TheGreatGenius
JF-Expert Member
- Jul 6, 2011
- 260
- 726
Kama kweli walikuwa wanalipisha Tsh 1000 kwa tembe moja ya pandol wakafie mbele huko!Thieves!
Waislam na wao wangalipewa MoU wangalikua zaidi ya haoRIP mzee Rukhsa
RIP Laigwanani Lowassa
Kufuatia Private hospitals kugoma kutoa huduma kwa Watu Wenye NHIF kimbilio pekee limebaki kwenye Government hospitals na Hospital za Kanisa
Mungu wa Mbinguni awabariki walioasisi Ushirikiano wa Serikali na Kanisa kwenye Huduma za Afya na Elimu
Jumaa Mubarak 😀
Burhan wako kwenye MoU au wale ni Baniani?😂Waislam na wao wangalipewa MoU wangalikua zaidi ya hao
Wewe huna Bima ujiridhishe?Kama kweli walikuwa wanalipisha Tsh 1000 kwa tembe moja ya pandol wakafie mbele huko!Thieves!
Huyo ni BavichaView attachment 2921359
Hiyo ni screenshot ya bei za ZAMANI za NHIF - Paracetamol Kidonge TZS 20 tu za kitanzania. Usilete stori zako za mtaani kama fact. kama hujui jambo kaa kimya
Hivi MoU unaletewa ulipo, au unaitafuta inakopatikana?Waislam na wao wangalipewa MoU wangalikua zaidi ya hao
Awali Kairuki alikuwa Luther House ni mkkkt yulekuna dhehebu kupitia Wizara ya Afya lilikazia Prof Hulbert Kairuki kuanzisha Hospital yake kupitia TAG jitihada zote zikagonga mwamba
aliposikia hivyo Muungwana Ally Hassan Mwinyi aliingilia hadi ikasajiliwa, Timu Azimio la Arusha waliaamini kuanzisha Hospital binafsi ni ubwanyenye
Ungesoma kwa kituo taarifa ya umoja wa hospitali binafsi.RIP mzee Rukhsa
RIP Laigwanani Lowassa
Kufuatia Private hospitals kugoma kutoa huduma kwa Watu Wenye NHIF kimbilio pekee limebaki kwenye Government hospitals na Hospital za Kanisa
Mungu wa Mbinguni awabariki walioasisi Ushirikiano wa Serikali na Kanisa kwenye Huduma za Afya na Elimu
Jumaa Mubarak 😀
Waislam na wao wangalipewa MoU wangalikua zaidi ya hao
Wajinga wakipewa kuongoza nchi ya werevu matokeo yake ndiyo haya. Mimi nadhani suala la bima kwa Tanzania na mtanzania limekuwa anasa kwani linatutesa mno. Hawa viongozi wetu wanamuongoza nani? Bora mungu ayachukue tu haya matapeli.View attachment 2920691View attachment 2920692
View attachment 2920693
Baadhi ya hospital binafsi zimeshaweka matangazo kama yanavyosomeka hapo juu
Nini sulihisho la hili?tiririka ili serikali ipate madini na kuyafanyia kazi inawezekana kabisa hawajui nini cha kufanya kunusuru hilo suala nyeti la afya.
Ni Hatari hii serekare ilitizame hili suala kwa jicho la tatu!
Wanasema Ni siasa kama siasa nyingine tu na ishu ya sukari!"Kuleta Siasa kwenye maisha ya watu ni makosa" - Mpoto.
Serikali acheni siasa ,lipeni fedha kwa wakati ,mnakusanya kodi kibao mnaishia kununua maV8 ya milioni 500 nchi nzima kila mwaka mnatumia 580B ,kwanini msilipe madeni?
Hayo ndiyo mambuzi yenyeww sasa.Wewe kichwa maji kweli!!Upo nchi hii kweli?Barua yao ya awali inayosema wamekaa meza moja na wameshindwa kupata mwafaka umeisoma???Tatizo lako ni UMALAYA wa KISIASA ulionao .
Ninayo ya baiskeli yangu tu kwa ajili ya kubebea ulanzi.Ngoja nimuulize jirani hapa.Wewe huna Bima ujiridhishe?