Baadhi ya abiria treni ya SGR wadaiwa kuihujumu TRC, nauli haziendani na safari zao

Baadhi ya abiria treni ya SGR wadaiwa kuihujumu TRC, nauli haziendani na safari zao

Tatizo Hawa wanaendesha shirika kwa mfumo ule ule wa zamani watu anayeitwa TT Kukagua ticket

🇮🇱. Watenge mabehewa ya Kila Kituo

🇮🇱 Booking zote zifanyoke online kwa app ya kisasa

🇮🇱 Hiyo app itenge Vituo, madaraja , behewa na siti

🇮🇱 Chati ziwe online na ukishalipia itsonyesha na utakuwa na e ticket ambayo iytaonyesha behewa, na siti yako na Kituo. Hakuna haja ya kufika vituoni
 
Baadhii ya abiria wameonekana sio waaminifu

Takukuru imebaini baada ya kuwepo malalamiko ya hujuma kwa treni ya mwendokasi

Akiongea takukuru wamesema kinachofanyjka na wamejiridhisha kwa kukamata baadhi ya abiria

Wanachofanya wanalipa mpaka labda ngorongoro lakinj mtu huyuhuyu anashukia morogoro

Mkurugenzi wa trl anasema kweli jambo lipoo na wamekubaliana kutakuwa na inspectors kwenye treni na baadhi ya vituo

Aiseee hiii bongoooo akishindikan kitu dah
 
Trysi
 

Attachments

  • 20240815_202832.jpg
    20240815_202832.jpg
    2.4 MB · Views: 2
Baadhii ya abiria wameonekana sio waaminifu

Takukuru imebaini baada ya kuwepo malalamiko ya hujuma kwa treni ya mwendokasi

Akiongea takukuru wamesema kinachofanyjka na wamejiridhisha kwa kukamata baadhi ya abiria

Wanachofanya wanalipa mpaka labda ngorongoro lakinj mtu huyuhuyu anashukia morogoro

Mkurugenzi wa trl anasema kweli jambo lipoo na wamekubaliana kutakuwa na inspectors kwenye treni na baadhi ya vituo

Aiseee hiii bongoooo akishindikan kitu dah
Watenganishe mabehewa tu, atakuweka ispekitor ni kuwapa ulaji tu
 
DAH HIII MICHEZO IMEPIGWAA SANA TRENI YA PUGUUUU

HAWA MWAMBAA WANACHEKECHA MPAKA SGR AISEE WANA MPYO NA HII CHANNEL N NDEFU SANAAA

USHAURI HATA HAO INSP N BNADAMU M NAKUMBUKA KUNA BASI MOJA LA KWENDA MOSHI..WALIWEKA INSP KWENYE VITUO KADHAA SAME

SASA GARI IIKIFIKA
WAO WAKIFIKA WANAINGIA WANAHESABU WATU..LAKN SIKU ZINAVYOENDELEA AKIINGIA ANAHESABU WA MBELE
KIFIKA MLANGON ANASHUKA NA KONDOKA
.....MEIISHA HIOO...
 
TAKUKURU Morogoro wanafanya uchunguzi na kushirikiana na TRC ili kutatua tatizo hili.

Hayo yamesemwa leo na kamanda wa TAKUKURU Morogoro. Amesema;

"Watu wengine ambao siyo waaminifu wamekuwa hawalipi nauli katika trenj ya SGR. Kwa mfano, mtu anakata tiketi ya kushukia Pugu elfu moja lakini anapitiliza mpaka Morogoro.

Chanzo: ITV Habari

My Take;
Chanzo cha yote haya ni nini, umaskini, ujinga, kukosa ustaarabu au ni kula keki ya taifa?
 
TAKUKURU Morogoro wanafanya uchunguzi na kushirikiana na TRC ili kutatua tatizo hili.

Hayo yamesemwa leo na kamanda wa TAKUKURU Morogoro . Amesema;

"Watu wengine ambao siyo waaminifu wamekuwa hawalipi nauli katika trenj ya SGR. Kwa mfano, mtu anakata tiketi ya kushukia Pugu elfu moja lakini anapitiliza mpaka Morogoro.

Chanzo: ITV Habari

My Take;
Chanzo cha yote haya ni nini, umaskini, ujinga, kukosa ustaarabu au ni kula keki ya taifa?
CCM ndiyo chanzo.
 
Ndio maana TAKUKURU wamejitokeza kwa sababu kazi yao ni kuchunguza mambo ya rushwa. Hapo kuna wafanyakazi wa TRC ambao siyo waaminifu wamekuwa wakila kwa urefu wa kamba kwa kuchukua kiasi fulani cha pesa na kuwaacha hao abiria wafike mpaka Morogoro
 
Back
Top Bottom