Baadhi ya majina ya Kisukuma na maana zake

Baadhi ya majina ya Kisukuma na maana zake

Nini maana ya jina LUHAGA
Ni kuzuia kitu kisiangukie upande ule kiliouelemea, kwa kutumia nyenzo nyingine. Kwa mfano kuweka kitu kwenye sehemu ya ukuta unaoelekea kuanguka ili kitu hicho kiuzuie ukuta huo usianguke. Kufanya kivyo ni KUHAGA, na nayefanya kitendo cha KUHAGA ndiyo anaitwa LUHAGA
Saguda47
 
Ni kuzuia kitu kisiangukie upande ule kiliouelemea, kwa kutumia nyenzo nyingine. Kwa mfano kuweka kitu kwenye sehemu ya ukuta unaoelekea kuanguka ili kitu hicho kiuzuie ukuta huo usianguke. Kufanya kivyo ni KUHAGA, na nayefanya kitendo cha KUHAGA ndiyo anaitwa LUHAGA
Saguda47
Tofauti na luhaja
 
Tunaendelea: 1. Minghwa=Miiba, 2. Lubango=Huruma (za Mungu), 3. Malogolo/Malugulu=Milima, 4. Shija=Mtoto aliye zaliwa akifuatia Mapacha, 5. Mihayo=Maneno, 6. Banhya=Wachumba, 7. Wangeleja=Waingereza, 8. Mabina (wa kiume) =Ngoma. 9. Nyambina (wa kike)= Ngoma. 10. Mashimba= Simba. Kama unaelewa, leta maana ya majina yafuatayo: 1. Shindika, 2, Sholo, 3. Kulola, 4. Shilikale, 5. Mihangwa, 6. Hangwa, 7. Jilala, 8. Maganga, 9. Magadula, 10. Madata.
Wewe leta inaonekana unajua maana ya hayo majina sisi wengine ma observer tu🤣🤣🤣
 
Mashauli sio jina kusukuma kuna majina ambayo yaméingizwa Kama
Mashauli (mashauli)
Bunzali(binzali)
Maduka(duka)
Madilísha(dirisha)
Ngeleja(muingeleza)
Ndaki(darch-mjerumani)
Kabalaja(baraza/)
Shitungulu(kitunguu)
Manyanya(nyanya)nk
Majina haya yameingia baada ya ujio wa wageni Toka ng'ambo waarabu wahindi na wazungu
 
Luhaga maana yake kibano/kibanio/kubana
Naomba maana ya
  1. Ifogong'o
  2. Bhalengi
  3. Letungu/Litungu
  4. Nkwengwa
  5. Baba mkwe/mama mkwe(nipe kwa kisukuma)
Pia "mto/river" unaitwaje nimesahau.
Samahani mto/river ni "mongo" au nimekosea?
 
Naomba maana ya
  1. Ifogong'o
  2. Bhalengi
  3. Letungu/Litungu
  4. Nkwengwa
  5. Baba mkwe/mama mkwe(nipe kwa kisukuma)
Pia "mto/river" unaitwaje nimesahau.
Samahani mto/river ni "mongo" au nimekosea?
Ifogong'ho--chama Cha kuweka na kukopa vicoba
Bhalingi -- manju watunzi wa nyimbo
3 letungu litungu hicho ni kikuilya no ngoma Yao
wasukuma wana litongo / hitongo ni sehemu ya shamba hasa ambapo palikua makazi na palikua pia na mifugo
4 kwengwa/nkwingwa --baba mkwe
5 baba mkwe -nkwingwa
Mama mkwe ---mayu buko/mayu bukwi
Sawa mto -- mongo
 
Ifogong'ho--chama Cha kuweka na kukopa vicoba
Bhalingi -- manju watunzi wa nyimbo
3 letungu litungu hicho ni kikuilya no ngoma Yao
wasukuma wana litongo / hitongo ni sehemu ya shamba hasa ambapo palikua makazi na palikua pia na mifugo
4 kwengwa/nkwingwa --baba mkwe
5 baba mkwe -nkwingwa
Mama mkwe ---mayu buko/mayu bukwi
Sawa mto -- mongo
OK,nashukuru naona kama hii thread ingekuwa siyo ya majina bali ya kujifunza,nitachukua madini yatakayokuwa hapa kwa ajiri ya matumizi binafsi.
Litongo ulivyoelezea sehemu ambapo panakuwa na mifugo inatofauitiana nini na "Lugoto" a.k.a zizi?
 
