Baadhi ya maoni ya Wazanzibar kuhusu ujenzi wa daraja Dar to Zanzibar

Baadhi ya maoni ya Wazanzibar kuhusu ujenzi wa daraja Dar to Zanzibar

Kitu ambacho watu wengi hawakijui ni kuwa, Wazanzibar tunaona Zanzibar yetu kama Keki au dhahabu fulani hivi ya thamani kubwa huku tukiiona Tanganyika kama shamba fulani la bibi ambalo hata ngerede wanaingia kuvuna. Bahati mbaya sana watanganyika mnaona Tanganyika yenu kama Choo fulani hivi cha stendi ambapo nyinyi watanganyika ni wasafiri tu unaoingia kujisaidia na kusepa!

Watanganyika acheni kulalamika na kujipendekeza ovyo, nanyi kuweni na wivu na nchi yenu, hakuna mzanzibar anawataka watanganyika kwenda Zanzibar ili kufaidika na chochote.

Asili ya Mzanzibar wa sasa ni wapi?

Kwa baadhi ya Wazanzibar wa sasa kuitukana au kutukana watu wa Bara ni kama mtu anayetukana asili yake tu...

Kubadilishwa majina yenu na Waarabu haiondoi asili yenu...

Ni ajabu Mzanzibar anaona ndugu zake ni Waarab walio maili nyingi huko, huku wanawakana ndugu zao wa Bara walio umbali mfupi tu hapo...
 
Kwa hili Nami nakataa hoja zao muflis kabisa
Wao wamekaa huko visiwani wana nini cha kujivunia labda
Kama maendeleo ni bakhressa kawapelekea kidogo

Wao masikini wa kutupwa mpaka leo bado wana Makasia na boat za kizamani
Na bado wanaishi maisha ya karne 100 zilizopita

Hilo daraja sio kwa ajili ya masikini bali ni kwa ajili ya maendeleo ya wanaotaka maendeleo
Meli zitakuwepo na magari yatapita kuleta bidhaa za kila aina
 
Mimi ningependa kujifunza jambo kidogo ili niweze kujadili kidogo, UNGUJA, PEMBA na ZANZIBAR, tofauti yake ni nini?
Kuna visiwa vingi vinavyounda Zanzibar mfano pemba na unguja , Zanzibar ni jina la jumla la visiwa vinavyounda Zanzibar

USSR
 
Mimi ningependa kujifunza jambo kidogo ili niweze kujadili kidogo, UNGUJA, PEMBA na ZANZIBAR, tofauti yake ni nini?
Unguja+Pemba=Zanzibar

Japokuwa neno Zanzibar ukiwa Zanzibar linabeba maana ya kumaanisha eneo la mjini katika kisiwa cha Unguja, na ndio haswaa eneo halisi lililobeba hilo jina, limeitwa hivyo miaka yote tangu karne na karne kihistoria.
 
Ila huo ujenzi mpaka uanze na kukamilika nadhani si chini ya miaka 5.
 
Asili ya Mzanzibar wa sasa ni wapi?

Kwa baadhi ya Wazanzibar wa sasa kuitukana au kutukana watu wa Bara ni kama mtu anayetukana asili yake tu...

Kubadilishwa majina yenu na Waarabu haiondoi asili yenu...

Ni ajabu Mzanzibar anaona ndugu zake ni Waarab walio maili nyingi huko, huku wanawakana ndugu zao wa Bara walio umbali mfupi tu hapo...
Kiuhalisia hakuna mzanzibar mzawa, wote ni watu wa kuja. Jamii za visiwani ni jamii za kuja na kuletwa, chuki dhidi ya watu wa bara ilitengenezwa na kupandikizwa. Hii kitu haitaisha milele mpaka siku watanganyika watakapoinuka na kuona wivu wa kuitaka na kuipigania Tanganyika, kujipendekeza hakutawasaidia watanganyika milele.
 
Wenzao wazenji wanalamba asali hawapigi kelele kabisa hawataki uvunjike njaa Kali ndio wanatukana. Yani umwambie mama muungano mubaya uvunjike arudi makunduchi hawezi kukubali
Chuki za kidini pia zinachangia na ubaguzi usio na msingi.

Lakini pia huoni kwa upande mmoja labda bara inawachelewesha kimaendeleo? Labda kuna nchi za kiarabu zenye mafuta na pesa zinaweza kuisaidia pakubwa kimaendeleo?
 
Chuki za kidini pia zinachangia na ubaguzi usio na msingi.

Lakini pia huoni kwa upande mmoja labda bara inawachelewesha kimaendeleo? Labda kuna nchi za kiarabu zenye mafuta na pesa zinaweza kuisaidia pakubwa kimaendeleo?
Lack of exposure inawatesa wengi ila huu muungano umewanufaisha wazenji Kwa mambo mengi kuanzia kazi, na mambo mengi hyo kusema inanyonywa si kweli Zanzibar ni ndogo Ina Rais wao ila maendeleo yako nyuma hata barabara low quality hapo watasingizia Tanganyika Kwa lipi. Kuanzia hata hotel na kuchangamkia fursa kuko nyuma so hapo wasilaumu watu.
Huku bara wazanzibar waliowekeza na kujenga huwezi washawishi warudi huko zenji wamepatia maisha huku na sio wabaguzi ka hao ambao hawajatembea
 
Kwa hili Nami nakataa hoja zao muflis kabisa
Wao wamekaa huko visiwani wana nini cha kujivunia labda
Kama maendeleo ni bakhressa kawapelekea kidogo

Wao masikini wa kutupwa mpaka leo bado wana Makasia na boat za kizamani
Na bado wanaishi maisha ya karne 100 zikizopita

Hilo daraja sio kwa ajili ya masikini bali ni kwa ajili ya maendeleo ya wanaotaka maendeleo
Meli zitakuwepo na magari yatapita kuleta bidhaa za kila aina
Wanaamini bara inawawekea kiwingu, nchi za arabuni zitawasaidia pakubwa kiuchumi na kimaendeleo pakubwa. Nafikiri tu.
 
Mimi ningependa kujifunza jambo kidogo ili niweze kujadili kidogo, UNGUJA, PEMBA na ZANZIBAR, tofauti yake ni nini?
Zanzibar ni muunganiko wa visiwa vya Unguja na Pemba, kifupi Zanzibar kiujumla ina Mikoa Mitano: Mjini Magharibi, Unguja Kaskazini, Unguja Kusini (kijiografia imeungana katika kisiwa kimoja), Pemba Kaskazini na Pemba Kusini (kijiografia imeungana katika kisiwa kimoja), vyote hivyo kwa ujumla wake huitwa visiwa vya Zanzibar
 
Lack of exposure inawatesa wengi ila huu muungano umewanufaisha wazenji Kwa mambo mengi kuanzia kazi, na mambo mengi hyo kusema inanyonywa si kweli Zanzibar ni ndogo Ina Rais wao ila maendeleo yako nyuma hata barabara low quality hapo watasingizia Tanganyika Kwa lipi. Kuanzia hata hotel na kuchangamkia fursa kuko nyuma so hapo wasilaumu watu.
Huku bara wazanzibar waliowekeza na kujenga huwezi washawishi warudi huko zenji wamepatia maisha huku na sio wabaguzi ka hao ambao hawajatembea
Kwa nini Tanganyika isiwaache wakafie mbele kwa mbele? Kwa nini Tanganyika inang'ang'aniza kumpa Z'bar msaada na hali ya kuwa hawataki?
 
Back
Top Bottom