Baadhi ya graduates hawako serious katika suala la kutafuta ajira

Baadhi ya graduates hawako serious katika suala la kutafuta ajira

Mimi nimeshakuwa kwenye timu kadhaa za ku short list watu. Niseme zaidi ya asilimia 90 ya watu wanaoomba kazi hua wanakosa kazi kutokana na UZEMBE. Utakuta mtu vigezo vyote anavyo, ila sasa kufuata tu maelekezo ya tangazo la kazi ni mtihani!

Wengi wanakosa kazi kwa vitu kama;
1. Kutokubandika picha (passport size)
2. Kutokugonga mihuri (certify) vyeti
3. Kuto ku attach CV, birth certificate nk

Halafu wakikosa kazi wanaanza kulalamika ooh ile kazi ilikua na wenyewe
Je, hivyo vigezo au vipengele vyote vilikuwa vimeanishwa wazi kwenye tangazo?

Kuna wakati watangaza ajira/nafasi za kazi wanafanya mazoea pia
 
Hivi vyote ni vitu vidogo tu endapo ungekuwa na EMPATHY; uwezo wa kuvaa viatu vya watu wengine.
People going through a lot out there, usipandishe sukari kuona namba yake haipatikani. Hujui yuko wapi na anapambana na masaibu gani.
Songa na uliowapata, uliowakosa achana nao.
___
Pia, kazi yako ilikuwa kuwapigia simu wafike kwenye usaili, hebu tushikirishe hao waliokuwa wanajibu kama hawataki walijibuje na wewe ulikuwa umewaambiaje?

Kwa sababu ninyi mnaotumwa huwa mna mambo ya kiwaki. Badala ya kumweleza mtu kuwa unaitwa, unaanza kumzungusha, kumtega na kumbabaisha...
 
Mimi nimeshakuwa kwenye timu kadhaa za ku short list watu. Niseme zaidi ya asilimia 90 ya watu wanaoomba kazi hua wanakosa kazi kutokana na UZEMBE. Utakuta mtu vigezo vyote anavyo, ila sasa kufuata tu maelekezo ya tangazo la kazi ni mtihani!

Wengi wanakosa kazi kwa vitu kama;
1. Kutokubandika picha (passport size)
2. Kutokugonga mihuri (certify) vyeti
3. Kuto ku attach CV, birth certificate nk

Halafu wakikosa kazi wanaanza kulalamika ooh ile kazi ilikua na wenyewe
Kwani kwenye kutuma maombi ya kazi mnatuma na Certificates?
 
Wewe uliyepewa hiyo kazi ndio haupo serious, inatakiwa siku mbili au wiki kabisa kabla ya interview watumieni UJUMBE walio shortlisted kwa email

Njia ya simu sio ya kuiamini kabisa
Yeye na HR wake ni washamba. Kwanza wanapiga simu Jumamosi halafu usaili ni Jumatatu. Kama mtu amesafiri kwenda Bukoba na kazi iko Dar, atawezaje kufika kwenye usaili kwa wakati?
Pia, kwa nini wasitume baruapepe?
 
Mkuu sio kila Taasisi ina hayo maelekezo uloandika hapo........ Nshafanya kazi na Taasisi Kibao ambazo hata hawakuwahi kuona hata vyeti vyangu so kila sehemu wana utaratibu wa kupata wanafanyakazi
Ni uswahili tu.

Hata sijafanya interview na wewe unataka vyeti vyangu?

Kazi kama hizo hua siombi
 
1: Namba ukishapiga mara moja kama haipatikani, hukuwa na haja ya kupiga mara mbili zaidi. Wewe ni kisirani.

1: Unataka vijana wasubiri mjini simu za interview ili hali kila siku tunawashauri wakakodi mashamba vijijini. Umefikiria wengine wamepata shinda zilizowafanya kutopatikana, kwanini unawasimanga?

2: Mfano wa majibu...

3: Kama wamepata kazi sehemu nyingine na wapo bize kweli, unataka usiambiwe?

4: Ungewaandikia meseji, ni njia bora zaidi kuepusha sonona ya kutokupokelewa simu.

5: Wanatosha.

