Baadhi ya Dawa za Hospitali kushindwa kutibu wananchi baadhi ya Magonjwa. Nini tatizo?

Baadhi ya Dawa za Hospitali kushindwa kutibu wananchi baadhi ya Magonjwa. Nini tatizo?

realMamy

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2024
Posts
3,925
Reaction score
8,853
Kumekuwa na ongezeko kubwa la wananchi mtaani wenye maradhi mbalimbali kulalamika kuwa wametumia dawa za hospitali kwa muda mrefu ila hawajapona na kuamua kugeukia tiba Asili.

Nini kinasababisha yote haya?

Tatizo liko kwa wananchi kushindwa kuzingatia ushauri wa kitaalamu?
Au kulea ugonjwa nyumbani na kwenda hospitali ugonjwa ukiwa katika hatua mbaya zaidi? Au shida iko wapi wakuu?
 
Aseee Kuna magonjwa yanasumbua ni hatari sana. Unaenda hospital madaktari wanakufanyia vipimo lukuki unagundulika unasumbuliwa na ugonjwa ambao hawana majibu ni nini chanzo chake na hawajui tiba yake ni nini.

Unajua ugonjwa unaoitwa "Minieres " ? Ni hatari sana halafu si salama hata kidogo
 
Treatment failures inaweza kutokana na sababu mbali mbali ikiwemo usugu wa vimelea dhidi ya dawa, makosa katika kutambua ugonjwa, dawa kutokua na nguvu ya kutosha (potency), matumizi yasiyo sahihi ya dawa nk.

Hatuwezi kusema kwa yakini kwamba dawa hazitibu bila kuwa na takwimu sahihi za ni dawa gani ilikua inatibu ugonjwa gani na ilitumika vipi. Nashauri, kama umefikwa na changamoto ya dawa kutokukutibu, toa taarifa kwa watoa huduma ili waweze kukusaidia kufuatilia na kuchukua hatua stahiki.
USUGU WA VIMELEA DHIDI YA DAWA ZA ANTIBAYOTIKI

Kumekua na tabia ya matumizi holela ya dawa za antibayotiki hali ambayo inapelekea usugu wa vimelea dhidi ya dawa hizi. Tafadhali soma hapa

Dawa hizi za antibiotiki zinadhibiti maambukizi yanayosababishwa na bakteria lakini matumizi yake kwa volume kubwa na bila kuzingatia ushauri wa kitaalam yanapelekea kwa kiasi kikubwa usugu na baadhi ya bakteria wameshadevelope resistance kwa baadhi ya dawa.

Hivyo nitumie fursa hii kuwakumbusha wanajukwaa kuepuka kutumia antibiotics randomlly bila kuwa na sababu ya msingi. Usugu huu unaweza kupelekea dawa hizi zisiweze tena kutibu tukaanza kuingia gharama za kununua dawa mpya, kama na zenyewe zitakuepo.

Watoto wanazaliwa na usugu wa vimelea dhidi ya dawa nchini Nigeria.
 
Treatment failures inaweza kutokana na sababu mbali mbali ikiwemo usugu wa vimelea dhidi ya dawa, makosa katika kutambua ugonjwa, dawa kutokua na nguvu ya kutosha (potency), matumizi yasiyo sahihi ya dawa nk.

Hatuwezi kusema kwa yakini kwamba dawa hazitibu bila kuwa na takwimu sahihi za ni dawa gani ilikua inatibu ugonjwa gani na ilitumika vipi. Nashauri, kama umefikwa na changamoto ya dawa kutokukutibu, toa taarifa kwa watoa huduma ili waweze kukusaidia kufuatilia na kuchukua hatua stahiki.
USUGU WA VIMELEA DHIDI YA DAWA ZA ANTIBAYOTIKI

Kumekua na tabia ya matumizi holela ya dawa za antibayotiki hali ambayo inapelekea usugu wa vimelea dhidi ya dawa hizi. Tafadhali soma hapa

Dawa hizi za antibiotiki zinadhibiti maambukizi yanayosababishwa na bakteria lakini matumizi yake kwa volume kubwa na bila kuzingatia ushauri wa kitaalam yanapelekea kwa kiasi kikubwa usugu na baadhi ya bakteria wameshadevelope resistance kwa baadhi ya dawa.

Hivyo nitumie fursa hii kuwakumbusha wanajukwaa kuepuka kutumia antibiotics randomlly bila kuwa na sababu ya msingi. Usugu huu unaweza kupelekea dawa hizi zisiweze tena kutibu tukaanza kuingia gharama za kununua dawa mpya, kama na zenyewe zitakuepo.

