Baadhi ya graduates hawako serious katika suala la kutafuta ajira

Baadhi ya graduates hawako serious katika suala la kutafuta ajira

Isenye

Member
Joined
Dec 22, 2024
Posts
97
Reaction score
628
Habari za weekend wakuu?
Wakubwa leo bana,hr amenipa kazi ya kuwapigia baadhi ya candidates kwenye nafasi kama 4 za idara yetu kuwaalika kwenye usaili siku ya jumatatu,na haya ndio niliyoyaona nikajisemea tu hawa watu wako serious kweli?
1.Number nimepiga zaidi ya mara tatu hazipatikani.
2.Majibu yanayotolewa na watahiniwa ni kama vile watu wasio na shida na kazi.
3.Wengine unawapigia wanakujibu please call me later am busy right now.
4.hawapokei simu na hawakurudii hata kukuuliza ulikua na shida gani.
5.kati ya candidates 12 walio shortlisted nimehatika kuwapata 6 tu.
6.Wengine hawakumbuki hata kampuni walioomba inaitwaje wkt deadline ina siku 4 tu toka ifungwe.
Wakuu ebu tuwe serious please kwenye hili suala la ajira,how comes mtu huna records ya mahali ulipoomba ajira?
Kwa kweli imebidi nishangae tu watu tunalalamika hakuna ajira but tunapoitwa ndio hali iko hivi?
 
Sasa kiongozi unalalamika watu hawako serious hivi kweli wewe ambaye ni mtumishi kwenye kampuni yako unashindwa kuandika kitu chenye mvuto kweli?

Ndio ulikuwa unafanya listing ya ulicho-experience lakini umeshindwa angalau kuweka aya kutenganisha listing yako mwanzo na paragraph ya mwisho?wewe nae upo serious kweli(anyway, just joking)

Sema wafanyie wepesi wadau wapate chochote kitu hapo maisha ya graduates ni changamoto mtaani
 
Kwa maisha ya sasa 600k ni ndogo kuna watu hyo 600k wanaipata wakiwa wamelala nyumban..kuna biashara nilianzisha baada ya kuacha kazi profit ya mwanzo ilikuwa 1m nikasema sitaomba tena ajira maana nina freeedom ya kufanya mambo mengine na hyo faida naipata nikiwa nimelala...
Ndogo sana ndio maana wanaringa ingekua at least 3.5 M per month ungeona wanavyoichangamki
 
Habari za weekend wakuu?
Wakubwa leo bana,hr amenipa kazi ya kuwapigia baadhi ya candidates kwenye nafasi kama 4 za idara yetu kuwaalika kwenye usaili siku ya jumatatu,na haya ndio niliyoyaona nikajisemea tu hawa watu wako serious kweli?
1.Number nimepiga zaidi ya mara tatu hazipatikani.
2.Majibu yanayotolewa na watahiniwa ni kama vile watu wasio na shida na kazi.
3.Wengine unawapigia wanakujibu please call me later am busy right now.
4.hawapokei simu na hawakurudii hata kukuuliza ulikua na shida gani.
5.kati ya candidates 12 walio shortlisted nimehatika kuwapata 6 tu.
6.Wengine hawakumbuki hata kampuni walioomba inaitwaje wkt deadline ina siku 4 tu toka ifungwe.
Wakuu ebu tuwe serious please kwenye hili suala la ajira,how comes mtu huna records ya mahali ulipoomba ajira?
Kwa kweli imebidi nishangae tu watu tunalalamika hakuna ajira but tunapoitwa ndio hali iko hivi?
Mimi nimeshakuwa kwenye timu kadhaa za ku short list watu. Niseme zaidi ya asilimia 90 ya watu wanaoomba kazi hua wanakosa kazi kutokana na UZEMBE. Utakuta mtu vigezo vyote anavyo, ila sasa kufuata tu maelekezo ya tangazo la kazi ni mtihani!

Wengi wanakosa kazi kwa vitu kama;
1. Kutokubandika picha (passport size)
2. Kutokugonga mihuri (certify) vyeti
3. Kuto ku attach CV, birth certificate nk

Halafu wakikosa kazi wanaanza kulalamika ooh ile kazi ilikua na wenyewe
 
Habari za weekend wakuu?
Wakubwa leo bana,hr amenipa kazi ya kuwapigia baadhi ya candidates kwenye nafasi kama 4 za idara yetu kuwaalika kwenye usaili siku ya jumatatu,na haya ndio niliyoyaona nikajisemea tu hawa watu wako serious kweli?
1.Number nimepiga zaidi ya mara tatu hazipatikani.
2.Majibu yanayotolewa na watahiniwa ni kama vile watu wasio na shida na kazi.
3.Wengine unawapigia wanakujibu please call me later am busy right now.
4.hawapokei simu na hawakurudii hata kukuuliza ulikua na shida gani.
5.kati ya candidates 12 walio shortlisted nimehatika kuwapata 6 tu.
6.Wengine hawakumbuki hata kampuni walioomba inaitwaje wkt deadline ina siku 4 tu toka ifungwe.
Wakuu ebu tuwe serious please kwenye hili suala la ajira,how comes mtu huna records ya mahali ulipoomba ajira?
Kwa kweli imebidi nishangae tu watu tunalalamika hakuna ajira but tunapoitwa ndio hali iko hivi?
1. Namba kutopatikana napo ni uzembe? Unatakiwa umjulishe kwa kumpigia na kwa kumtext. Huwezi kujua yupo kwenye changamoto ipi, usianze kwa kulaumu be positive.

2.Majibu huwa ni matokeo pia ya maswali. Jifanyie tathmini kwanin watu wengi wanakujibu hivyo.

3.Leo ni weekend. Pia mtu kuwa busy sio dhambi. Mtu anapoomba kazi haina maana hana shughuli nyingine za msingi. Vijana wengi ni bodaboda nk. Watu wengine wapo kwenye misiba, masherehe nk. Kama umepata hata nafasi ya kujibiwa bas huyo mtu yupo makini. Be positive

4. Umepiga simu leo na ni weekend. Leo haijaisha lakini umeshaanza lawama. Be positive

Unapopiga siku, unatakiwa ujitambulishe unatokea wapi. Vijana wanaomba ajira makampuni mengi. Kwanin umpe kazi ya kubashiri??

Sijui kwann HR ameamua kukutumia wewe kutoa hizo taarifa kwa hao wahusika. Unaonekana ni mtu ambaye sio professional kabisa au ni wale wenye majigambo.

Kiuhalisia umejitukana mwenyewe kwa ulichokiandika. Hakuna proffesional HR anayeweza kuja na hoja za kipuuzi kima hizi mbele ya umma
 
Back
Top Bottom