6: Wanaomba ofisi nyingi kama tunavyowashauri. Ulitakiwa uwaambie unapiga simu kutoka taasisi ipi, position gani hiyo simu inahusu na siku ya interview.
HRs wanao jitambua hua wanafanya hivi, kwenye kazi ninayofanya saivi.
Mfano kuna taasisi moja nimeomba kazi muda si mrefu,wao wanahitaji only CV....... Yaani hakuna Covering letter wala nini
Ndio, Ukipita interview ukapewa job offer ndo unapeleka vyeti
 
Mkuu sio kila Taasisi ina hayo maelekezo uloandika hapo........ Nshafanya kazi na Taasisi Kibao ambazo hata hawakuwahi kuona hata vyeti vyangu so kila sehemu wana utaratibu wa kupata wanafanyakazi
Sahihi kabisa ,kampuni nyingi ni CV tu
 
Kwa maisha ya sasa 600k ni ndogo kuna watu hyo 600k wanaipata wakiwa wamelala nyumban..kuna biashara nilianzisha baada ya kuacha kazi profit ya mwanzo ilikuwa 1m nikasema sitaomba tena ajira maana nina freeedom ya kufanya mambo mengine na hyo faida naipata nikiwa nimelala...
Unafanya biashara gani ?
 
Habari za weekend wakuu?
Wakubwa leo bana,hr amenipa kazi ya kuwapigia baadhi ya candidates kwenye nafasi kama 4 za idara yetu kuwaalika kwenye usaili siku ya jumatatu,na haya ndio niliyoyaona nikajisemea tu hawa watu wako serious kweli?
1.Number nimepiga zaidi ya mara tatu hazipatikani.
2.Majibu yanayotolewa na watahiniwa ni kama vile watu wasio na shida na kazi.
3.Wengine unawapigia wanakujibu please call me later am busy right now.
4.hawapokei simu na hawakurudii hata kukuuliza ulikua na shida gani.
5.kati ya candidates 12 walio shortlisted nimehatika kuwapata 6 tu.
6.Wengine hawakumbuki hata kampuni walioomba inaitwaje wkt deadline ina siku 4 tu toka ifungwe.
Wakuu ebu tuwe serious please kwenye hili suala la ajira,how comes mtu huna records ya mahali ulipoomba ajira?
Kwa kweli imebidi nishangae tu watu tunalalamika hakuna ajira but tunapoitwa ndio hali iko hivi?
Nifanyie mpango Mimi basi vijana tuko wengi hatuelewi
 
Habari za weekend wakuu?
Wakubwa leo bana,hr amenipa kazi ya kuwapigia baadhi ya candidates kwenye nafasi kama 4 za idara yetu kuwaalika kwenye usaili siku ya jumatatu,na haya ndio niliyoyaona nikajisemea tu hawa watu wako serious kweli?
1.Number nimepiga zaidi ya mara tatu hazipatikani.
2.Majibu yanayotolewa na watahiniwa ni kama vile watu wasio na shida na kazi.
3.Wengine unawapigia wanakujibu please call me later am busy right now.
4.hawapokei simu na hawakurudii hata kukuuliza ulikua na shida gani.
5.kati ya candidates 12 walio shortlisted nimehatika kuwapata 6 tu.
6.Wengine hawakumbuki hata kampuni walioomba inaitwaje wkt deadline ina siku 4 tu toka ifungwe.
Wakuu ebu tuwe serious please kwenye hili suala la ajira,how comes mtu huna records ya mahali ulipoomba ajira?
Kwa kweli imebidi nishangae tu watu tunalalamika hakuna ajira but tunapoitwa ndio hali iko hivi?
Mkuu huku mtaani jua la utosi watu vichwani kuna mambo mengi Sana, Mimi juzi nimemsalimia mtu "Hodi" badala ya "shkamoo" na hapo bado sijamaliza hata iko chuo...kwaniaba yao nawaombea radhi Sana ila mzigo ambao vijana tunatembeanao kichwani sasahiv ni mzito unaochuruzikwa pilipili.
 
Mkuu huku mtaani jua la utosi watu vichwani kuna mambo mengi Sana, Mimi juzi nimemsalimia mtu "Hodi" badala ya "shkamoo" na hapo bado sijamaliza hata iko chuo...kwaniaba yao nawaombea radhi Sana ila mzigo ambao vijana tunatembeanao kichwani sasahiv ni mzito unaochuruzikwa pilipili.
Umenichekesha mkuu et Hodi.Vijana tumebeba mzigo mzito kichwan hasa tuliotoka familia za pangu pakavu.
 
Back
Top Bottom