Baadhi ya mama ntilie wanatulisha uchafu

Nimemkumbuka yule mama kwenye 3 Idiots alikuwa anasukuma chapati mmewe mgonjwa akakohoa akatumia kisukumio kumkuna kifuani halafu akaendelea kusukumia chapati wakati wageni wanaendelea kula [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] ila yule hakuwa mama ntilie ilikuwa ni nyumbani kwa mmoja wa wale rafiki zake na Rancho (nimesahau jina lake), jamaa kwao walikuwa na maisha duni sana.

Halafu jamaa walikuwa wanaona namna chakula kinavyoandaliwa[emoji23][emoji23][emoji23] hatari sana.
 
Lakini kuna baadhi yao ni wasafi sana kiasi kwamba bila kuweka oda huwezi pata chakula
 
Mkuu inaoneka huko kwa mama ntilie siyo mahali sahihi kwako.maana wengine hayo yote yameshazoeleka wala maji ya kunywa ya kichemshwa hayahitaji kabisa
 
...what you resist persist..

Nakumbuka enzi za chuo kuna kile chakula cha chini kabsa (maukoko/mabaki) wajuba tulikuwa tukikita stuff au joro....aisee kile chakula maandalizi yake ukiyaona unaweza sema anae enda kula ataharisha au atakosa choo kbsa but maajabu wajuba adi tunamalizia chuo hakuna Alie sumbuliwa na tumbo wa choo...

...muda mwengine vile vinavyotutokea maishani mwetu ni matokeo ya mawazo yetu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…