Unaongea rangi za tiketi karne hii? Inahitajika tu hata code inatosha ku scan na kutoa full particulars. Tunatakiwa kuondoka kwenye kubeba ticket za makaratasi tutengenezewe credit card ama tutumie simu zetu tuuTiketi ziwe na rangi tofauti
Mifumo ya IT kuzingua bongo ni dakika 0 tu.Unaongea rangi za tiketi karne hii? Inahitajika tu hata code inatosha ku scan na kutoa full particulars. Tunatakiwa kuondoka kwenye kubeba ticket za makaratasi tutengenezewe credit card ama tutumie simu zetu tuu
Mfumo wa electronic wa mabasi ya mwendokasi unafanya kazi?Sema tatizo mkaguzi wa hizo tiketi rangi anaweza kutupiga ila mfumo wa kielectronic ni ngumu
Ulikuwa unafanya vizuri sana kipindi cha max malipo ila waliuvuga wenyewe kwa makusudi kabisaMfumo wa electronic wa mabasi ya mwendokasi unafanya kazi?
Ni kweli ila kinacho wasumbua hao watumishi TRC ni uvivu na wizi, sioni hata sabb ya Takukuru kuingilia jambo dogo kama hili, wanafuta kiki kwa vitu vidogo sana, wenye mabasi wanafanya je kudhibiti wizi kama huo, manaake manijimenti yote haikufanya feasibility study kabla ya operation, hayo ndo mambo kudhibiti mwanzoni kabisa.......hi nchi sijui iko je kwa kweli.Nadhani watapita nakusoma maoni yako ila kuongezea kidogo ni rahisi pia kujuwa kwa numbers lakini kwanza wangeanza.
1- Train ya kwenda Dom kituo cha kwanza kusimama ni Moro sio hivi vituo sijui Pugu au Soga hivi covered na Train ya Moro. Train ikiondoka kwenye list yao wanajuwa kabisa ticket ngapi za Moro na seat number ikifika Moro wana check seat. Hapa watajuwa abiria wangapi wanapanda wa Dom na vituo vya Moro to Dom. seat number zinajulkana.
2- Baada ya kituo cha mwisho kabla ya kuingia Dom wana scan ticket au kucheck au kuhesabu na kujuwa ticket za Dom zilizouzwa ni sawa na abiria ndani kama wanavyofanya ndege. Sheria kila mtu akae kwenye seat yake hili nalo itakuwa rahisi zaidi kujuwa seat fulani ni abiria anashuka Moro ni rahisi kujuwa kwa kupokea taarifa za tickets.
3- Option ya tatu behewa 2 hivi zingetengwa kwa abiria wanaoshuka vituo vya njiani tu na hilo ni rahisi ukiwa na mfumo kwenye ticketing akikata tu akiweka sehemu anayoshukia automatic inampa selection seat kwenye behewa zilizotengwa tu na mabehewa mengine ni watu wanaoshuka vituo vikubwa vya mwisho.
Hata huo wa SGR wanaweza kuuvuraga ili wajipatie chochote kitu kwa wahuni, tiketi za rangi ndio njia rahisi zaidi. Unakata tiketi mtandaoni ukifika kituoni unaelekea dirisha lenye rangi husika ya kituo chako ku printUlikuwa unafanya vizuri sana kipindi cha max malipo ila waliuvuga wenyewe kwa makusudi kabisa
Kwanza Yanaachaje kujaa na kuna taarifa za watu kukosa tiketi?? Pili ni rahisi zaidi katika ukaguzi ikiwa uliwaongeza abiria wa Dodoma katika mabehewa ya Morogoro, Soga au Ruvu kuliko kuwachanganya wote pamoja tu.Na yasipojaa abiria wa vituo hivyo behewa liende tupu?
kweli kabisa ni uzembe wa TRC kwa asilimia mia mojaYaani mtu amelipa ashuke Moro halafu anaenda hadi Dom bila kugundulika. TRC hawako serious
hakuna cha kero, ni lazima watu wakaguliwe la si hivyo utapeli utatokea tuWanaongeza mlolongo mwishowe kero za kukaguliwa hovyo zitaanza,nchi hii ina laana kwa utapeli
Ndio nashangaa,grand cirruptuon zinawashinda kila mwaka CAG anatoa ripoti wanafumba macho,wanakimbizana na hawa wa 10000,kwanza hiyo sio rushwa bali wizi na udanganyifu,Kazi ya policeSasa kwani nini wanaifanya??
