Baadhi ya maoni ya Wazanzibar kuhusu ujenzi wa daraja Dar to Zanzibar

Baadhi ya maoni ya Wazanzibar kuhusu ujenzi wa daraja Dar to Zanzibar

Kitu ambacho watu wengi hawakijui ni kuwa, Wazanzibar tunaona Zanzibar yetu kama Keki au dhahabu fulani hivi ya thamani kubwa huku tukiiona Tanganyika kama shamba fulani la bibi ambalo hata ngerede wanaingia kuvuna. Bahati mbaya sana watanganyika mnaona Tanganyika yenu kama Choo fulani hivi cha stendi ambapo nyinyi watanganyika ni wasafiri tu unaoingia kujisaidia na kusepa!

Watanganyika acheni kulalamika na kujipendekeza ovyo, nanyi kuweni na wivu na nchi yenu, hakuna mzanzibar anawataka watanganyika kwenda Zanzibar ili kufaidika na chochote.
Sisi wenyewe hatuutaki huo muungano hata kuusikia hauna faida yyte kwetu bara ila serikali yako ya ccm ndiyo inayo unga'nga'nia Kwa masrahi yake binafsi;
 
Lack of exposure inawatesa wengi ila huu muungano umewanufaisha wazenji Kwa mambo mengi kuanzia kazi, na mambo mengi hyo kusema inanyonywa si kweli Zanzibar ni ndogo Ina Rais wao ila maendeleo yako nyuma hata barabara low quality hapo watasingizia Tanganyika Kwa lipi. Kuanzia hata hotel na kuchangamkia fursa kuko nyuma so hapo wasilaumu watu.
Huku bara wazanzibar waliowekeza na kujenga huwezi washawishi warudi huko zenji wamepatia maisha huku na sio wabaguzi ka hao ambao hawajatembea
Wazanzibar wengi wanataka muungano uwanufaishe tu na kamwe usiwataabishe.
Kwanini?
Wazanzibar wengi wanaamini muungano huu walilazimishwa tu (halikuwa takwa lao, nguvu ilitumika na inatumika mpaka leo hii kuwaunganisha na bara) nadharia hiyo inawafanya wazanzibar wengi kuamini kuwa kuna namna Tanganyika inavuna na kupiga kupitia muungano.

Embu nawe jiulize, kama muungano huu hauna makubwa kwa Tanganyika, ni kwanini Tanganyika inaung'ang'ania mnoo kuliko vile Zanzibar inavyoutaka?
 
🤣🤣🤣😂😂😂wanavyoandika haina tofauti na wanavyoongeaga.
Anyway:Ukiwachunguza waandishi karibu wote ni mambumbumbu wasiojielewa.
Zanzibar ni nchi isoyo na jeshi mnakomaa mjitawale.
 
Hichi kiburi huwa mnakitoa wapi ninyi walala hoi!?
Hebu na tuyaache tu maana miaka mi5 au saba si mingi sana.
Sio kiburi, ni wivu wa kuipenda Zanzibar yetu!
Kabla ya Samia, alikuwepo Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete na Magufuli. Ni nani alijaribu kutaka kuwaondoa wazanzibar kwenye muungano?
Zanzibar ni kama maji tu kwa Tanganyika, bila Zanzibar Tanganyika inaweza isisogee!!

Kama huamini hilo, jiulize ni kwanini kila mtawala wa Tanganyika anasema kwa namna yoyote ile hatakubali muungano uchezewe au Zanzibar ajitoe kwenye muungano.
 
Shida sio uislamu, shida ni wao.
Shida sio wao mkuu,shida ni Uislam.Kwa mtu anayejua the roots of Islam,atanielewa.Naomba niseme hivi,the god of Islam is not the God of Christianity,ndio maana unaona most Christians are compassionate,but Muslians are not.People tend to believe that Jesus Christ is Isa ibn Maryam,he is not,it is a deception.Isa ibn Maryam is a completely different character.It would be wise for Muslims to understand this.
 
Mimi ningependa kujifunza jambo kidogo ili niweze kujadili kidogo, UNGUJA, PEMBA na ZANZIBAR, tofauti yake ni nini?
Unguja + Pemba = Zanzibar

Wapemba wametambulika Kenya wakapewa na uraia sababu wapo karibu na Mombasa Unguja ipo karibu na bara linajengwa Daraja ili ivutwe isije na yenyewe ikapotea
 
Wanaamini bara inawawekea kiwingu, nchi za arabuni zitawasaidia pakubwa kiuchumi na kimaendeleo pakubwa. Nafikiri tu.
Sasa nani kawakataza kuomba misaada na kuleta wawekezaji?

Kama wanaona baba zao ni wa Oman kuwa siku moja watarudi kama Lukuvi anavyoamini basi watakuwa na akili za kuku

Oman wamemalizana na mzungu kwenye mikataba ya mafuta na sasa wanamiliki [emoji817]
Na wanajitosheleza na wanaijenga nchi yao haswa na wameamua kuwa na Nationalization policy ambapo waomani watapewa posts zote za juu kwenye sekta zote

Sasa warudi kwenye njaa kutafuta nini?

