Itakuwa ni company ya watu wasio jielewa, na hata ukiifatilia sasa hivi unaeza kuta haina mabadiriko yoyoteHata nami nilishangaa kwa kweli mtu anawapa proposal nzuri inayowafanya mzidi kutamba mnamwachaje sasa! Mngemuajiri mngenufaika naye zaidi kwa kuwapa vitu vipya kila siku. Ile sio Kampuni ni matapeli tu.Hata hao walioiba idea zako nao ni matapeli vilevile.
Probably hili ndo limetokea.Itakuwa ni company ya watu wasio jielewa, na hata ukiifatilia sasa hivi unaeza kuta haina mabadiriko yoyote
Mkuu hata Mimi hii imewahi kunitokea ila kuna boss Mbongo akaweka barrier baada ya maboss wahindi kukuikubali.Kuna mwanajf fulani hivi kipindi cha nyuma alilalamika kuhusu hili.Sema wao walitumia trick tofauti kidogo.Tangazo la kazi lilitoka akaapply.Kavuka vikwazo vyote hadi kafika oral.Wakaanza maswali yao ya kuuliza mipango ya interviewee kuhusu kampuni.Jamaa kashuka idea konki sana.Shoo ikahamia upande wa wages.Wakamuuliza unataka tukulipe shingapi akataja.Wakadai hicho kiasi kikubwa so wakashushana bei hadi 2.5M per month! Makubaliano yakafikiwa.Ila cha ajabu baadaye jamaa hakuitwa.Akajua basi yawezekana kuna aliyekuwa mkali zaidi yake ndo kala shavu,akapotezea.Ila akaamua kufuatilia kwa wadau aliopiga nao interview akagundua nao hawakupata ile kazi.Jamaa baadaye kaja kugundua hawakuajiri mtu ila idea zake zile ndo wanazitumia.Hapo hajafaidika hata mia! Akaja jf kutupa sisi vijana tunaochipukia somo kuhusu huo utapeli hehe!
Mkuu inaonesha muda wako mwingi unautumia ukiwa majini sana.Mkuu hata Mimi hii imewahi kunitokea ila kuna boss Mbongo akaweka barrier baada ya maboss wahindi kukuikubali.
Ikabidi awaweke pembeni hao wahindi na kuniambia nisubiri mpaka bodi iridhie. Nikapigwa chenga za mwili kwa miadi hewa na maneno.
Wakati kuna mhindi mmoja akikuwa anahitaji jambo lianze mapema.Project hata wakiifanya isingeweza kufanikiwa parefu sana maana.
Duh pole boss! MTz mwenzako akakuzunguka!Mkuu hata Mimi hii imewahi kunitokea ila kuna boss Mbongo akaweka barrier baada ya maboss wahindi kukuikubali.
Ikabidi awaweke pembeni hao wahindi na kuniambia nisubiri mpaka bodi iridhie. Nikapigwa chenga za mwili kwa miadi hewa na maneno.
Wakati kuna mhindi mmoja akikuwa anahitaji jambo lianze mapema.Project hata wakiifanya isingeweza kufanikiwa parefu sana maana.
Kuna degree Tanzania hamna ila zina soko sana duniani, vijana wa PCM zinawafaa.
Wazazi, mkiwa na pesa na mkiwa na watoto wazuri waliofaulu vizuri PCM pelekeni Ulaya au Marekani wakasome degree za Cyber Security na Aeronautical Engineering.
Ni baadhi ya hot cake degrees, dunia nzima inawataka.
Hapana mkuu, tupo pamoja nchi kavu.Mkuu inaonesha muda wako mwingi unautumia ukiwa majini sana.
Hii sector nayo inatisha kama Ile ya madini ukiwa hujawai kuchimba madini mtu akiku-invite unahisi anataka kunitoa sadaka nini na huku kuna jamaa aliwai kuniuliza unaweza kuvua tuingie baharini nikaona aah wee.Hapana mkuu, tupo pamoja nchi kavu.
Nimewekeza muda na akili kwenye fani yangu ya Marine.
Dadavua vizur basi ili kumsawishi mwenye mtoto juu yahili usemalo maana hata sisi tuliambiwa ivyo wakati huo ila mambo tofauti saiviKuna degree Tanzania hamna ila zina soko sana duniani, vijana wa PCM zinawafaa.
Wazazi, mkiwa na pesa na mkiwa na watoto wazuri waliofaulu vizuri PCM pelekeni Ulaya au Marekani wakasome degree za Cyber Security na Aeronautical Engineering.
Ni baadhi ya hot cake degrees, dunia nzima inawataka.
Mkuu uvuvi ni vifaa na ni tofauti na madini. Ambayo unatafuta jiwe mpaka ulipate ni muda mrefu. Kama ukivua kisasa utapata mazao mengi na ukienda leo unarudi na mzigo.Hii sector nayo inatisha kama Ile ya madini ukiwa hujawai kuchimba madini mtu akiku-invite unahisi anataka kunitoa sadaka nini na huku kuna jamaa aliwai kuniuliza unaweza kuvua tuingie baharini nikaona aah wee.
Nchi kavu tunasikia fursa nyingi za pesa mtu akiwa na Mtaji kama wa 6M unawezaje Double fasta iyo pesa kwenye hiyo sector.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Labda ufanyie kazi huko nje, Tanzania tunahitaji ma afisa kilimo na mabibi afya bado.
Inabidi usome course gani ili uwe programmer?Dah umeacha programming? Mimi mwenyewe najuata kwa nini sikusoma programming mwanzoni watu wanapiga hela.
Java,C++,Python,Php nkInabidi usome course gani ili uwe programmer?
We nae...ICT mambo ya watoto hayo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Dah mkuu unatu motivation speaker au ya kweli haya.
Yaani utaamjniwa vipi bila cheti sasa??
Hebu tufafanulie kabla hatujaenda darasani.
Me nilisoma ICT(informational communication technology)
Sawa bwana mkubwa Mimi ndo nilipoishiaWe nae...ICT mambo ya watoto hayo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Daaah unaweza kukatishwa tamaa na watu aisee, we unaona umevuta sana kumbe ya kitotoWe nae...ICT mambo ya watoto hayo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]