Baada ya zuio la miaka 21, Tanzania yaruhusiwa rasmi kupeleka bidhaa ya nyama nchini Saudi Arabia!

Baada ya zuio la miaka 21, Tanzania yaruhusiwa rasmi kupeleka bidhaa ya nyama nchini Saudi Arabia!

Shida ilikuja kwa kutokuwa na Tume ya Kucertfy Muslim HALAL foods Council- ata kama Rais angeomba tupewe export permit ya Nyama Msaudi asingeweza toa kwa sababu ya ishu ya Kulishana Vibudu!! Ikimbukwe mpa USA machinjio yote wachinjaji ni Muslims! Na kote huko zipo Halal Council's
Nimemsikia mtu mmoja anasema pale Vingunguti kuna wazee wa bakwata wao kazi yao ni kuchinja tu
 
Hata Bwawq la Nyerere mchakato ulianza siku nyingi ila sifa imepewa awamu ya 5 kwa kuufanya na kuufanikisha

Samia kafanya mazungumzo ya Waziri wa Mambo ya nje wa Saudi na akawasilisha hili, Mwezi Machi mwaka huu aliwatuma Mawaziri Mulamula na Waziri wa mifugo kwenda Saudi kushughulikia hili na juzi alipotoka Oman alipitia Saudi akakumbushia hili. Jana Serikali ya Saudi ikatoa zuio lake kwa Tanzania

Kubali tu! Samia ni habari nyingine!
🤣🤣🤣 Anaupiga Mwingi- aende basi Ulaya akatafute soko la Gesi na Korosho kama unafikiria vitu vinaenda kisiasa kama hapa Danganyika😂😂😂. Kwa hiyo Saud wakaitisha Bunge lao kubadilisha Sheria za Meat Export kisa anaupiga Mwingi??
 
Kweli kabisa- Na Kote Duniani Waislam wanasisitizwa kutumia bidhaa zenye hii Halal Logo! Wahindi (Hindus)pia wanayo yenye kuonyesha bidhaa zisizotumia mazao yatokanayo na nyama ya Ngombe. Na sio eti anaupiga Mwingi
Nakukumbusha

1. Samia alikutana na Waziri wa Saudi akawasilisha hili

2. Mwezi machi mwaka huu Samia aliwatuma Mawaziri Mulamula na Waziri wa Mifugo kwenda Saudi kuhadili hili

3. Juzi Samia alipotoka Oman alipitia Saudi akakamilisha hili

Give credit when its due! Samia kafanikisha hili baada ya mkwamo wa Miaka 21
 
Kweli kabisa- Na Kote Duniani Waislam wanasisitizwa kutumia bidhaa zenye hii Halal Logo! Wahindi (Hindus)pia wanayo yenye kuonyesha bidhaa zisizotumia mazao yatokanayo na nyama ya Ngombe. Na sio eti anaupiga Mwingi
Usipo msifia watasema unachuki au unamuonea wivu
 
Nimemsikia mtu mmoja anasema pale Vingunguti kuna wazee wa bakwata wao kazi yao ni kuchinja tu
Na watata hatari! Kwenye hela ya kuchinja. Na Wasipochinja wao hiyo Nyama aitolika na Waislam walio wengi
 
🤣🤣🤣 Anaupiga Mwingi- aende basi Ulaya akatafute soko la Gesi na Korosho kama unafikiria vitu vinaenda kisiasa kama hapa Danganyika😂😂😂. Kwa hiyo Saud wakaitisha Bunge lao kubadilisha Sheria za Meat Export kisa anaupiga Mwingi??
Tulia!

Hayo utayasikia siku si nyingi

Makampuni ya Gesi yanakamilisha taratibu za kimkataba mwezi December mwaka huu na baada ya hapo mikataba mingine inakuja. Nakuhakikishia by 2030 Tanzania tutakuwa mteja mkuu wa Ulaya kwa Gesi

Kuhusu mazao mengine naisi utakuwa umepitwa nenda Mtwara uone export ya korosho inavyofanyika kwenda Vietnam

Kwa ulaya bado Mama yuko kazini, kama kuna soko atalipata tu
 
Usipo msifia watasema unachuki au unamuonea wivu
Hii Laana ya Kila kitu kuingiza Siasa na Kampeni za Kumsifia mtu akubalike na walio wengi , Mungu atuepushe nao sisi Watanzania! Duniani kote maendeleo yanakuja pale tu ubabaishaji wa wanasiasa unapokuwa mbali na sayansi
 
k
Hii Laana ya Kila kitu kuingiza Siasa na Kampeni za Kumsifia mtu akubalike na walio wengi , Mungu atuepushe nao sisi Watanzania! Duniani kote maendeleo yanakuja pale tu ubabaishaji wa wanasiasa unapokuwa mbali na sayansi
Kama kitu kilikwama kwa miaka 21 kikiwashinda marais 3 na yeye amefanikisha kwa mwaka 1 na ushee aliokaa madarakani kwa nini asisifiwe?

