Baadhi ya Askari Waliotuhumiwa kupora milioni Mia Moja ni mashahidi kesi ya Mbowe

Baadhi ya Askari Waliotuhumiwa kupora milioni Mia Moja ni mashahidi kesi ya Mbowe

kifupi kirefu

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2018
Posts
539
Reaction score
3,507
Mwezi w tatu mwaka huu Kuna clip isambaa ya Profesa mmoja huko Arusha kuvamiwa nyumbani kwake na kubambikiwa meno ya tembo na Askari Polisi Kisha kuelekezwa atoe Milioni Mia Moja wasimfungulie mashtaka.

Baada ya clip ile kusambaa na watu kupiga kelele Takukuru na Polisi waliibuka na kudai Askari hao wamefukuzw kazi na watafikishwa mahakamani. Lakini Hadi leo hakuna updates za kesi waliyofunguliwa.

Leo mahakamani moja ya swali aliloulizwa Mahita Ni endapo ana Taarifa kwamba mmoja wa Askari waliyeshirikiana naye kuwakamata akina Adamoo amefukuzwa kazi kwa kubambikiwa Mzee mmoja kesi huko Arusha ambapo Mahita amekiri kwamba Ni kweli.

Kama Sabaya amethibitika ni mhalifu, waliowakamata akina Adamoo nao wanakamatwa kwa tuhuma zakuchukua milioni Mia Moja kwa mstaafu Tena kwakumbambikia meno ya tembo kwenye mizinga ya asali, then Kingai anamtamkia Mtuhumiwa kwamba ataakikisha anafungwa, wakati huo huo Ugaidi wa Kilimanjaro unashughulikiwa na Askari wa Arusha ambao kwa miaka yote awakuwahi kujua uhalifu wa Sabaya.....hii inatoa picha gani kwa mfumo wa serikali? Kwamba upo uhalifu umebarikiwa na serikali na wanaotenda uhalifu huo wanakuwa rewarded nakuonekana mashujaa kwenye utendaji wa serikali?
 
Maana yake kulikuwa/kuna kundi la uhalifu ndani ya serikali, na linalo endesha vitendo vya kijambazi/uhalifu, kwa raia wema.

Jaji alitakiwa aifutilie mbali hii kesi! Ila kwa bahati mbaya ndiyo hivyo tena! mhimili mmoja kati ya ile mitatu una mizizi iliyo jichimbia chini zaidi kuliko ile miwili mingine.
 
Maana yake kulikuwa/kuna kundi la uhalifu ndani ya serikali, na linalo endesha vitendo vya kijambazi/uhalifu, kwa raia wema.

Jaji alitakiwa aifutilie mbali hii kesi! Ila kwa bahati mbaya ndiyo hivyo tena! mhimili mmoja kati ya ile mitatu una mizizi iliyo jichimbia chini zaidi kuliko ile miwili mingine.
Hakuna njia nyingine ya kwenda, ni kufutwa tuu. Amen.
 
Hivi mtu ambaye anashitakiwa kwa kuendesha genge la uhalifu anapaswa kuwa shahidi?. Inawezekana Mbowe alikuwa anajilinda dhidi ya hili genge baada ya kujua kuwa mbinu zao zimejulikana ikabidi hili genge licungue kesi ya ugaidi dhidi yake ili adhima ya kumpoteza itimie. Hii kesi ni ujinga mtupu futilia mbali huko
 
Maana yake kulikuwa/kuna kundi la uhalifu ndani ya serikali, na linalo endesha vitendo vya kijambazi/uhalifu, kwa raia wema.

Jaji alitakiwa aifutilie mbali hii kesi! Ila kwa bahati mbaya ndiyo hivyo tena! mhimili mmoja kati ya ile mitatu una mizizi iliyo jichimbia chini zaidi kuliko ile miwili mingine.
Huyo ni Jaji Mkakati, anazugazuga tu kuisikiliza hiyo kesi lakini hukumu ipo tayari ya kumfunga Mbowe na atazawadiwa hela nyingi na kupandishwa kuwa Jaji Rufaa.
 
Maana yake kulikuwa/kuna kundi la uhalifu ndani ya serikali, na linalo endesha vitendo vya kijambazi/uhalifu, kwa raia wema.

Jaji alitakiwa aifutilie mbali hii kesi! Ila kwa bahati mbaya ndiyo hivyo tena! mhimili mmoja kati ya ile mitatu una mizizi iliyo jichimbia chini zaidi kuliko ile miwili mingine.
Sasa kesi si lazima isikilizwe kwanza?? Au una pendekeza ifutwe kistaili??
 
Huyo ni Jaji Mkakati,anazugazuga tu kuisikiliza hiyo kesi lakini hukumu ipo tayari ya kumfunga Mbowe na atazawadiwa hela nyingi na kupandishwa kuwa Jaji Rufaa.
Usiruhusu hisia hasi zikuongoze....mahakama itatenda haki tu ondoa hofu.
 
