Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
AahaaaaaaAiseee... Cha kushangaza nimesoma hizo comments kwa lafudhi ya kipembaš„
Me too
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AahaaaaaaAiseee... Cha kushangaza nimesoma hizo comments kwa lafudhi ya kipembaš„
šššviongozi wengi wa CCM Zanzibar hawautaki pia huu muungano, wanalazimishwa tu na CCM Tanganyika?
Weka takwimu ?Pemba ndo inayoongoza Kwa ushoga
Mengine sio busara sana kusema hapa. Unganisha codes utaelewa hilo la kusema bila Zanzibar huenda Tanganyika isisogee.Kivipi?
Ufafanuzi tafadhali
Elimu Elimu Elimu nikitu muhimu sana kwenye maisha yani kula ice cream ni ustaarabu, ndo maana zero nyingi kwenye mitihani zinatoka huku kwenuWabongo walikuwa hawajawahi kula ice cream wakastaarabika kutoka Zanzibar eti.,
Mkoa nao ishi unaidadi ya watu milion 6, piga hesabu mwenyewe; arafu angalia na idadi ya watu Zanzibar million moja na laki nane ila wanaojihusisha na vitendo vya ushoga ni 121500, Zanzibar sio nchi ni Choo cha shetani wazanzibar mnalaanaIdadi ya 2000 kila mkoa ni kiasi cha kujitathmini hata wewe nyumban kwenu
Nitajie NGO tafadhaliWeka takwimu ?
Kwa idadi na uhamasishaji wa NGO , Mikoa ya Kilimanjaro, Arusha, Mwanza Mbeya zina mashoga wengi, au kuwa na idadi kubwa yha mashoga na malaya wote wanaoishi Dar Es Salaam kutokea kwenye hiyo mikoa
Mkuu hapa Zanzibar kuna mashoga mpaka wamasai kutoka bara.Weka takwimu ?
Kwa idadi na uhamasishaji wa NGO , Mikoa ya Kilimanjaro, Arusha, Mwanza Mbeya zina mashoga wengi, au kuwa na idadi kubwa yha mashoga na malaya wote wanaoishi Dar Es Salaam kutokea kwenye hiyo mikoa
Hapo nimekuelewa sanaItakua wanahitaji uhuru zaidi, wanahisi kutawaliwa na kufanyiwa maamuzi bara inayotaka.
Tukirejea uchaguzi wa 2015 unaona ulikua free and fair? Walioata kiongozi wanaomhitaji? Je huoni mambo madogo kama hayo yanapelekea pia chuki dhidi yetu?
Ccm Ni wale waleššš
Wenye maslahi na muungano ni hao ccm (wa Tanganyika)
Hamna neema tunayopata hapo zaidi ya kuwadhibiti msilete ugaidi huku TanganyikaMuko tayari kuua lakini muungane na Zanzibar mupate neema
Sasa kama mkoa mzima wa Zanzibar hata division One hukosa hadi wapewe na serikali wategemea nini?Raia wengi wa huko bado ni wajinga flani na wanasiasa na dini itawayumbisha na hyo misimano Yao itawatesa mno ndio tushaungana hvo
Muungano hauna faida tuwaache, tuwatoze kodiWacha watukane matusi yote muungano hauvunjiki ng'o na kipindi Cha uchaguzi tutawapelekea wajeda wajae Kila corner.
Muungano udumu milele
Wacha watukane matusi yote muungano hauvunjiki ng'o na kipindi Cha uchaguzi tutawapelekea wajeda wajae Kila corner.
Muungano udumu milele
Matusi hayana jipya kwetu watu wa huko wameziea matusi na kuchongoa mdomo tukama ni hivo munalalamika nini? Endeleeni tu kupokea matusi huku munafuraha
Ndivyo mnavyodanganyana kwenye vijiwe vyenu vya kawaha; Hakuna mtu wa bara anaeutaka muunganoLikija suala la muungano ni wabara tu hawataki kuvunja, kule zanzibar wanaokataa ni walio kwenye mfumo tu
Unayo faida kubwa tu Kwa nchi yetu ni lango kiusalama zaidiMuungano hauna faida tuwaache, tuwatoze kodi
Lack of exposure inawatesa wengi ila huu muungano umewanufaisha wazenji Kwa mambo mengi kuanzia kazi, na mambo mengi hyo kusema inanyonywa si kweli Zanzibar ni ndogo Ina Rais wao ila maendeleo yako nyuma hata barabara low quality hapo watasingizia Tanganyika Kwa lipi. Kuanzia hata hotel na kuchangamkia fursa kuko nyuma so hapo wasilaumu watu.
Huku bara wazanzibar waliowekeza na kujenga huwezi washawishi warudi huko zenji wamepatia maisha huku na sio wabaguzi ka hao ambao hawajatembea
Mbona hauelezei comoro ambayo ipo karibu na wewe una sema singapore na dubaiKuna kitu hukijui kuhusu Zanzibar na wazanzibar, njoo Zanzibar uwasikie wenyewe ndio utailewa.
Chuki ni mbegu iliyopandikizwa na sio kitu rahisi kufutika vichwani mwa wazanzibar mpaka siku huu muungano utakapovunjika au kubadilika muundo wake.
Kwa kifupi sana, wazanzibar wengi wanaamini haya:
1. Muungano huu ni utumwa dhidi yao (kwanini? Muungano huu ulitengenezwa kwa ujanja ujanja, haraka haraka, kisirisiri na Zanzibar iliingizwa kinguvu, ndio uliwanyang'a uhuru wao wa kujitawala na kujiamulia mambo yao)
2. Muungano huu ulitengenezwa na kuundwa na watanganyika kwa maslahi ya watanganyika (Kwanini? Watanganyika (kupitia watawala wake) wao ndio wanautaka sana na kuupigania huu muungano kwa hali, mali na damu)
3. Muungano huu ndio umeua diplomasia, utamaduni, imani, bandari, biashara, kilimo na utalii wa Zanzibar. (Kwanini? Nchi zote zenye muundo wa jografia kama Zanzibar (kama Dubai, Singapore) ambazo zilikuwa sawa sawa na Zanzibar kwenye maeneo hayo miaka ya mwanzoni mwa miaka ya 1960s zote zimepiga hatua kubwa mnoo kwenye hayo maeneo, na hapo hapo Zanzibar imekuwa duni zaidi, na sababu kuu ikielezwa ni huu muungano)
Hawataki hata ilimu dunia Kila kitu tu wasaidiwe, Yani shule kimatokeo za mwishoSasa kama mkoa mzima wa Zanzibar hata division One hukosa hadi wapewe na serikali wategemea nini?