Mbona Marekani wanamsifu Abraham Lincoln kwa kuondosha biashara ya utumwa! kwani hakukuwa na sayansi before?
 
Tulia!

Hayo utayasikia siku si nyingi

Makampuni ya Gesi yanakamilisha taratibu za kimkataba mwezi December mwaka huu na baada ya hapo mikataba mingine inakuja. Nakuhakikishia by 2030 Tanzania tutakuwa mteja mkuu wa Ulaya kwa Gesi

Kuhusu mazao mengine naisi utakuwa umepitwa nenda Mtwara uone export ya korosho inavyofanyika kwenda Vietnam

Kwa ulaya bado Mama yuko kazini, kama kuna soko atalipata tu
Leo kwenye vyombo vya habari PURA wanafikiria kubadilisha vigezo(sheria za uwekezaji wa gesi na mafuta Tanzania) kwa sababu akuna mwekezaji mpya alieomba kuja wekeza miaka zaidi ya 4 mpaka sasa!Korosho ni janga kama lile la ufuta
 
Leo kwenye vyombo vya habari PURA wanafikiria kubadilisha vigezo(sheria za uwekezaji wa gesi na mafuta Tanzania) kwa sababu akuna mwekezaji mpya alieomba kuja wekeza miaka zaidi ya 4 mpaka sasa!Korosho ni janga kama lile la ufuta
Na last 2 weeks serikali imesaini HGA agreement ya uwekezaji kwenye block 1, 2 na 4 kwenye mradi wa trilion 70 kwa LNG
 
k
Kama kitu kilikwama kwa miaka 21 kikiwashinda marais 3 na yeye amefanikisha kwa mwaka 1 na ushee aliokaa madarakani kwa nini asisifiwe?

Mbona Marekani wanamsifu Abraham Lincoln kwa kuondosha biashara ya utumwa! kwani hakukuwa na sayansi before?
Hili la Nyama alijaanza jana wala juzi yeye akiwa Raisi kumbuka kuna process kwenye maswala yote yanayousu Sayansi(usafi wa Nyama etc na Ishu ya Imani ya Kiislamu HALAL ) haya mambo mawili ata kama angeomba akiwa amepiga magoti Sauds wasingemkubalia-
 
Hili la Nyama alijaanza jana wala juzi yeye akiwa Raisi kumbuka kuna process kwenye maswala yote yanayousu Sayansi(usafi wa Nyama etc na Ishu ya Imani ya Kiislamu HALAL ) haya mambo mawili ata kama angeomba akiwa amepiga magoti Sauds wasingemkubalia-
Hata mradi wa Bwawa la Nyerere haukuanza jana wala juzi ila awamu ya tano iliupa kipaumbele na ukaanza

Same to Samia! Amelipa kipaumbele hili jambo kwenye kutimiza ndoto zake za kuifanya Tanzania kuwa na uchumi imara na watanzania kuwa na maisha mazuri na amefanikisha
 
Na last 2 weeks serikali imesaini HGA agreement ya uwekezaji kwenye block 1, 2 na 4 kwenye mradi wa trilion 70 kwa LNG
Haya makampuni yapo Tanzania over 8 yrs back kwenye hiyo ishu ya LNG/LPG projects na sio New deals(ni kiporo kilichokuwepo baada ya yule mwenda zake na Profesa Majalala kuja na Masheria ya ajabu ajabu na kupitishwa na Bunge. 60 yrs sasa Bado chama chako kinafanya Usanii kwenye mambo sensitive ya Maendeleo ya nchi.Kama kila Kitu ni siasa na anaupiga Mwingi aupige mwingi basi kwenye mradi wa Bomba la mafuta toka Uganda to Tanga😁mradi uanze kesho
 
Baada ya zuio la miaka 21, Saudi Arabia imeruhusu kampuni mbili za kitanzania kuingiza nyama nchini mwao

Tunaposema Rais Samia anaupiga mwingi tueleweni jamani! Hii ni baada ya jitihada alizofanya kuongea na Serikali ya Saudi kutuondolea zuio hili

Uchumi unafunguka kweli na nchi inafunguka kweli! Poleni sana wale wenye chuki zenu! Madolali yanaenda kuzidi kumiminika kwenye mapato ya nchi!

