Nimemsikia mtu mmoja anasema pale Vingunguti kuna wazee wa bakwata wao kazi yao ni kuchinja tuShida ilikuja kwa kutokuwa na Tume ya Kucertfy Muslim HALAL foods Council- ata kama Rais angeomba tupewe export permit ya Nyama Msaudi asingeweza toa kwa sababu ya ishu ya Kulishana Vibudu!! Ikimbukwe mpa USA machinjio yote wachinjaji ni Muslims! Na kote huko zipo Halal Council's
🤣🤣🤣 Anaupiga Mwingi- aende basi Ulaya akatafute soko la Gesi na Korosho kama unafikiria vitu vinaenda kisiasa kama hapa Danganyika😂😂😂. Kwa hiyo Saud wakaitisha Bunge lao kubadilisha Sheria za Meat Export kisa anaupiga Mwingi??Hata Bwawq la Nyerere mchakato ulianza siku nyingi ila sifa imepewa awamu ya 5 kwa kuufanya na kuufanikisha
Samia kafanya mazungumzo ya Waziri wa Mambo ya nje wa Saudi na akawasilisha hili, Mwezi Machi mwaka huu aliwatuma Mawaziri Mulamula na Waziri wa mifugo kwenda Saudi kushughulikia hili na juzi alipotoka Oman alipitia Saudi akakumbushia hili. Jana Serikali ya Saudi ikatoa zuio lake kwa Tanzania
Kubali tu! Samia ni habari nyingine!
NakukumbushaKweli kabisa- Na Kote Duniani Waislam wanasisitizwa kutumia bidhaa zenye hii Halal Logo! Wahindi (Hindus)pia wanayo yenye kuonyesha bidhaa zisizotumia mazao yatokanayo na nyama ya Ngombe. Na sio eti anaupiga Mwingi
Usipo msifia watasema unachuki au unamuonea wivuKweli kabisa- Na Kote Duniani Waislam wanasisitizwa kutumia bidhaa zenye hii Halal Logo! Wahindi (Hindus)pia wanayo yenye kuonyesha bidhaa zisizotumia mazao yatokanayo na nyama ya Ngombe. Na sio eti anaupiga Mwingi
Na watata hatari! Kwenye hela ya kuchinja. Na Wasipochinja wao hiyo Nyama aitolika na Waislam walio wengiNimemsikia mtu mmoja anasema pale Vingunguti kuna wazee wa bakwata wao kazi yao ni kuchinja tu
Tulia!🤣🤣🤣 Anaupiga Mwingi- aende basi Ulaya akatafute soko la Gesi na Korosho kama unafikiria vitu vinaenda kisiasa kama hapa Danganyika😂😂😂. Kwa hiyo Saud wakaitisha Bunge lao kubadilisha Sheria za Meat Export kisa anaupiga Mwingi??
Hii Laana ya Kila kitu kuingiza Siasa na Kampeni za Kumsifia mtu akubalike na walio wengi , Mungu atuepushe nao sisi Watanzania! Duniani kote maendeleo yanakuja pale tu ubabaishaji wa wanasiasa unapokuwa mbali na sayansiUsipo msifia watasema unachuki au unamuonea wivu
Kama kitu kilikwama kwa miaka 21 kikiwashinda marais 3 na yeye amefanikisha kwa mwaka 1 na ushee aliokaa madarakani kwa nini asisifiwe?Hii Laana ya Kila kitu kuingiza Siasa na Kampeni za Kumsifia mtu akubalike na walio wengi , Mungu atuepushe nao sisi Watanzania! Duniani kote maendeleo yanakuja pale tu ubabaishaji wa wanasiasa unapokuwa mbali na sayansi
Leo kwenye vyombo vya habari PURA wanafikiria kubadilisha vigezo(sheria za uwekezaji wa gesi na mafuta Tanzania) kwa sababu akuna mwekezaji mpya alieomba kuja wekeza miaka zaidi ya 4 mpaka sasa!Korosho ni janga kama lile la ufutaTulia!
Hayo utayasikia siku si nyingi
Makampuni ya Gesi yanakamilisha taratibu za kimkataba mwezi December mwaka huu na baada ya hapo mikataba mingine inakuja. Nakuhakikishia by 2030 Tanzania tutakuwa mteja mkuu wa Ulaya kwa Gesi
Kuhusu mazao mengine naisi utakuwa umepitwa nenda Mtwara uone export ya korosho inavyofanyika kwenda Vietnam
Kwa ulaya bado Mama yuko kazini, kama kuna soko atalipata tu
Na last 2 weeks serikali imesaini HGA agreement ya uwekezaji kwenye block 1, 2 na 4 kwenye mradi wa trilion 70 kwa LNGLeo kwenye vyombo vya habari PURA wanafikiria kubadilisha vigezo(sheria za uwekezaji wa gesi na mafuta Tanzania) kwa sababu akuna mwekezaji mpya alieomba kuja wekeza miaka zaidi ya 4 mpaka sasa!Korosho ni janga kama lile la ufuta
Hili la Nyama alijaanza jana wala juzi yeye akiwa Raisi kumbuka kuna process kwenye maswala yote yanayousu Sayansi(usafi wa Nyama etc na Ishu ya Imani ya Kiislamu HALAL ) haya mambo mawili ata kama angeomba akiwa amepiga magoti Sauds wasingemkubalia-k
Kama kitu kilikwama kwa miaka 21 kikiwashinda marais 3 na yeye amefanikisha kwa mwaka 1 na ushee aliokaa madarakani kwa nini asisifiwe?
Mbona Marekani wanamsifu Abraham Lincoln kwa kuondosha biashara ya utumwa! kwani hakukuwa na sayansi before?
