Baadhi ya abiria treni ya SGR wadaiwa kuihujumu TRC, nauli haziendani na safari zao

 
Ubarikiwe kwa kuusema Ukweli.
 
Wazee wa uzalendo wapo kazini ili waonekane wao hawana shida ila abiria wamekosa uzalendo Kwa kuhujumu.

Badala ya kusema BAADHI YA ABIRIA WANAHUJUMU SHIRIKA wangesema SHIRIKA HALINA MFUMO MZURI WA KUBAINI ABIRIA WAKATI WA KUSHUKA hivyo wanakuja na namna ya kudhibiti changamoto hiyo. Ukilaumu abiria wakati wanaingia (check-in) uliwakagua kwanini wakati wa kushuka ujitoe kwenye ukaguzi na kuwatupia lawama abiria Kwa kulipa nauli ya njiani alafu anakwenda mpaka mwisho.
 
Hii Taarifa kama Taasisi kuiweka public ni inajivua nguo,Udhaifu na uzembe wa Taasisi husika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…