Hivi mtu ambaye anashitakiwa kwa kuendesha genge la uhalifu anapaswa kuwa shahidi?. Inawezekana Mbowe alikuwa anajilinda dhidi ya hili genge baada ya kujua kuwa mbinu zao zimejulikana ikabidi hili genge licungue kesi ya ugaidi dhidi yake ili adhima ya kumpoteza itimie. Hii kesi ni ujinga mtupu futilia mbali huko
Jinai haipingwi kwa jinai...mvua inanukia.
 
Maana yake kulikuwa/kuna kundi la uhalifu ndani ya serikali, na linalo endesha vitendo vya kijambazi/uhalifu, kwa raia wema.

Jaji alitakiwa aifutilie mbali hii kesi! Ila kwa bahati mbaya ndiyo hivyo tena! mhimili mmoja kati ya ile mitatu una mizizi iliyo jichimbia chini zaidi kuliko ile miwili mingine.
. Na ndiomaana Dunia inaitazama hii kesi kwa ukaribu sana zaidi ya milimita
 
Mwezi w tatu mwaka huu Kuna clip isambaa ya Profesa mmoja huko Arusha kuvamiwa nyumbani kwake na kubambikiwa meno ya tembo na Askari Polisi Kisha kuelekezwa atoe Milioni Mia Moja wasimfungulie mashtaka.

Baada ya clip ile kusambaa na watu kupiga kelele Takukuru na Polisi waliibuka na kudai Askari hao wamefukuzw kazi na watafikishwa mahakamani. Lakini Hadi leo hakuna updates za kesi waliyofunguliwa.

Leo mahakamani moja ya swali aliloulizwa Mahita Ni endapo ana Taarifa kwamba mmoja wa Askari waliyeshirikiana naye kuwakamata akina Adamoo amefukuzwa kazi kwa kubambikiwa Mzee mmoja kesi huko Arusha ambapo Mahita amekiri kwamba Ni kweli.

Kama Sabaya amethibitika ni mhalifu, waliowakamata akina Adamoo nao wanakamatwa kwa tuhuma zakuchukua milioni Mia Moja kwa mstaafu Tena kwakumbambikia meno ya tembo kwenye mizinga ya asali, then Kingai anamtamkia Mtuhumiwa kwamba ataakikisha anafungwa, wakati huo huo Ugaidi wa Kilimanjaro unashughulikiwa na Askari wa Arusha ambao kwa miaka yote awakuwahi kujua uhalifu wa Sabaya.....hii inatoa picha gani kwa mfumo wa serikali? Kwamba upo uhalifu umebarikiwa na serikali na wanaotenda uhalifu huo wanakuwa rewarded nakuonekana mashujaa kwenye utendaji wa serikali?
Gang government
 
Hivi mtu ambaye anashitakiwa kwa kuendesha genge la uhalifu anapaswa kuwa shahidi?. Inawezekana Mbowe alikuwa anajilinda dhidi ya hili genge baada ya kujua kuwa mbinu zao zimejulikana ikabidi hili genge licungue kesi ya ugaidi dhidi yake ili adhima ya kumpoteza itimie. Hii kesi ni ujinga mtupu futilia mbali huko
Hii kesi inazidi kubackfire daily.
 
Maana yake Genge la jambazi saambaya ngomeyake chuga na linawatu wasistimu ndani ndomana amefanya ujambazi na hawakumshika badalayake akawaagiza wakamshike mwamba FM.
Maswali yangu kwa kingai akija...
1.) Kwa uzito wa tuhuma ya ugaidi je, mliagiza polisi vituo vyote kujielekeza kumkamata gaidi hatari aliyewapotea?
2.) Madawa waliyoshika je,waliripoti kitengo maalumu cha kuzuia madawa lini na barua iko mahakamani?
3.) Je,walimuagiza Ocd hai kumuongezea ulinzi 7ya kwakuwa magaidi wanataka kumuua? Kwa barua ipi? Je ipo mahakamani?
4.) Inavyoonekana ushahidi wa FM kujihusisha na ugaidi ulipatikana mapema,kwanini walimwacha gaidi ashiriki uchaguzi tena kwakugombea na asafiri nje yanchi?
5.) Nilini hasa nakwajambo gani mahsusi waligundua FM anahusika na ugaidi?
6.)Kilimanjaro hakuna polisi kwanini wao walitoka chuga kwenda KLM kukamata?
7.) Kwanini hakuna polisi wenyeji kwenye kukamata wakati wao ndio wanapajua rau vyema?
8.) Jumanne aliye na kesi yakubambikia mzee pale Meru pembe... kwanini walimuona yeye ndio anafaa sana kusachi watuhumiwa?huku mama muuza mbege akiwa ndiyo shahidi??
9.) 7ya kafanya ujambazi chuga, kaziyao ilikuwa kumlinda jambazi? Walimpa ushirikiano kiasi gani kweye uporaji alofanya chuga?
10.) Hawa watu wanne ndiyo wangelipua vituo vya mafuta morogoro,iringa,mwanza,arusha,klm nk. na kukata miti na kuitisha maandamano bila kikomo na kufanya nchi isitawalike?
 
Back
Top Bottom