Leo umeongea point toka umejiunga jf hongera ukiendelea hivi utapata mume inshallah.Wakitaka kudhibiti ni mara moja tu, kuna njia nyingi sana za kudhibiti hilo. Hawataki tu.
WQatanzania kila poambe tu wajinga sana. Nasema siku zote tatizo la Tanzania sio umasikini, ni ujinga. Usione mtu ana mbwembwe kama Kabudi ukadhani hana ujinga, ni jinga bobevu tu.
Kila mtu ale urefu wa kamba yakeKila mtu ni mwizi ni nafasi tuu wengine hawajapata
Sasa tiketi ya usafiri tuu wanadanganya 😆 akipewa wizara alafu mtu kama huyu unakuta anapiga makelele ufisadi
Ila kumbuka moja ya majukumu ya TAKOKUU sijui TAKUKURU ni kufuatilia usahihi wa matumizi ya rasilimali za umma. Sasa hapo tafakari kwa upana kama huo wizi na udanganyifu kwenye kulipa nauli ni matumizi sahihi ya rasilimali za umma au la.Ndio nashangaa,grand cirruptuon zinawashinda kila mwaka CAG anatoa ripoti wanafumba macho,wanakimbizana na hawa wa 10000,kwanza hiyo sio rushwa bali wizi na udanganyifu,Kazi ya police
Sasa hapo internal auditors,risk dept ,revenue adsurance wa TRC wako wapi,police wako wapi,those are petty issues to be solved by takokuruIla kumbuka moja ya majukumu ya TAKOKUU sijui TAKUKURU ni kufuatilia usahihi wa matumizi ya rasilimali za umma. Sasa hapo tafakari kwa upana kama huo wizi na udanganyifu kwenye kulipa nauli ni matumizi sahihi ya rasilimali za umma au la.
sioni makosa ya wasafiri kwani before project ma swala kama hayo hawakuwaza?Abiria wanaotumia Treni ya SGR kutoka Dar es salaam - Morogoro hadi Dodoma wametuhumiwa kuhujumu shirika la reli Tanzania TRC kwa kutolipa nauli ambazo zianendana na sehemu wanazoelekea au vituo wanavyoshukia.
Akizungumza na waandishi wa habari Naibu Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Morogoro Christopher Mwakajinga amesema abiria wamekuwa wakikata tiketi za vituo vya njiani na pindi treni inapofika katika vituo hivyo wamekuwa hawashuki na kuendelea na safari hadi mwisho wa kituo cha Morogoro au Dodoma kinyume na tiketi walizokata.
Mwakajinga amesema kuwa kwa kushirikiana na TRC wameanzisha mfumo wa kuwabaini na kuwakamata abiria hao wanaofanya udanganyifu wa kukata tiketi ambazo haziendani na wanakoelekea
Wabongo ni waizi waizi...............Abiria wanaotumia Treni ya SGR kutoka Dar es salaam - Morogoro hadi Dodoma wametuhumiwa kuhujumu shirika la reli Tanzania TRC kwa kutolipa nauli ambazo zianendana na sehemu wanazoelekea au vituo wanavyoshukia.
Akizungumza na waandishi wa habari Naibu Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Morogoro Christopher Mwakajinga amesema abiria wamekuwa wakikata tiketi za vituo vya njiani na pindi treni inapofika katika vituo hivyo wamekuwa hawashuki na kuendelea na safari hadi mwisho wa kituo cha Morogoro au Dodoma kinyume na tiketi walizokata.
Mwakajinga amesema kuwa kwa kushirikiana na TRC wameanzisha mfumo wa kuwabaini na kuwakamata abiria hao wanaofanya udanganyifu wa kukata tiketi ambazo haziendani na wanakoelekea
Point mkuuKila mtu ni mwizi ni nafasi tuu wengine hawajapata
Sasa tiketi ya usafiri tuu wanadanganya 😆 akipewa wizara alafu mtu kama huyu unakuta anapiga makelele ufisadi