Baadhi ya Askari Waliotuhumiwa kupora milioni Mia Moja ni mashahidi kesi ya Mbowe

Baadhi ya Askari Waliotuhumiwa kupora milioni Mia Moja ni mashahidi kesi ya Mbowe

Maana yake kulikuwa/kuna kundi la uhalifu ndani ya serikali, na linalo endesha vitendo vya kijambazi/uhalifu, kwa raia wema.

Jaji alitakiwa aifutilie mbali hii kesi! Ila kwa bahati mbaya ndiyo hivyo tena! mhimili mmoja kati ya ile mitatu una mizizi iliyo jichimbia chini zaidi kuliko ile miwili mingine.
Hivi jaji ana mamlaka ya kufuta kesi?
 
Halafu bado mahakama ina endekeza hii kesi. Mashahidi wa serikali ni majambazi. Anae tuhumiwa kufanyiwa ugaidi ni jambazi na yuko magereza kwa ujambazi. Hii ina tokea tuu Tanzania nchi ambayo mahakama inaendeshwa na vyombo vya dola kumfurahisha malkia/ mfalme.
 
Ukweli ni kwamba Jeshi la Polisi limejaa watu waovu. Wengi wao ni majambazi. Ni majambazi waliopewa kibali na Serikali.

Siku tutakapopata viongozi wenye hekika, jeshi hili itabidi kufutwa na kuanzisha jipya, sawa na Mwalimu Nyerere alivyofanya kwa jeshi la wananchi.
 
Mwezi w tatu mwaka huu Kuna clip isambaa ya Profesa mmoja huko Arusha kuvamiwa nyumbani kwake na kubambikiwa meno ya tembo na Askari Polisi Kisha kuelekezwa atoe Milioni Mia Moja wasimfungulie mashtaka.
Sasa mkuu hili linamsaidiaje Mbowe na kesi yake?
 
Ni Sawa na Lile Genge la watekaji, walivyomfata Zakaria wa Mabus, akawawahi! Badala yake Zakaria ndio akashtakiwa kwa kujeruhi
 
Tulikuwa tunaongozwa na serikali ya majambazi tupu.

Itamchukua muda mrefu Rais Samia kusafisha haya maharamia.
Hawezi kusafisha kwani na yeye ni mshiriki wa huu uharamia,rejea mahojiano yake na Salim Kikeke wa BBC,alishatoa hukumu,majaji wanachofanya ni ku justify hukumu ya Hangaya.
 
Back
Top Bottom