Baadhi ya kina dada acheni hii tabia ya kuchukua vitu vya wenza wenu mnapowatembelea

Starehe gharama. Kama hutaki, oa!
 
Hao cha Mtoto kuna hawa wa huku liwale wanaiba Boxer wanaenda kukutengeneza wakunyooshe.
 
Tabia mbaya sana
 
Umeamua kuwasimanga ndugu zako humu jf.
Kama wanapita humu wamekusikia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…