Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Pharmaceutical industries zipo7 Tanzania MkuuKumbe tuna kiwanda mkuu..
Nikajua sisi midical store tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pharmaceutical industries zipo7 Tanzania MkuuKumbe tuna kiwanda mkuu..
Nikajua sisi midical store tu
Ooooh wanatengeneza kabisa dawa mkuu..Pharmaceutical industries zipo7 Tanzania Mkuu
Ndio mkuu ni private maana kwa majina tu utajuaOoooh wanatengeneza kabisa dawa mkuu..
Ni private au..
Sawa sawa mkuu hapo nimekuelewa maana kilicho kuwa najua haya mambo ni very complex kama tumefikia huku alhamdullilaahNdio mkuu ni private maana kwa majina tu utajua
Nime Google na kuzisoma baadhi nimekutana na hii ambayo inasema zipo 14 na kati ya hizo 11 zinatengeneza za binadamuView attachment 3077811
Siyo kura tu hata ufisadi kwenye mapenzi ina mchango mkubwa kwenye magonjwa tunayopata. Pia kama tutapona au la. Especially kama mtu haombi msamaha kwa niaWizi wa kura?
Nilipokuwa mdogo miaka ya 60 -70 nakumbuka zilikuwa nyingi tu zinatengenezwa nchini na pia zilikuwepo za kutoka Kenya tangu mkoloniSawa sawa mkuu hapo nimekuelewa maana kilicho kuwa najua haya mambo ni very complex kama tumefikia huku alhamdullilaah
Mkuu huwenda haya mambo acha tuu ngoja tuone ila nachojua kuna vigezo vingi vinatumika mpaka kuruhusiwa kuweka dawa...Nilipokuwa mdogo miaka ya 60 -70 nakumbuka zilikuwa nyingi tu zinatengenezwa nchini na pia zilikuwepo za kutoka Kenya tangu mkoloni
Ukikohoa tu unapewa dawa zetu na usingizi unapita
Sijui siku tunakwama wapi
Hebu nenda pharmacy yeyote uliza dawa za ndani za wakubwa zipo?Mkuu huwenda haya mambo acha tuu ngoja tuone ila nachojua kuna vigezo vingi vinatumika mpaka kuruhusiwa kuweka dawa...
Hivo viwanda ulivyosema utakuna ni zile dawa za watoto nahisi
Sio nyumbani tuNa ile wengine wanaanza kujitibu nyumbani yakiwashinda wanaenda Hospitali
Nenda Kwenye tiba ya homeopathy na naturopathyKumekuwa na ongezeko kubwa la wananchi mtaani wenye maradhi mbalimbali kulalamika kuwa wametumia dawa za hospitali kwa muda mrefu ila hawajapona na kuamua kugeukia tiba Asili.
Nini kinasababisha yote haya?
Tatizo liko kwa wananchi kushindwa kuzingatia ushauri wa kitaalamu?
Au kulea ugonjwa nyumbani na kwenda hospitali ugonjwa ukiwa katika hatua mbaya zaidi? Au shida iko wapi wakuu?
Kwenda kufaHalafu anarudi Hospitali