Baadhi ya graduates hawako serious katika suala la kutafuta ajira

Baadhi ya graduates hawako serious katika suala la kutafuta ajira

Habari za weekend wakuu?
Wakubwa leo bana,hr amenipa kazi ya kuwapigia baadhi ya candidates kwenye nafasi kama 4 za idara yetu kuwaalika kwenye usaili siku ya jumatatu,na haya ndio niliyoyaona nikajisemea tu hawa watu wako serious kweli?
1.Number nimepiga zaidi ya mara tatu hazipatikani.
2.Majibu yanayotolewa na watahiniwa ni kama vile watu wasio na shida na kazi.
3.Wengine unawapigia wanakujibu please call me later am busy right now.
4.hawapokei simu na hawakurudii hata kukuuliza ulikua na shida gani.
5.kati ya candidates 12 walio shortlisted nimehatika kuwapata 6 tu.
6.Wengine hawakumbuki hata kampuni walioomba inaitwaje wkt deadline ina siku 4 tu toka ifungwe.
Wakuu ebu tuwe serious please kwenye hili suala la ajira,how comes mtu huna records ya mahali ulipoomba ajira?
Kwa kweli imebidi nishangae tu watu tunalalamika hakuna ajira but tunapoitwa ndio hali iko hivi?
Relax boss, watu wana vimeo sana, so number mpya wanahisi ni wadai labda
 
Habari za weekend wakuu?
Wakubwa leo bana,hr amenipa kazi ya kuwapigia baadhi ya candidates kwenye nafasi kama 4 za idara yetu kuwaalika kwenye usaili siku ya jumatatu,na haya ndio niliyoyaona nikajisemea tu hawa watu wako serious kweli?
1.Number nimepiga zaidi ya mara tatu hazipatikani.
2.Majibu yanayotolewa na watahiniwa ni kama vile watu wasio na shida na kazi.
3.Wengine unawapigia wanakujibu please call me later am busy right now.
4.hawapokei simu na hawakurudii hata kukuuliza ulikua na shida gani.
5.kati ya candidates 12 walio shortlisted nimehatika kuwapata 6 tu.
6.Wengine hawakumbuki hata kampuni walioomba inaitwaje wkt deadline ina siku 4 tu toka ifungwe.
Wakuu ebu tuwe serious please kwenye hili suala la ajira,how comes mtu huna records ya mahali ulipoomba ajira?
Kwa kweli imebidi nishangae tu watu tunalalamika hakuna ajira but tunapoitwa ndio hali iko hivi?
Wewe ni HR?
 
1. Namba kutopatikana napo ni uzembe? Unatakiwa umjulishe kwa kumpigia na kwa kumtext. Huwezi kujua yupo kwenye changamoto ipi, usianze kwa kulaumu be positive.

2.Majibu huwa ni matokeo pia ya maswali. Jifanyie tathmini kwanin watu wengi wanakujibu hivyo.

3.Leo ni weekend. Pia mtu kuwa busy sio dhambi. Mtu anapoomba kazi haina maana hana shughuli nyingine za msingi. Vijana wengi ni bodaboda nk. Watu wengine wapo kwenye misiba, masherehe nk. Kama umepata hata nafasi ya kujibiwa bas huyo mtu yupo makini. Be positive

4. Umepiga simu leo na ni weekend. Leo haijaisha lakini umeshaanza lawama. Be positive

Unapopiga siku, unatakiwa ujitambulishe unatokea wapi. Vijana wanaomba ajira makampuni mengi. Kwanin umpe kazi ya kubashiri??

Sijui kwann HR ameamua kukutumia wewe kutoa hizo taarifa kwa hao wahusika. Unaonekana ni mtu ambaye sio professional kabisa au ni wale wenye majigambo.
umejitukana mwenyewe kwa ulichokiandika. Hakuna proffesional HR anayeweza kuja na hoja za kipuuzi kima hizi mbele ya umma
Watu wa namna ya mleta uzi wapo wwngi sana.
Kwao jambo wafanye wao, akifanya mwingine ni uzembe, kiburi, kutokua makini, hana akili nk.

Kisa mtu kaomba ajira kwenye kampuni yao basi aweke simu on, aiangalie akisubiri apigiwe.

Hajui kua watu huwa wanatuma maombi maeneo mbalimbali, ofisi nyingi na huku wao wakiwa na mitikasi mingine mtaani.

Hija alizotoa ni dhaifu zenye majigambo ndani yake.
Nadhani kachochewa na uzi wa wa baadhi ya wanajf wakilalamikia juu ya graduates wanaoomba ajira na wanazingua.
 
Kwani ni nini maana ya kuweka no ya simu pale mkuu niconect na ajira boss.
Email ipo official zaidi!

Kwanza... Inakupima namna ya kuwa sharp kwa kufungua, kusoma na kujibu mail kwa wakati!

Pili, mails nyingi zinaonyesha ni Nan muhusika wa ujumbe..... Tofaut na calls kama ni hr basi itasoma hr na jina la kampuni!

