Baadhi ya kina dada acheni hii tabia ya kuchukua vitu vya wenza wenu mnapowatembelea

Hahah, ila mwanamke akivaa nguo yako hiyo ni dalili nzuri sana. Akifikia hapo inatakiwa umpe zawadi ya mimba tu.
 
Miaka 10 nyuma nilikua natoka na demu mmoja anakaa manzese Siku kaja kunitembelea kumbe kachukua cheni yangu Kali sana akaiva then akajifunga ushungi akasepa nayo Aisee yule demu alikua mswahili sana
 
Kwangu Mimi wanagawana kanga tu
 
Huyo wa blender katisha 😹
Mna-date vibaka na wezi kwann wasijichukulie vitu km vimezagaa zagaa.!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…