zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Wao wanataka kutokea Jiji la Biashara Dsm sio Tanga huko kuna hata uwanja wa ndege wa kimataifa km ile terminal 3 pale Kipawa ?Pemba ipo karibu zaidi na bara mkuu,to be exact Tanga.Infact kama ni daraja likijengwa from Tanga litakuwa cheaper.