Tatu, Mails hata ukikaa mwezi unapata ujumbe ulio kusudiwa kukufikia kama hukuwa hewani, au changamoto ya kifaa chako au sababu nyingn mwishoni lazima upate mails


Nne, mails ni uthibitisho tosha wa jumbe za maneno, picha au docs, kama umetuma kwa email kweli lzma muhusika apate ujumbe tofaut na hapo umekosea kuandika email

Mwisho ukitumia email lazima uwe makini na kukufanya kuandika kitu kingine chochote kwa umakini, kwa sababu usipoeka umakini kwenye kuandika mails utakuta inaenda sehemu nyingne au itakupa ujumbe mails hiyo haipo
 
Habari za weekend wakuu?
Wakubwa leo bana,hr amenipa kazi ya kuwapigia baadhi ya candidates kwenye nafasi kama 4 za idara yetu kuwaalika kwenye usaili siku ya jumatatu,na haya ndio niliyoyaona nikajisemea tu hawa watu wako serious kweli?
1.Number nimepiga zaidi ya mara tatu hazipatikani.
2.Majibu yanayotolewa na watahiniwa ni kama vile watu wasio na shida na kazi.
3.Wengine unawapigia wanakujibu please call me later am busy right now.
4.hawapokei simu na hawakurudii hata kukuuliza ulikua na shida gani.
5.kati ya candidates 12 walio shortlisted nimehatika kuwapata 6 tu.
6.Wengine hawakumbuki hata kampuni walioomba inaitwaje wkt deadline ina siku 4 tu toka ifungwe.
Wakuu ebu tuwe serious please kwenye hili suala la ajira,how comes mtu huna records ya mahali ulipoomba ajira?
Kwa kweli imebidi nishangae tu watu tunalalamika hakuna ajira but tunapoitwa ndio hali iko hivi?
1: Namba ukishapiga mara moja kama haipatikani, hukuwa na haja ya kupiga mara mbili zaidi. Wewe ni kisirani.

1: Unataka vijana wasubiri mjini simu za interview ili hali kila siku tunawashauri wakakodi mashamba vijijini. Umefikiria wengine wamepata shinda zilizowafanya kutopatikana, kwanini unawasimanga?

2: Mfano wa majibu...

3: Kama wamepata kazi sehemu nyingine na wapo bize kweli, unataka usiambiwe?

4: Ungewaandikia meseji, ni njia bora zaidi kuepusha sonona ya kutokupokelewa simu.

5: Wanatosha.

6: Wanaomba ofisi nyingi kama tunavyowashauri. Ulitakiwa uwaambie unapiga simu kutoka taasisi ipi, position gani hiyo simu inahusu na siku ya interview.
 
Email ipo official zaidi!

Kwanza... Inakupima namna ya kuwa sharp kwa kufungua, kusoma na kujibu mail kwa wakati!

Pili, mails nyingi zinaonyesha ni Nan muhusika wa ujumbe..... Tofaut na calls kama ni hr basi itasoma hr na jina la kampuni!

Tatu, Mails hata ukikaa mwezi unapata ujumbe ulio kusudiwa kukufikia kama hukuwa hewani, au changamoto ya kifaa chako au sababu nyingn mwishoni lazima upate mails


Nne, mails ni uthibitisho tosha wa jumbe za maneno, picha au docs, kama umetuma kwa email kweli lzma muhusika apate ujumbe tofaut na hapo umekosea kuandika email

Mwisho ukitumia email lazima uwe makini na kukufanya kuandika kitu kingine chochote kwa umakini, kwa sababu usipoeka umakini kwenye kuandika mails utakuta inaenda sehemu nyingne au itakupa ujumbe mails hiyo haipo
Sawa. Vipi swala la kuniconnect nipate kazi mkuu au ndio nikomae na kilimo
 
Habari za weekend wakuu?
Wakubwa leo bana,hr amenipa kazi ya kuwapigia baadhi ya candidates kwenye nafasi kama 4 za idara yetu kuwaalika kwenye usaili siku ya jumatatu,na haya ndio niliyoyaona nikajisemea tu hawa watu wako serious kweli?
1.Number nimepiga zaidi ya mara tatu hazipatikani.
2.Majibu yanayotolewa na watahiniwa ni kama vile watu wasio na shida na kazi.
3.Wengine unawapigia wanakujibu please call me later am busy right now.
4.hawapokei simu na hawakurudii hata kukuuliza ulikua na shida gani.
5.kati ya candidates 12 walio shortlisted nimehatika kuwapata 6 tu.
6.Wengine hawakumbuki hata kampuni walioomba inaitwaje wkt deadline ina siku 4 tu toka ifungwe.
Wakuu ebu tuwe serious please kwenye hili suala la ajira,how comes mtu huna records ya mahali ulipoomba ajira?
Kwa kweli imebidi nishangae tu watu tunalalamika hakuna ajira but tunapoitwa ndio hali iko hivi?
Mkuu Kam nafasi bado zipo nistue nipo free
 
Back
Top Bottom