TheGreatGenius
JF-Expert Member
- Jul 6, 2011
- 260
- 726
Kama kweli walikuwa wanalipisha Tsh 1000 kwa tembe moja ya pandol wakafie mbele huko!Thieves!
Hiyo ni screenshot ya bei za ZAMANI za NHIF - Paracetamol Kidonge TZS 20 tu za kitanzania. Usilete stori zako za mtaani kama fact. kama hujui jambo kaa kimya