akiwa majeruhi au adhabu basi Aucho mwingine anakuja kufanya kile kile au zaidi ya aliyekuwa nje.
sio Aucho hata Mudhair alitakiwa afungiwe kiukweli yanga ndiyo inaongoza kwa kubebwa na TFF hata hiyo faini ya kupita mlango uysio rasmi ni ndogo kwani timu inayoongoza kufanya vitendo hivyo ni yanga.