Hii ndo maana halisi ya kuongoza kwa akili!

Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano Tanzania

View attachment 2271110
Kila siku nawaambiaga SSH hajawahi fanya ziara za hasara wala hajawahi shindana akashindwa..

Wanaoamini tofauti na mimi tukutane 2025.
 
Lord denning wewe ni msalyambweta kabisa. Sisi hatumpingi kabisa Mama Samia na hakuna mtanzania mwenye chuki binafsi na Mama Samia.

Kilichopo Mama kaachia wahuni wamuendeshee nchi. Mama kama Mama ana weledi na Watanzania tunampenda mno ila kwenye kuachia nchi waiongoze wahuni hapo ndipo chuki kubwa ilipo.

Yaani kilichopo kwa sasa tunaheshimu tu mamlaka ya rais lakini kusema eti tuna rais Tanzania, hapana, hayupo kabisa.

Tusubiri sijui lini Mama atabadilika au tutapata Magufuli mwingine.
Je na wewe ni miongoni mwa hao wahuni mnamuendesha?

Kama hapana vilio vingi kwa SSH vya nini? Hao wahuni wanaomuendesha ni kina nani? Wako wangapi? Unaweza tutajua mifano ya wahuni japo wa 3?

Vinginevyo mtaishia kuaibika na kudharaulika kama sio kupuuzwa kila siku.
 
Haya makampuni yapo Tanzania over 8 yrs back kwenye hiyo ishu ya LNG/LPG projects na sio New deals(ni kiporo kilichokuwepo baada ya yule mwenda zake na Profesa Majalala kuja na Masheria ya ajabu ajabu na kupitishwa na Bunge. 60 yrs sasa Bado chama chako kinafanya Usanii kwenye mambo sensitive ya Maendeleo ya nchi.Kama kila Kitu ni siasa na anaupiga Mwingi aupige mwingi basi kwenye mradi wa Bomba la mafuta toka Uganda to Tanga😁mradi uanze kesho
Toka yameingia yalikuwa yanamsubiria nani kuja kusaini hiyo mikataba? SSH au?

Wakati hayo makampuni yapo hapakuwepo na Marais wengine? Kwa nini haikufanyika huko?

Lugha za haters wa SSH kujifariji 😂😂
 
Baada ya zuio la miaka 21, Saudi Arabia imeruhusu kampuni mbili za kitanzania kuingiza nyama nchini mwao

Tunaposema Rais Samia anaupiga mwingi tueleweni jamani! Hii ni baada ya jitihada alizofanya kuongea na Serikali ya Saudi kutuondolea zuio hili

Uchumi unafunguka kweli na nchi inafunguka kweli! Poleni sana wale wenye chuki zenu! Madolali yanaenda kuzidi kumiminika kwenye mapato ya nchi!

Hii ndo maana halisi ya kuongoza kwa akili!

Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano Tanzania

View attachment 2271110
imeruhusu kampuni mbili za kitanzania Za kuingiza nyama nchini mwaoni Za Kikwete na makamba
 
Lord denning wewe ni msalyambweta kabisa. Sisi hatumpingi kabisa Mama Samia na hakuna mtanzania mwenye chuki binafsi na Mama Samia.

Kilichopo Mama kaachia wahuni wamuendeshee nchi. Mama kama Mama ana weledi na Watanzania tunampenda mno ila kwenye kuachia nchi waiongoze wahuni hapo ndipo chuki kubwa ilipo.

Yaani kilichopo kwa sasa tunaheshimu tu mamlaka ya rais lakini kusema eti tuna rais Tanzania, hapana, hayupo kabisa.

Tusubiri sijui lini Mama atabadilika au tutapata Magufuli mwingine.
Wewe kahaba kama imekuuma sana kazikwe ukiwa hai pembeni ya kaburi la huyo mwendakuzimu.
 
Baada ya zuio la miaka 21, Saudi Arabia imeruhusu kampuni mbili za kitanzania kuingiza nyama nchini mwao

Tunaposema Rais Samia anaupiga mwingi tueleweni jamani! Hii ni baada ya jitihada alizofanya kuongea na Serikali ya Saudi kutuondolea zuio hili

Uchumi unafunguka kweli na nchi inafunguka kweli! Poleni sana wale wenye chuki zenu! Madolali yanaenda kuzidi kumiminika kwenye mapato ya nchi!

Hii ndo maana halisi ya kuongoza kwa akili!

Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano Tanzania

View attachment 2271110
Safi sana .....

Wakenya walikuwa wanakuja nunua mifugo huku alafu wakipeleka kwao
Wana safirisha bidhaa kama nyama
Nje

Ova
 
Back
Top Bottom