SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Yule maisha yake atamalizia kwenye wheelchair alivunjwa kiunoWalimkimbiza sauzi afrika sijui hali yake ikoje hadi leo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule maisha yake atamalizia kwenye wheelchair alivunjwa kiunoWalimkimbiza sauzi afrika sijui hali yake ikoje hadi leo
Haiwezekani kushirikiana na sabaya ukawa muadilifu, eti jambazi akitaka kudhuriwa, mitaani siku zote vibaka, majambazi, wezi wanauwawa na jamii haijali, leo jambazi ametunga tamthilia, watu wako mahakamani, ni ajabu kuamini maelezo yao!Halafu bado mahakama ina endekeza hii kesi. Mashahidi wa serikali ni majambazi. Anae tuhumiwa kufanyiwa ugaidi ni jambazi na yuko magereza kwa ujambazi. Hii ina tokea tuu Tanzania nchi ambayo mahakama inaendeshwa na vyombo vya dola kumfurahisha malkia/ mfalme.
Ndio nilikua nashangaa huyo jamaa anavyosema eti jaji aifute kesi mahakaman.DPP ndiye anaweza kuiondoa kesi mahakamani kwani ndiye mshitaki.
Dunia inaona, usihofu.Hivi mtu ambaye anashitakiwa kwa kuendesha genge la uhalifu anapaswa kuwa shahidi?. Inawezekana Mbowe alikuwa anajilinda dhidi ya hili genge baada ya kujua kuwa mbinu zao zimejulikana ikabidi hili genge licungue kesi ya ugaidi dhidi yake ili adhima ya kumpoteza itimie. Hii kesi ni ujinga mtupu futilia mbali huko
Sielewini, sioni, na haipoUngekuwa na akili japo kiduchu tu ungeelewa.
Iweke hiyo clip mbona unaleta mambo nusunusuMwezi w tatu mwaka huu Kuna clip isambaa ya Profesa mmoja huko Arusha kuvamiwa nyumbani kwake na kubambikiwa meno ya tembo na Askari Polisi Kisha kuelekezwa atoe Milioni Mia Moja wasimfungulie mashtaka.
Maana yake Genge la jambazi saambaya ngomeyake chuga na linawatu wasistimu ndani ndomana amefanya ujambazi na hawakumshika badalayake akawaagiza wakamshike mwamba
Hata mimi itanichukua muda sana kuamini kwamba jaji msomi awabebe empty headed!!Usiruhusu hisia hasi zikuongoze....mahakama itatenda haki tu ondoa hofu.
Hupati shida kujua mpaka sasa ni nani alimpiga risasi tundu lissuHawa akina kingai ndio walikuwa kundi la mwendakuzimu la watu wasiojulikana. Tulisema sana kuhusu hili kundi kuwa ni la kutoka vyombo vya ulinzi na usalama, na vyombo vyote vya ulinzi na usalama vilifahamu na kutoa ushirikiano kuwa wakosoaji wote wadhuriwe, kutekwa hata kuuwawa.
Hapana, ni DPP.Hivi jaji ana mamlaka ya kufuta kesi?
Mkuu, wakati mwingine ni bora ukapita unasoma tu comments za watu unaweza ukaelimika. Uwezo wako mdogo wa reasoning ndiyo maana huwezi kuona logical sequences zilizopo hapo. Kwa akili hizi, hata maswali ya mawakili huwezi kuelewa logics zake.sasa mkuu hili linamsaidiaje Mbowe na kesi yake?
Huna akili ya kuelewa chochote zaidi ya kulamba viatu vya watawala.Sielewini, sioni, na haipo
Huyo kilaza ana akili za kuvukia barabara na kwendea chooni tu.Mkuu, wakati mwingine ni bora ukapita unasoma tu comments za watu unaweza ukaelimika. Uwezo wako mdogo wa reasoning ndiyo maana huwezi kuona logical sequences zilizopo hapo. Kwa akili hizi, hata maswali ya mawakili huwezi kuelewa logics zake.
Tusubiri matokeo lakini mpaka dakika hii Jamhuri 2- 0 Kibatala
Hupati shida kujua mpaka sasa ni nani alimpiga risasi tundu lissu
KUNA MAJAJI WAMEPACHIKWA KWENYE MAHAKAMA KUJA KUNAJISI MFUMO WA KIMAHAKAMA....YANI HAWA NI MAALUM TOKA SERIKALINI....KINACHOFANYIKA WAO HAWAJALI TAALUMA NA WELEDI WA CHOMBO HIKI....LEGACY YA MAHAKAMA ZETU INAVYOHARIBIKA WAO THEY ARE LESS CONCERN .....HIVYO MAJAJI HASA NA WASOMI MLIO KWENYE TAALUMA HIYO MMEINGILIWA.....UMAKINI WA MWENEDO WA WENZENU UNAHITAJIKA MNOMaana yake kulikuwa/kuna kundi la uhalifu ndani ya serikali, na linalo endesha vitendo vya kijambazi/uhalifu, kwa raia wema.
Jaji alitakiwa aifutilie mbali hii kesi! Ila kwa bahati mbaya ndiyo hivyo tena! mhimili mmoja kati ya ile mitatu una mizizi iliyo jichimbia chini zaidi kuliko ile miwili mingine.
Sasa kuna faida gani kuwakumbatia hawa MBUSUSU kwa ustawi wa nchi hata kama kuna tofauti ya itikadi za kisiasa.Kabisa, waliompiga risasi ni hawa hawa akina Kingai na kina Sabaya, Makonda nk.