HANGAY
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana.

Leo nimeamua niwaletee majina ya kisukuma na maana zake

Naomba tuwe pamoja

MAYALA. Njaa huitwa wa kiume
NYANZALA. njaa huitwa wa kike
BUTOGWA. UPENDO /MAPENDO
MABULA. mvua huitwa wa kiume
KABULA. huitwa wa kike
NAKUTOGWILE. nakupenda
GWAJIMA. kuzima
BASHITE. mbishi/mtata
SHILEKI. KUACHWA
MAYILA. njia
WAPE. MWEUPE
NSHEKU. Soft handsome/beuty
WALWA. POMBE.
MAGUFURI. makufur.
MBITIYAZA. fisi mwekundu
MBITIYAPI. FISI MWEUS
WABHEJA. ASANTE
NAHENE. HAKUNA SHIDA
NGASA.......
MASANJA.....
NGUSA........
MAKOYE. MATATIZO/SHIDA
WAWIZA. MZURI
GETE GETE. SANA SANA TISHA ILE MBAYA KINOMA NOMA
MISOJI. MICHUZI
LUNANI NA MAKONDA.....
NSAJI. MWEHU/CHIZI
WELELO. DUNIA.
UKUJIWE. UTUKUZWE
WA IMWENE . WA KIPEKEE
YAYA. HAPANA
YAYA GETE . HAPANA KABISA

mengine muongeze naingia darasan mida mida mazee

LONDON BOY/BOY FROM LONDON
HANGAYA
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana.

Leo nimeamua niwaletee majina ya kisukuma na maana zake

Naomba tuwe pamoja

MAYALA. Njaa huitwa wa kiume
NYANZALA. njaa huitwa wa kike
BUTOGWA. UPENDO /MAPENDO
MABULA. mvua huitwa wa kiume
KABULA. huitwa wa kike
NAKUTOGWILE. nakupenda
GWAJIMA. kuzima
BASHITE. mbishi/mtata
SHILEKI. KUACHWA
MAYILA. njia
WAPE. MWEUPE
NSHEKU. Soft handsome/beuty
WALWA. POMBE.
MAGUFURI. makufur.
MBITIYAZA. fisi mwekundu
MBITIYAPI. FISI MWEUS
WABHEJA. ASANTE
NAHENE. HAKUNA SHIDA
NGASA.......
MASANJA.....
NGUSA........
MAKOYE. MATATIZO/SHIDA
WAWIZA. MZURI
GETE GETE. SANA SANA TISHA ILE MBAYA KINOMA NOMA
MISOJI. MICHUZI
LUNANI NA MAKONDA.....
NSAJI. MWEHU/CHIZI
WELELO. DUNIA.
UKUJIWE. UTUKUZWE
WA IMWENE . WA KIPEKEE
YAYA. HAPANA
YAYA GETE . HAPANA KABISA

mengine muongeze naingia darasan mida mida mazee

LONDON BOY/BOY FROM LONDON

HANGAYA..... NYOTA ING'AAYO
 
OK,nashukuru naona kama hii thread ingekuwa siyo ya majina bali ya kujifunza,nitachukua madini yatakayokuwa hapa kwa ajiri ya matumizi binafsi.
Litongo ulivyoelezea sehemu ambapo panakuwa na mifugo inatofauitiana nini na "Lugoto" a.k.a zizi?
Itongo ni sehemu walipokua wakiishi wao na mifugo Yao huwa sehemu nzuli yenye rutuba kwa kuwa na mboji na samadi
Lugutu ni zizi la mifugo kiswahili uzio
 
Back
Top Bottom