Kama wana akili watengeneze viwanda hata cha nepi
 
Shida sio wao mkuu,shida ni Uislam.Kwa mtu anayejua the roots of Islam,atanielewa.Naomba niseme hivi,the god of Islam is not the God of Christianity,ndio maana unaona most Christians are compassionate,but Muslians are not.People tend to believe that Jesus Christ is Isa bin Mariam,he is not,it is a deception.Isa bin Mariam is a completely different character.It is wise for Muslims to understand this.
Very true & correct mkuu upo sahihi 100%
 
Wazanzibar wengi wanataka muungano uwanufaishe tu na kamwe usiwataabishe.
Kwanini?
Wazanzibar wengi wanaamini muungano huu walilazimishwa tu (halikuwa takwa lao, nguvu ilitumika na inatumika mpaka leo hii kuwaunganisha na bara) nadharia hiyo inawafanya wazanzibar wengi kuamini kuwa kuna namna Tanganyika inavuna na kupiga kupitia muungano.

Embu nawe jiulize, kama muungano huu hauna makubwa kwa Tanganyika, ni kwanini Tanganyika inaung'ang'ania mnoo kuliko vile Zanzibar inavyoutaka?
 
Ila huo ujenzi mpaka uanze na kukamilika nadhani si chini ya miaka 5.
Hata kwa miaka 20 huo mradi hauwezi kukamilika. Ni hadithi tu kwenye nchi za kiafrika.

Daraja la Kigogo Busisi kwenye ziwa victoria (lina urefu wa 1km ndani ya ziwa victoria) limeshatumia zaidi ya miaka 5 na bado halijakamilika na hatujui ni lini litakamilika, ni vipi kujenga kujenga daraja la baharini (deep see) la kutoka Dar-Zanzibar (urefu wa 50km) likaweza kukamilika kwa miaka 5?
 
... bibi zao walibakwa wakazaliwa waarabu koko halafu wanajisifia ujinga.
Na vipi kuhuhusu mashoga tanganyika kila Mkoa wa bara idadi ni ya kutisha sana kwa mujibu wa Mwakiyembe, kila mkoa una idadi isiyopungua 1500 hadi 2000

Kizazi chenu hasa kilitokea wapi humjui mke wala mume nyote mumeota vichogo/kinundu
 
Sisi wenyewe hatuutaki huo muungano hata kuusikia hauna faida yyte kwetu bara ila serikali yako ya ccm ndiyo inayo unga'nga'nia Kwa masrahi yake binafsi;
Narudia tena, tatizo ni nyinyi watanganyika na wala sio CCM.
Mbona wanachama na viongozi wengi wa CCM Zanzibar hawautaki pia huu muungano, wanalazimishwa tu na CCM Tanganyika?
 
🤣🤣🤣😂😂😂wanavyoandika haina tofauti na wanavyoongeaga.
Anyway:Ukiwachunguza waandishi karibu wote ni mambumbumbu wasiojielewa.
Zanzibar ni nchi isoyo na jeshi mnakomaa mjitawale.
Huko tanganyila Mwakiyembe sasa anasema idadi ya mashoga ni ya kutisha sana, mnapenda sn ujiti
 
Unguja + Pemba = Zanzibar

Wapemba wametambulika Kenya wakapewa na uraia sababu wapo karibu na Mombasa Unguja ipo karibu na bara linajengwa Daraja ili ivutwe isije na yenyewe ikapotea
Pemba ipo karibu zaidi na bara mkuu,to be exact Tanga.Infact kama daraja likijengwa from Tanga litakuwa cheaper.
 
Na vipi kuhuhusu mashoga tanganyika kila Mkoa wa bara idadi ni ya kutisha sana kwa mujibu wa Mwakiyembe, kila mkoa una idadi isiyopungua 1500 hadi 2000

Kizazi chenu hasa kilitokea wapi humjui mke wala mume nyote mumeota vichogo/kinundu
Acha uongo ndugu yangu.
Tanganyika wana matatizo yao mengine, lakini kwenye Ushoga Zanzibar ndio kinara.
Zanzibar kuna ushoga na mashoga kupita maelezo.
 
Raia wengi wa huko bado ni wajinga flani na wanasiasa na dini itawayumbisha na hyo misimano Yao itawatesa mno ndio tushaungana hvo
Muko tayari kuua lakini muungane na Zanzibar mupate neema
 
Sasa nani kawakataza kuomba misaada na kuleta wawekezaji?

Kama wanaona baba zao ni wa Oman kuwa siku moja watarudi kama Lukuvi anavyoamini basi watakuwa na akili za kuku

Oman wamemalizana na mzungu kwenye mikataba ya mafuta na sasa wanamuliki [emoji817]
Na wanajitosheleza na wanaijenga nchi yao haswa na wameamua kuwa na Nationalization policy ambapo waomani watapewa posts zote za juu kwenye sekta zote

Sasa warudi kwenye njaa kutafuta nini?

Kama wana akili watengeneze viwanda hata cha nepi
Itakua wanahitaji uhuru zaidi, wanahisi kutawaliwa na kufanyiwa maamuzi bara inayotaka.

Tukirejea uchaguzi wa 2015 unaona ulikua free and fair? Walipata kiongozi wanayemhitaji? Je huoni mambo madogo kama hayo yanapelekea pia chuki dhidi yetu?
 
Back
Top Bottom