Watoto wanazaliwa na usugu wa vimelea dhidi ya dawa nchini Nigeria.
🙏
 
Kumekuwa na ongezeko kubwa la wananchi mtaani wenye maradhi mbalimbali kulalamika kuwa wametumia dawa za hospitali kwa muda mrefu ila hawajapona na kuamua kugeukia tiba Asili.

Nini kinasababisha yote haya?

Tatizo liko kwa wananchi kushindwa kuzingatia ushauri wa kitaalamu?
Au kulea ugonjwa nyumbani na kwenda hospitali ugonjwa ukiwa katika hatua mbaya zaidi? Au shida iko wapi wakuu?
Tatizo si wagonjwa kuto zingatia ushauri bali kuna baadhi ya magonjwa yamefanywa kua ni sehem ya miradi hivo dawa zake zimetengenezwa kibiashara kwa kumfanya mgonjwa atumie mpaka mwisho wa uhai wake
 
Tatizo si wagonjwa kuto zingatia ushauri bali kuna baadhi ya magonjwa yamefanywa kua ni sehem ya miradi hivo dawa zake zimetengenezwa kibiashara kwa kumfanya mgonjwa atumie mpaka mwisho wa uhai wake
Daaa Mungu atusaidie sana
 
Tatizo si wagonjwa kuto zingatia ushauri bali kuna baadhi ya magonjwa yamefanywa kua ni sehem ya miradi hivo dawa zake zimetengenezwa kibiashara kwa kumfanya mgonjwa atumie mpaka mwisho wa uhai wake
Sema ukute wewe ni dactar alafu unaongea haya mambo ya vijiweni seriously mkuu
 
Dawa za uhakika ni ghali mno kama zikiletwa
Ni lazima serikali ilifanyie kazi hilo
Tutakuwa tegemezi mpaka lini kama tunashindwa kutengeneza za kwetu na zenye viwango?
Leo asilimia kubwa za madawa ni fake
Na vipimo ni fake pia hata madokta wengi ni fake sasa utapona hapo

Hatuko serious kwa kila jambo
 
Dawa za uhakika ni ghali mno kama zikiletwa
Ni lazima serikali ilifanyie kazi hilo
Tutakuwa tegemezi mpaka lini kama tunashindwa kutengeneza za kwetu na zenye viwango?
Leo asilimia kubwa za madawa ni fake
Na vipimo ni fake pia hata madokta wengi ni fake sasa utapona hapo

Hatuko serious kwa kila jambo
Kutengeneza dawa mkuu sio easy hivo akini
 
Kumekuwa na ongezeko kubwa la wananchi mtaani wenye maradhi mbalimbali kulalamika kuwa wametumia dawa za hospitali kwa muda mrefu ila hawajapona na kuamua kugeukia tiba Asili.

Nini kinasababisha yote haya?

Tatizo liko kwa wananchi kushindwa kuzingatia ushauri wa kitaalamu?
Au kulea ugonjwa nyumbani na kwenda hospitali ugonjwa ukiwa katika hatua mbaya zaidi? Au shida iko wapi wakuu?
Magonjwa mengi yanayopata watu duniani hayatokani ya sababu za kisayansi kama virusi, bacteria, kubadilika kwa hali ya mwili kama kuongezeka sukari.
Matatizo yanayowapata watu wengi walio hospitalini yanasababishwa na tabia zetu mbaya kama vile wizi wa kura au vitu vingine. Tiba yake haipatikani kwa kutumia dawa za hospital au kwenye famasi zilizoenea mijini.
Dawa ni kujirudi na kuomba msamaha wa dhati kwa tuliowakosea, hapo tutapona kabisa. Wenye akili watanielewa
 
Magonjwa mengi yanayopata watu duniani hayatokani ya sababu za kisayansi kama virusi, bacteria, kubadilika kwa hali ya mwili kama kuongezeka sukari.
Matatizo yanayowapata watu wengi walio hospitalini yanasababishwa na tabia zetu mbaya kama vile wizi wa kura au vitu vingine. Tiba yake haipatikani kwa kutumia dawa za hospital au kwenye famasi zilizoenea mijini.
Dawa ni kujirudi na kuomba msamaha wa dhati kwa tuliowakosea, hapo tutapona kabisa. Wenye akili watanielewa
Wizi wa kura?
 
Dawa za uhakika ni ghali mno kama zikiletwa
Ni lazima serikali ilifanyie kazi hilo
Tutakuwa tegemezi mpaka lini kama tunashindwa kutengeneza za kwetu na zenye viwango?
Leo asilimia kubwa za madawa ni fake
Na vipimo ni fake pia hata madokta wengi ni fake sasa utapona hapo

Hatuko serious kwa kila jambo
Mungu atusaidie
 
Back
Top Bottom