Kupitia hizi comments za Wazanzibar nimejifunza kuwa wenzetu wanachuki na sisi kwa kiwango kikubwa sana.
Ukisoma maoni yao kwa umakini mkubwa utakuja kugundua kuna baadhi ya chuki wamepandikizwa kupitia dini zao.
Mfano kuna comment inasema "Wazanzibar waliwaua ndugu zao waislam weupe ili kuungana na makafiri weusi wa bara kwa kisingizio cha ni waafrica wenzetu". Kupitia comment kama hii unajifunza haya:
1. Wazanzibar wanaamini ndugu zao ni wale Arabs waliowatawala kipindi kile cha ukoloni.
2. Wazanzibar hawaamini kama sisi wa bara ni ndugu zao.
Kuna maoni ya mzanzibar mmoja, huyu yeye anamuomba Allah amuue kiongozi alietoa wazo la kujengwa daraja.
Haya hapa baadhi ya maoni ya wenzetu wa visiwani
Ukisoma maoni yao kwa umakini mkubwa utakuja kugundua kuna baadhi ya chuki wamepandikizwa kupitia dini zao.
Mfano kuna comment inasema "Wazanzibar waliwaua ndugu zao waislam weupe ili kuungana na makafiri weusi wa bara kwa kisingizio cha ni waafrica wenzetu". Kupitia comment kama hii unajifunza haya:
1. Wazanzibar wanaamini ndugu zao ni wale Arabs waliowatawala kipindi kile cha ukoloni.
2. Wazanzibar hawaamini kama sisi wa bara ni ndugu zao.
Kuna maoni ya mzanzibar mmoja, huyu yeye anamuomba Allah amuue kiongozi alietoa wazo la kujengwa daraja.
Haya hapa baadhi ya maoni ya wenzetu wa visiwani