Hata mradi wa Bwawa la Nyerere haukuanza jana wala juzi ila awamu ya tano iliupa kipaumbele na ukaanzaHili la Nyama alijaanza jana wala juzi yeye akiwa Raisi kumbuka kuna process kwenye maswala yote yanayousu Sayansi(usafi wa Nyama etc na Ishu ya Imani ya Kiislamu HALAL ) haya mambo mawili ata kama angeomba akiwa amepiga magoti Sauds wasingemkubalia-
Haya makampuni yapo Tanzania over 8 yrs back kwenye hiyo ishu ya LNG/LPG projects na sio New deals(ni kiporo kilichokuwepo baada ya yule mwenda zake na Profesa Majalala kuja na Masheria ya ajabu ajabu na kupitishwa na Bunge. 60 yrs sasa Bado chama chako kinafanya Usanii kwenye mambo sensitive ya Maendeleo ya nchi.Kama kila Kitu ni siasa na anaupiga Mwingi aupige mwingi basi kwenye mradi wa Bomba la mafuta toka Uganda to Tanga😁mradi uanze keshoNa last 2 weeks serikali imesaini HGA agreement ya uwekezaji kwenye block 1, 2 na 4 kwenye mradi wa trilion 70 kwa LNG
Kila siku nawaambiaga SSH hajawahi fanya ziara za hasara wala hajawahi shindana akashindwa..Baada ya zuio la miaka 21, Saudi Arabia imeruhusu kampuni mbili za kitanzania kuingiza nyama nchini mwao
Tunaposema Rais Samia anaupiga mwingi tueleweni jamani! Hii ni baada ya jitihada alizofanya kuongea na Serikali ya Saudi kutuondolea zuio hili
Uchumi unafunguka kweli na nchi inafunguka kweli! Poleni sana wale wenye chuki zenu! Madolali yanaenda kuzidi kumiminika kwenye mapato ya nchi!
Hii ndo maana halisi ya kuongoza kwa akili!
Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano Tanzania
View attachment 2271110
Je na wewe ni miongoni mwa hao wahuni mnamuendesha?Lord denning wewe ni msalyambweta kabisa. Sisi hatumpingi kabisa Mama Samia na hakuna mtanzania mwenye chuki binafsi na Mama Samia.
Kilichopo Mama kaachia wahuni wamuendeshee nchi. Mama kama Mama ana weledi na Watanzania tunampenda mno ila kwenye kuachia nchi waiongoze wahuni hapo ndipo chuki kubwa ilipo.
Yaani kilichopo kwa sasa tunaheshimu tu mamlaka ya rais lakini kusema eti tuna rais Tanzania, hapana, hayupo kabisa.
Tusubiri sijui lini Mama atabadilika au tutapata Magufuli mwingine.
vijana punguzeni mihemukoHawatusumbui hawa!
Wametufunza jambo 1 kuu! Hatutarudia tena kumpa nchi mtu limbukeni na mshamba
Toka yameingia yalikuwa yanamsubiria nani kuja kusaini hiyo mikataba? SSH au?Haya makampuni yapo Tanzania over 8 yrs back kwenye hiyo ishu ya LNG/LPG projects na sio New deals(ni kiporo kilichokuwepo baada ya yule mwenda zake na Profesa Majalala kuja na Masheria ya ajabu ajabu na kupitishwa na Bunge. 60 yrs sasa Bado chama chako kinafanya Usanii kwenye mambo sensitive ya Maendeleo ya nchi.Kama kila Kitu ni siasa na anaupiga Mwingi aupige mwingi basi kwenye mradi wa Bomba la mafuta toka Uganda to Tanga😁mradi uanze kesho
imeruhusu kampuni mbili za kitanzania Za kuingiza nyama nchini mwaoni Za Kikwete na makambaBaada ya zuio la miaka 21, Saudi Arabia imeruhusu kampuni mbili za kitanzania kuingiza nyama nchini mwao
Tunaposema Rais Samia anaupiga mwingi tueleweni jamani! Hii ni baada ya jitihada alizofanya kuongea na Serikali ya Saudi kutuondolea zuio hili
Uchumi unafunguka kweli na nchi inafunguka kweli! Poleni sana wale wenye chuki zenu! Madolali yanaenda kuzidi kumiminika kwenye mapato ya nchi!
Hii ndo maana halisi ya kuongoza kwa akili!
Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano Tanzania
View attachment 2271110
Wewe kahaba kama imekuuma sana kazikwe ukiwa hai pembeni ya kaburi la huyo mwendakuzimu.Lord denning wewe ni msalyambweta kabisa. Sisi hatumpingi kabisa Mama Samia na hakuna mtanzania mwenye chuki binafsi na Mama Samia.
Kilichopo Mama kaachia wahuni wamuendeshee nchi. Mama kama Mama ana weledi na Watanzania tunampenda mno ila kwenye kuachia nchi waiongoze wahuni hapo ndipo chuki kubwa ilipo.
Yaani kilichopo kwa sasa tunaheshimu tu mamlaka ya rais lakini kusema eti tuna rais Tanzania, hapana, hayupo kabisa.
Tusubiri sijui lini Mama atabadilika au tutapata Magufuli mwingine.
Safi sana .....Baada ya zuio la miaka 21, Saudi Arabia imeruhusu kampuni mbili za kitanzania kuingiza nyama nchini mwao
Tunaposema Rais Samia anaupiga mwingi tueleweni jamani! Hii ni baada ya jitihada alizofanya kuongea na Serikali ya Saudi kutuondolea zuio hili
Uchumi unafunguka kweli na nchi inafunguka kweli! Poleni sana wale wenye chuki zenu! Madolali yanaenda kuzidi kumiminika kwenye mapato ya nchi!
Hii ndo maana halisi ya kuongoza kwa akili!
Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano Tanzania
View attachment 2271110