Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimetuma ujumbe pia, baadhi wamerespond wanasema wako mbali hawatwaweza kufika Monday.kuna wakati vijana wanapita kwenye masahibu mengi sana, kwa kuwasaidia hao ingekuwa vizuri pia kama ungewatumia ujumbe wa maandishi.
OkNdogo sana ndio maana wanaringa ingekua at least 3.5 M per month ungeona wanavyoichangamkia
Ok sawa mkurugenziKwa maisha ya sasa 600k ni ndogo kuna watu hyo 600k wanaipata wakiwa wamelala nyumban..kuna biashara nilianzisha baada ya kuacha kazi profit ya mwanzo ilikuwa 1m nikasema sitaomba tena ajira maana nina freeedom ya kufanya mambo mengine na hyo faida naipata nikiwa nimelala...
Tangazo lina siku nne tu toka deadline Madam?Au mmewachelewesha sana jamani. Msiwalaumu bure
Mimi nimeshakuwa kwenye timu kadhaa za ku short list watu. Niseme zaidi ya asilimia 90 ya watu wanaoomba kazi hua wanakosa kazi kutokana na UZEMBE. Utakuta mtu vigezo vyote anavyo, ila sasa kufuata tu maelekezo ya tangazo la kazi ni mtihani!
Wengi wanakosa kazi kwa vitu kama;
1. Kutokubandika picha (passport size)
2. Kutokugonga mihuri (certify) vyeti
3. Kuto ku attach CV, birth certificate nk
Halafu wakikosa kazi wanaanza kulalamika ooh ile kazi ilikua na wenyewe
Why?Usingejibu hilo swari…
Mtu ni fresh from college ulitaka alipwe mamilioni serious?Ilikua lazima ajibu ndio maana akajibu vijana wanaangalia malipo
Jf kuna watuNdogo sana ndio maana wanaringa ingekua at least 3.5 M per month ungeona wanavyoichangamkia
Mkuu sio kila Taasisi ina hayo maelekezo uloandika hapo........ Nshafanya kazi na Taasisi Kibao ambazo hata hawakuwahi kuona hata vyeti vyangu so kila sehemu wana utaratibu wa kupata wanafanyakaziMimi nimeshakuwa kwenye timu kadhaa za ku short list watu. Niseme zaidi ya asilimia 90 ya watu wanaoomba kazi hua wanakosa kazi kutokana na UZEMBE. Utakuta mtu vigezo vyote anavyo, ila sasa kufuata tu maelekezo ya tangazo la kazi ni mtihani!
Wengi wanakosa kazi kwa vitu kama;
1. Kutokubandika picha (passport size)
2. Kutokugonga mihuri (certify) vyeti
3. Kuto ku attach CV, birth certificate nk
Halafu wakikosa kazi wanaanza kulalamika ooh ile kazi ilikua na wenyewe
Mkuu wewe kama unataka kuishi maisha yako yote umeajiriwa ni wewe.Habari za weekend wakuu?
Wakubwa leo bana,hr amenipa kazi ya kuwapigia baadhi ya candidates kwenye nafasi kama 4 za idara yetu kuwaalika kwenye usaili siku ya jumatatu,na haya ndio niliyoyaona nikajisemea tu hawa watu wako serious kweli?
1.Number nimepiga zaidi ya mara tatu hazipatikani.
2.Majibu yanayotolewa na watahiniwa ni kama vile watu wasio na shida na kazi.
3.Wengine unawapigia wanakujibu please call me later am busy right now.
4.hawapokei simu na hawakurudii hata kukuuliza ulikua na shida gani.
5.kati ya candidates 12 walio shortlisted nimehatika kuwapata 6 tu.
6.Wengine hawakumbuki hata kampuni walioomba inaitwaje wkt deadline ina siku 4 tu toka ifungwe.
Wakuu ebu tuwe serious please kwenye hili suala la ajira,how comes mtu huna records ya mahali ulipoomba ajira?
Kwa kweli imebidi nishangae tu watu tunalalamika hakuna ajira but tunapoitwa ndio hali iko hivi?
Ok,kila taasisi ina policy zake,so sisi ndo policy yetu hii.Wewe uliyepewa hiyo kazi ndio haupo serious, inatakiwa siku mbili au wiki kabisa kabla ya interview watumieni UJUMBE walio shortlisted kwa email
Njia ya simu sio ya kuiamini kabisa
Kazi kwaoTangazo lina siku nne tu toka deadline Madam?
Ni kweli mkuuHR serious hapigi simu bali anaandika barua pepe(email)
Msiwatetee watu kuna some people ukiwatumia email ndio kabisaaa heri kumpigia.Njia zuri unamtumia mtu E-mail
Simu unaweza kumpigia asipokee wala kukurudia.
Ila hakiona Email na akaamua Ku-mute hapo sawa.
Pia mtu akiomba Kazi anakuwa anasikilizia maeneo mengi sio rahisi job hunter aombe Kazi sehemu moja tu.
Hivyo uki-schedule interview date - lazima uweke at least two weeks
Wiki ya kwanza ya taarifa na wiki ya pili ya kujiandaa. Msailiwa kufika hapo.